Kwenye hili la Sitta's sagga na NEC, nimejifunza two important lessons, kwamba:-
1. Tanzania tutaendelea kulipia laana ya dhambi ya kumkataa Mrema, kwenye urais kwa sababu so far ana-stand tall kwa kuwa kiongozi pekee wa juu wa bara, aliyeweza kurudisha kadi ya CCM bila kufikiria mara mbili.
2. Utawala wa sasa umeanza kukubali kushindwa, kwa sababu Diria na Mwinyi walipoingia Ikulu, walijaribu sana mwanzoni kumrushia vijembe Mwalimu, lakini within time wakakwama kwa sababu hawakuwa na uwezo wa kuongoza, ndipo Mwalimu akaanza kuwachapa bakora akianzia kwenye sikuu ya wakulima Mbeya,
- Hawa Membe na Muungwana, walipoingia na wao walianza na zile zile za kumrushia vijembe Mkapa, lakini recently wamenza kunyoosha taulo la kushindwa, now Mkapa is on his way back sio siri soon na yeye ataanza kuwachapa bakora kama zile zile za Mwalimu,
Masikini ya Mungu wananchi wa Tanzania, tutawachagua tena anyways!
Respect.
Field Marshall Es