Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

Uko wapi FMES? tafadhali naomba tumalizie hiyo pati nyingine watu tulale! usingizi hauji bila kupata ukurasa wa mwisho huo.

BTW,nahisi mimi nitakuwa wa mwisho kumuelewa JK (alikuwa anaangua kicheko?).Hii inanifanya nifikirie bila kupata majibu. Mhh sijui.

Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki wakulima na wafanyakazi wa Tanzania.
 
Mkulu FMES
Kwa kusaidia tu ni kwamba baada ya hao alikuja Simba Mwakyembe.Mie simafagilii sana lakini hili nasimama naye .Alimwambia haya maneno direct ndugu Mwenyekiti wa CCM.

Mwenyekiti all these folks wanaongea nonsense we unaona ni jambo la maana una waachia wana endelea tu .Unakumbuka how we did help you kwa kuzima moto wa wananchi juu ya mawaziri wako kusakamwa na kuzmewa kila kona ya Nchi hadi kufanya hali iwe shwari , hata sasa ,Je haya ndiyo malipo ambayo umetuandalia kwa kashfa na kuombwa kuwa tried kama wahaini na kutakiwa kurudisha kadi eti twende Chadema?

JK hakujibu kitu hadi mida hii naandika haya .

Tuendelee kukanyaga mafuta twende .

uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwwwwwwwwwiiiiii!yee mukwi yi nguluvi
mwakyembe ameamua kuwa risk taker moja kwa moja?lakini the thing is,for now hawawez kuwafukuza,kwasababu wapiga kura wengi wanajua kinachoendelea!
 
Uko wapi FMES? malizia hiyo pati nyingine watu tulale! usingizi hauji bila kupata ukurasa wa mwisho huo.

BTW,nahisi mimi nitakuwa wa mwisho kumuelewa JK (alikuwa anaangua kicheko?).Hii inanifanya nifikirie bila kupata majibu. Mhh sijui.

Mungu ibariki Tanzania,Mungu wabariki wakulima na wafanyakazi wa Tanzania.

Mungu anaibariki Tanzania kila sekunde, ni sisi ndo tunashindwa kumalizia home work yetu inayoanzia pale ambapo Yeye siku zote ametuachia tufanye wenyewe.
Mungu ametupa ardhi nzuri yenye kila kitu, ametupa watu wenye uwezo mkuu wa kupambanua mambo wengine tunao humu ndani kama akina Dr Slaa. Lakini kwa Tamaa izidiyo ile ya Fisi na Ujinga usiopimika tunaweka baraka za Mungu,Uwezo wetu na Urithi wetu mkuu pembeni na kujiuza miili yetu kwa thamani ya shanga za viunoni( Magari,Vijisenti, Tution Fees kwa makinda yetu 1St World) kwa Mashirika Makubwa ya Kimataifa yaliyo Maajenti wa ukoloni Mambo leo.
Mashirika hayo hutufanya vibaya sisi na uzao wetu na kunajisi Ardhi yetu nzuri na vyote vilivyomo na kuwageuza watu wetu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria wakimbizi wa mafanikio yao wenyewe katika kila pembe ya dunia ya kwanza.

"Kwa gharama kubwa sana,sisi Watanzania tumewaweka viongozi hawa na kwa Gharama kubwa ni sisi Watanzania wenyewe tutawaondoa viongozi hawa "
 
...Mrema ndio Kiongozi ingawaje ana mapungufu yake,nina uhakika tungekuwa much better kuliko hawa wa sasa hivi,tatizo la umaskini wetu ni moja tuu..CCM!
Tuko pamoja..yaani ni bora tutafute mjiga mmoja aongoze hii nchi kuliko hawa wasanii
 
- Mkulu Lunyungu, shukrani sana kwa kuendeleza libeneke na what Mwakyembe had to say, kama ulivyosema yeye alimkumbusha Mwenyekiti wa CCM kwamba anatakiwa kuwashukuru wabunge hao kumi na moja, ambao ndio waliomsaidia kuwanyamazisha wananchi na ile zomea zomea ya mawaziri wake na pia alimtaka awe tayari kujibu haya yote yaliyojiri kwenye hiki kikao, mbele ya wananchi kwenye uchaguzi wa 2010.

Respect Lunyungu tupo pamoja sana hapo!, now back to Mgeja and then tutaendelea na more dataz kesho!

Respect.

Field Marshall Es!
 
uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwwwwwwwwwiiiiii!yee mukwi yi nguluvi
mwakyembe ameamua kuwa risk taker moja kwa moja?lakini the thing is,for now hawawez kuwafukuza,kwasababu wapiga kura wengi wanajua kinachoendelea!
ata mimi naamini walikuwa wanawatisha..hivi leo hii watu kama sita, mwakyembe, seleli,ole sendeka, Malecela na mkewe...hapo ccm pata kali?....
 
Huyu Guninita at one time back in the 1990's aliwahi kuwa M/kiti wa mradi wa mabasi ya wanafunzi Dar es salaam wanafunzi wakachangishwa hela ili wawe wanapanda mabasi yao na waondokane na hadha ya makonda wa daladala, mabasi yakaletwa na yalitumiwa na wanafunzi at the most six months!! the lest was history Guninita akafisadi huu mradi ashukuru Mungu sikosomea sheria kwa kero hii ningeenda mahakamani kumshitaki yeye binafsi kwa wizi na ufisadi wake!! Kwa hivyo yeye ni mwizi tangu kuumbwa sijui na Chadema walimpokeaje!! Unategemea nini!! the unfortunate thing ambajo mimi nalia nacho ni hao waliojuu, hivi ni wajinga kiasi hicho au ni wezi kumshinda yeye maana kama kweli walichekelea hiyo ni Ishara mbaya they are proving to be too stupid!! Shame on you all fisadis
Lakini naamini siku na saa Mungu atainusuru Tanzania na ufedhuli huu
Mungu Ibariki Tanzania
 
nafikiri hakuna sifa maalumu za kumfanya mtu kuwa M-NEC zaidi ya kuwa mwanachama na kuchaguliwa kwa kura....naona kuna mchanganyiko wa followers wa makundi yaliyopo sisiemu i.e. khadija kopa(i guess yumo),mh Komba(alikuwemo tokea akiwa kiongozi wa TOT), Jongo n.k .....kwenye maamuzi mazito kunahitaji watu serious na wenye utashi wa kisiasa. sisiemu wanavitumia vibaya vikao hivi hasa kwa kuwapa airtime kubwa vibaraka waliotumwa kuvuruga nchi....inaumiza sana watu wote wanaoshabikia na wanaoendesha hujuma hizi kwa nchi yetu wana vitega uchumi nje ya nchi yetu....na wengine kwa siri wana uraia wa nje kama ilivyokuwa kwa ndugu Balali....alipofariki ilisemekana alishakuwa raia wa marekani. tunao na wengine watakuwa ni raia wa visiwa vya Jersey,wengine ni raia wa uarabuni na wengine ni waswiss....wameshatanguliza pesa huko. wana uhakika wa maisha mazuri baada ya Tz kuchafuka......Nampenda sana Mungu,saana na sitaacha kumpenda milele yote...Mungu hawezi kuacha watu wake walie machozi kwa nchi yao bila kuwalipa......ameuandaa mwisho wa wanyang'anyi hawa...hautatofautiana sana na miisho ya akina Ballali,kighoma malima,na wengine tunawaona pale kisutu court wana maji makubwa lakini wamekauka midomo,hii ni miisho ambayo hawakuwahi kudhani ingewakuta.....Mungu siyo fisadi tuendelee kupigana atatulipa tu na Tanzania itadumu tu.
 
- More dataz ni the next on the line, alikuwa Mwenyekiti wa CCM Shinyanga, yeye aliwaunganisha hawa wapiganaji na Mengi, alimtaka Mwenyekiti wa CCM kusema wazi mbele ya kikao kama ni yeye anayewatuma kuzunguka na Mengi, mikoani kutoa toa hela kwa wananchi,

"......maana huyu Mengi amekuja Kahama na wabunge wake hao 10, mmoja Anne Kilango hakuja lakini wengine wote walikuwepo..." ".....mheshimiwa Mwenyekiti ni kweli wewe ndiye unayewatuma hayo wanayoyafanya kama wao wenyewe wanavyodai kwenye hiyo misafara?....."

- Hapa Muungwana was annoyed akaacha kucheka, akamuuliza Mgeja "....vipi na wewe unataka kuanza kuzunguka nao?....."

- Mgeja, "...... Mwenyekiti una maana unataka tuwapongeze hawa wapiganaji wako?...."

- Muungwana akaamua kumchagua mjumbe mwingine, wakuu kwa leo naomba kuishia hapa na hizi dataz, lakini kesho tutaendelea zaidi mpaka tuwafunue wale wote waliozungumza ndani ya hii Ze-comedy of the Century yaani kikao cha taifa cha Halamshauri Kuu ya CCM!

Respect.


Field Marshall Es!
 
Field Marshall Es,
Mkuu wangu kama wewe ni Mpambanaji bila shaka hii sinema ndio haswa utamaduni wetu. Zinapigwa weee kisha mnasimama na kucheza ngoma za jadi kupandisha mashetani..Hata Ze Comedy inaongoza nchini kwa watazamaji wengi kuliko vipindi vyote. Taarifa ya habari ndio ya mwisho unless ina habari kama hizi...ulizia Bongo utaambiwa kwamba mkutano huu umechukua nafasi kubwa ya mazungumzo nchini na sii kwa sababu ya Sitta ila vichekesho vilivyokuwepo huko Chimwaga..
Kumbuka msemo wako, Viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe. Na hakika hata mimi kama ningekuwa mwenyekiti wa kikao hicho ningependa sana kumpa nafasi mchekeshaji kama Budran kwa wajumbe kabla ya mambo muhimu kushika moto.

Mkuu inachekesha sana na pengine niseme ni aibu kwetu sisi wapiga kura kuwachagua watu kama hawa.. Hivi kweli mnaweza kunambia hawa watu wameweza vipi kupata kura za wananchi kama sisi hatufanani nao..
Kisha basi, tazama majibu ya JK yalikuwa ktk kuzuia hoja zinazowavuta watu wasiokuwa wajumbe wa mkutano huo..Yeye alitaka wajumbe wa stick na hoja zao kuhusiana na kundi la wabunge 11..ndio maana mjumbe alipotamka kuhusu Mengi alimkata kauli na kuuliza tofauti ya takrima itokayo kwa Mengi na ile mjumbe anayochukua toka kwa Bakhresa..Yaani sinema ya Martin huwezi tegemea kukuta mambo ya James Bond..

Mwakyembe kasema alosema kwa sababu hafahamu picha iliyoandaliwa na JK, na ilimpa wasiwasi kuona mafisadi wakisikilizwa na jukwaa kubwa wakionyesha kutumbuizika!..Mkuu Mwakyemba hajiamini. ni mwoga na kila mara anataka sana kuwa na Mpambe pembeni ili maji yakiwa mazito ajue kuna bouncer pembeni.... Sii mpiganaji hivyo, ila ni mzuri kumtumia pale unapohitaji comentator kama zile sinema za kichina na kihindi mara nyingi Co star huwa na mchawi wa maneno pembeni.

Yote ni katika raha za kuadhimisha Udanganyika wetu.. NDIVYO TULIVYO, babuuuu!u
 
Last edited:
Huyu Guninita at one time back in the 1990's aliwahi kuwa M/kiti wa mradi wa mabasi ya wanafunzi Dar es salaam wanafunzi wakachangishwa hela ili wawe wanapanda mabasi yao na waondokane na hadha ya makonda wa daladala, mabasi yakaletwa na yalitumiwa na wanafunzi at the most six months!! the lest was history Guninita akafisadi huu mradi ashukuru Mungu sikosomea sheria kwa kero hii ningeenda mahakamani kumshitaki yeye binafsi kwa wizi na ufisadi wake!! Kwa hivyo yeye ni mwizi tangu kuumbwa sijui na Chadema walimpokeaje!! Unategemea nini!! the unfortunate thing ambajo mimi nalia nacho ni hao waliojuu, hivi ni wajinga kiasi hicho au ni wezi kumshinda yeye maana kama kweli walichekelea hiyo ni Ishara mbaya they are proving to be too stupid!! Shame on you all fisadis
Lakini naamini siku na saa Mungu atainusuru Tanzania na ufedhuli huu
Mungu Ibariki Tanzania

- Mwalimu bwana hapa ndipo ninapomkumbuka sana, maana yeye alikuwa na tabia moja ya ajabu sana lakini nimegundua kua ilikuwa ni saafi sana, yeye mijitu mizima yenye wake na watoto kama hawa kina Kusila na Guninita, alikuwa akiisubiri yakimaliza kutema sumu zao, anayaita Ikulu kwa chakula,

- Yalivyo majinga yanakambilia nyumbani kujivalisha vizuri kuwahi pilau la Ikulu, yakifika kule yanamkuta Mwalimu anayasubiri, Guess what! Mwalimu anayakaribisha na kuchomoa fimbo chini ya desk lake, na kuyaambia yainame chini haraka sana na kuanza kuyalamba bakora kama matoto madogo garademiti!

