Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 568
Kama uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo si vizuri kukashifu watu, nafikiri ni hizi shule za kata watu hata hawawezi kufanya simple reasoning! Unahusishaje maandamano (occasional event) na swala la kufanya kazi (kutafuta mkate wa kila siku). Ni vizuri kutumia akili yako hapa JF siyo ya kusikia au kuambiwa. Unashangaa watu wanaandamana Mwanza si kuwa wameambiwa kufanya hivyo bali wameona sababu ya kufanya hivyo. Get it Libya Egypt etc hawaandamani kwa sababu wana mafuta! Na hapa umeonyesha jinsi uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo kama unaongelea resources kwa taarifa TZ ni moja nchi zenye valuable natural resources kuliko Libya!
Mkuu tatizo la huyo jamaa alisoma chuo kwanza kabla ya kuanza darasa la kwanza, ndio maana hata thinking capacity yake ina limit.. achana naye :blah: