Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Kama uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo si vizuri kukashifu watu, nafikiri ni hizi shule za kata watu hata hawawezi kufanya simple reasoning! Unahusishaje maandamano (occasional event) na swala la kufanya kazi (kutafuta mkate wa kila siku). Ni vizuri kutumia akili yako hapa JF siyo ya kusikia au kuambiwa. Unashangaa watu wanaandamana Mwanza si kuwa wameambiwa kufanya hivyo bali wameona sababu ya kufanya hivyo. Get it Libya Egypt etc hawaandamani kwa sababu wana mafuta! Na hapa umeonyesha jinsi uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo kama unaongelea resources kwa taarifa TZ ni moja nchi zenye valuable natural resources kuliko Libya!

Mkuu tatizo la huyo jamaa alisoma chuo kwanza kabla ya kuanza darasa la kwanza, ndio maana hata thinking capacity yake ina limit.. achana naye :blah:
 
chama cha maendeleo ambacho hakijawahi kuhimiza watu wafanye kazi kwa bidii...! hureee maandamano hureeeee.....ugali bureee....maandamano hureee...! JIONI SLAA ATALALA HOTEL KUBWA...! HUREEE
Kwani wewe huwa unalala na Kikwete.
 
quote_icon.png
Originally Posted by elimumali
Jamani tunalo Bunge lenye Kamati mbalimbali kufuatilia na kutetea mambo haya! Kweli maandamano kama haya ni kupoteza muda wa kazi, kusumbua wananchi, kuleta uchochezi na vurugu tu! Wengine wasiokwenda shule hawaelewi, wanawekwa tu kuandamana kufuata mkumbo na kupotezewa muda wa kutafuta Riziki. Uvunjaji wa Amani huanzia hapa kwenye maandamono. CDM be careful. Tumieni BUNGE P'se. Mkinyimwa kibali cha maandamano pia inakuwa nongwa. Muelewe nin muelewe? Do you know the meaning of Piece?

piece (p
emacr.gif
s)n.1. A thing considered as a unit or an element of a larger thing, quantity, or class; a portion: a piece of string.
2. A portion or part that has been separated from a whole: a piece of cake.
3. An object that is one member of a group or class: a piece of furniture.
4. An artistic, musical, or literary work or composition: "They are lively and well-plotted pieces, both in prose" (Tucker Brooke).
5. An instance; a specimen: a piece of sheer folly.
6. A declaration of one's opinions or findings: speak one's piece.
7. A coin: a ten-cent piece.
8. Games a. One of the counters or figures used in playing various board games.
b. Any one of the chess figures other than a pawn.

9. Slang A firearm, especially a rifle.
10. Informal A given distance: "There was farm country down the road on the right a piece" (James Agee).
11. Vulgar Slang A sexually attractive person.


Pole sana Mkuu. Unaacha kujibu hoja za maana, unanieleza maana ya piece, kitu ambacho ni dhahiri kuwa nilikosea spelling tu, na nilisha sahihisha? Nakuonea huruma umepoteza muda kujibu hilo.
 
Slaa anasema Al Adawi ni kivuli, ametumwa. Anasoma hukumu ya ICC uk15
 
Chama chenye viongozi wa wanafiki wakubwa hawaishi kwa Vitendo wanaishi kwa maneno tu! Tulitegemea Chadema wakatae zile 90 milion walizopewa wabunge! Hakuna hata Mbunge mmoja kutoka chadema aliejaribu kusema juu ya ufisadi huo! Leo wanapoteza muda kuandamanisha watu wanafiki wakubwa hao,hawana maana yeyote! Nimeanza kuichukia Chadema kwa kukubali kula rushwa ya 90m wakati watu wetu ni maskini! Tanzania hakuna chama chenye uchungu na watanzania vyote vinalengo la kujinufaisha na maslahi ya viongozi tu!