I mean what else can you do na haya maguo guo, chapa bakora tu shwaini!

Respect.


Field Marshall Es!
 
Field Marshall Es,
Mkuu wangu kama wewe ni Mpambanaji bila shaka hii sinema ndio haswa utamaduni wetu. Zinapigwa weee kisha mnasimama na kucheza ngoma za jadi kupandisha mashetani..Hata Ze Comedy inaongoza nchini kwa watazamaji wengi kuliko vipindi vyote. Taarifa ya habari ndio ya mwisho unless ina habari kama hizi...ulizia Bongo utaambiwa kwamba mkutano huu umechukua nafasi kubwa ya mazungumzo nchini na sii kwa sababu ya Sitta ila vichekesho vilivyokuwepo huko Chimwaga..
Kumbuka msemo wako, Viongozi wetu ni reflection yetu sisi wenyewe. Na hakika hata mimi kama ningekuwa mwenyekiti wa kikao hicho ningependa sana kumpa nafasi mchekeshaji kama Budran kwa wajumbe kabla ya mambo muhimu kushika moto..
Mkuu inachekesha sana na pengine niseme ni aibu kwetu sisi wapiga kura kuwachagua watu kama hawa.. Hivi kweli mnaweza kunambia hawa watu wameweza vipi kupata kura za wananchi kama sisi hatufanani nao..
Kisha basi, tazama majibu ya JK yalikuwa ktk kuzuia hoja zinazowavuta watu wasiokuwa wajumbe wa mkutano huo..Yeye alitaka wajumbe wa stick na hoja zao kuhusiana na kundi la wabunge 11..ndio maana mjumbe alipotamka kuhusu Mengi alimkata kauli na kuuliza tofauti ya takrima itokayo kwa Mengi na ile mjumbe anayochukua toka kwa Bakhresa..

Mwakyembe kasema alosema kwa sababu hafahamu picha iliyoandaliwa na JK, na ilimpa wasiwasi kuona mafisadi wakionyesha kusikilizwa na jukwaa kubwa wakionyesha kutumbuizika!..Mkuu Mwakyemba hajiamini. ni mwoga na kila mara anataka sana kuwa na Mpambe pembeni ili maji yakiwa mazito ajue kuna bouncer pembeni.... Sii mpiganaji hivyo, ila ni mzuri kumtumia pale unapohitaji comentator kama zile sinema za kichina na kihindi mara nyingi Co star huwa na mchawi wa maneno pembeni.

Yote ni katika raha za kuadhimisha Udanganyika wetu.. NDIVYO TULIVYO, babuuuu!u

- Bob kwa mawazo yangu looking at this thing kwa haraka haraka, ni kwamba CCM na Muungwana, wako off the line kwa sababu this is a display of arrogance kwamba wananchi wa Tanzania hatuwezi kuwafanya lolote, makosa makubwa ya Kaunda, wananchi walipomtosa akataka kura zirudiwe kuhesabiwa mara kumi.

- Tizama bunge ni Mhimili unaotakiwa kujisimamia wenyewe katika moja ya lile sharti la demokrasia ya kweli, Executive branch au Judicial branch, hazina mamlaka yoyote ya kulivamia bunge kama hapa jinsi ambavyo Executive branch imefanya kulivamia bunge kwa kisingizio cha chama, it is wrong, na hasa ile final communique ya Chiligati ni very poor politically mpaka diplomatically, unheard kabisa katika modern political arena za dunia kwa sababu that is an insult directed to one person na sio kauli ya chama in general inavyotakiwa kuwa, kwa all its members!