Jinyonge basi! :blah:
 
quote_icon.png
Originally Posted by elimumali
Jamani tunalo Bunge lenye Kamati mbalimbali kufuatilia na kutetea mambo haya! Kweli maandamano kama haya ni kupoteza muda wa kazi, kusumbua wananchi, kuleta uchochezi na vurugu tu! Wengine wasiokwenda shule hawaelewi, wanawekwa tu kuandamana kufuata mkumbo na kupotezewa muda wa kutafuta Riziki. Uvunjaji wa Amani huanzia hapa kwenye maandamono. CDM be careful. Tumieni BUNGE P'se. Mkinyimwa kibali cha maandamano pia inakuwa nongwa. Muelewe nin muelewe? Do you know the meaning of Piece?

piece (p
emacr.gif
s)n.1. A thing considered as a unit or an element of a larger thing, quantity, or class; a portion: a piece of string.
2. A portion or part that has been separated from a whole: a piece of cake.
3. An object that is one member of a group or class: a piece of furniture.
4. An artistic, musical, or literary work or composition: "They are lively and well-plotted pieces, both in prose" (Tucker Brooke).
5. An instance; a specimen: a piece of sheer folly.
6. A declaration of one's opinions or findings: speak one's piece.
7. A coin: a ten-cent piece.
8. Games a. One of the counters or figures used in playing various board games.
b. Any one of the chess figures other than a pawn.

9. Slang A firearm, especially a rifle.
10. Informal A given distance: "There was farm country down the road on the right a piece" (James Agee).
11. Vulgar Slang A sexually attractive person.


Wewe ni kilaza mwingine. bunge lilillopita kuna hoja gani ya maana imejadiliwa? so shut up
 
Chama chenye viongozi wa wanafiki wakubwa hawaishi kwa Vitendo wanaishi kwa maneno tu! Tulitegemea Chadema wakatae zile 90 milion walizopewa wabunge! Hakuna hata Mbunge mmoja kutoka chadema aliejaribu kusema juu ya ufisadi huo! Leo wanapoteza muda kuandamanisha watu wanafiki wakubwa hao,hawana maana yeyote! Nimeanza kuichukia Chadema kwa kukubali kula rushwa ya 90m wakati watu wetu ni maskini! Tanzania hakuna chama chenye uchungu na watanzania vyote vinalengo la kujinufaisha na maslahi ya viongozi tu!
Wewe kumbe mpumbavu kabisa hivi hujui kuwa aliyesema wazi hizo milioni 90 ni mbunge wa CDM? Hujui kuwa aliyesema hivyo kuwa ni Mbunge Lema?
Kweli wewe huna akili kabisa unatupotezea muda bure humu ndani.
 
endelea mugumu.........hata bibi yangu amesema huyu ali adaw ni msukule
 
Slaa anasisitiza JK anamjua mmiliki wa DOWANS.

Anasema tunaambiwa tuinunue wakati tulishaambiwa na kamati ya Mwakyembe kuwa tusiichukue.
 
Kaka ur right. Dr aachane na hayo muda wa kampeni umeshakwisha. wanajamii wahamasishwe kushiriki na kujitolea kufanya isue za kuleta maendeleo na sio kushinda na makombati barabarani anashusha hadhi yake

Kweli jamani, shule za kata hazifai, hivi huyu ni mtu anaishi dunia gani, mbona unaharisha hadharani, huyo unayemuita baba wa taifa aliacha hadi kazi kule pugu. Unashangaa nini wewe, nitakutusi!!!
 
chama cha maendeleo ambacho hakijawahi kuhimiza watu wafanye kazi kwa bidii...! hureee maandamano hureeeee.....ugali bureee....maandamano hureee...! JIONI SLAA ATALALA HOTEL KUBWA...! HUREEE

Kinacho kuuma nini? tulia nyumbani uletewe ugari ee, we mtoto mzuri umesikia.
 

Askali wamependeza kujimix humo na nguo zao basi wote wameonekana kama ni CDM safi sana, Utawala wa sheria hakuna kurudi nyuma na hakuna kutumia maguvu bila sababu Tanzania itajengwa na Dr Slaa Kikwete ameshindwa.
 
Anasema anashangaa amesikia leo imetangazwa kuwa bei ya sukari imeshuka baada ya kusikia CDM wanaandamana kwaajili ya kupanda kwa gharama za maisha.
 
kwa nini CHADEMA hawamnunulii Dr Viatu vingine, Dr anavaa viatu hivyo hivyo tangia ufunguzi wa campaign last year August.

Soma kichwa cha thread; je kinafanana na viatu?

Achana na mambo ya viatu, mbona hujauliza mgwanda na kofia? au hukuziona wakati wa kampeni?
 
jamani tutumieni picha zingine. Halafu tupatieni summary ya yale yanayoongea na Rais wa ukwelikweli. Dr. Slaa.
 
Back
Top Bottom