- your theory makes a lot of sense mpaka inapofikia hapo kwenye tamko la mwisho la kikao, kwani lina-defy all rules of the political game na hiyo communique ni very peasantry in thinking as opposed na the ruling class thinking kama ilivyotakiwa iwe, sasa kama viongozi wetu wa juu ni peasantry in thinking, then nani atamrekebisha mwingine kati yetu wananchi wakulima na wao viongozi wetu au the ruling class?

Ndio maana Mwalimu, alikuwa anawaita kina Mwabulambo na Anangisye na kuwalamba bakora kule Ikulu ni kwa sababu ya this kind of low IQ thinking in the ruling class!

Respect.

Field Marshall Es!
 
- More dataz ni the next on the line, alikuwa Mwenyekiti wa CCM Shinyanga, yeye aliwaunganisha hawa wapiganaji na Mengi, alimtaka Mwenyekiti wa CCM kusema wazi mbele ya kikao kama ni yeye anayewatuma kuzunguka na Mengi, mikoani kutoa toa hela kwa wananchi,

"......maana huyu Mengi amekuja Kahama na wabunge wake hao 10, mmoja Anne Kilango hakuja lakini wengine wote walikuwepo..." ".....mheshimiwa Mwenyekiti ni kweli wewe ndiye unayewatuma hayo wanayoyafanya kama wao wenyewe wanavyodai kwenye hiyo misafara?....."

- Hapa Muungwana was annoyed akaacha kucheka, akamuuliza Mgeja "....vipi na wewe unataka kuanza kuzunguka nao?....."

- Mgeja, "...... Mwenyekiti una maana unataka tuwapongeze hawa wapiganaji wako?...."

- Muungwana akaamua kumchagua mjumbe mwingine, wakuu kwa leo naomba kuishia hapa na hizi dataz, lakini kesho tutaendelea zaidi mpaka tuwafunue wale wote waliozungumza ndani ya hii Ze-comedy of the Century yaani kikao cha taifa cha Halamshauri Kuu ya CCM!

Respect.


Field Marshall Es!

Mkuu tunashukuru kwa dataz
Lakini mie ninalotaka kusisitiza hapa na ninalolifahamu ni kucheka kwa muungwana hakuna maana anaunga hoja,muungwana ndivyo alivyoumbwa kutabasamu,wapo/tupo wengi hata kama mtu anatukwanwa unakuta anatabasamu.
 
Mkulu FMES
Kwa kusaidia tu ni kwamba baada ya hao alikuja Simba Mwakyembe.Mie simafagilii sana lakini hili nasimama naye .Alimwambia haya maneno direct ndugu Mwenyekiti wa CCM.

Mwenyekiti all these folks wanaongea nonsense we unaona ni jambo la maana una waachia wana endelea tu .Unakumbuka how we did help you kwa kuzima moto wa wananchi juu ya mawaziri wako kusakamwa na kuzmewa kila kona ya Nchi hadi kufanya hali iwe shwari , hata sasa ,Je haya ndiyo malipo ambayo umetuandalia kwa kashfa na kuombwa kuwa tried kama wahaini na kutakiwa kurudisha kadi eti twende Chadema?

JK hakujibu kitu hadi mida hii naandika haya .

Tuendelee kukanyaga mafuta twende .

Watanzania kwa kupenda kujidanganya! Haha Haaaaa!

Mtu ambaye alishindwa hata kumtetea boss wao Sitta, leo eti unasema alisema nini? Hakuna aliyekuwa na courage hata ya kumtetea Sitta, achilie hata kumwambia hivyo rais.

Endeleeni na kujifurahisha kwenu! Mengine yote hapa tuko kweli kwenye Ze Comedy!

Tuliambiwa eti kikao si muhimu hata Malecela na mkewe wameamua kwenda London. Kumbe mzee aliona kuna mawe yanakuja, akamua kukimbia na mali yake.
 
Field Marshall ES,
Mkuu labda hukumjua vizuri Nyerere.. tena basi yeye angeweza kuintataini zaidi mambo kama
haya na akacheka saana..lakini wait siku utakapo itwa Iliulu..Kwa sababu Nyerere naye alikuwa mtoto wa mjini..
Nachosubiri mimi ni kinachofuatia uchaguzi wa 2010. Nina hakika kabisa haya yote yameandaliwa makusidi kuwapata wagombea wa kila jimbo, wakuu wa mikoa na kadhalika. Kama JK atashindwa itakuwa kheri pia lakini sidhani kama Lowassa ana nafasi tena kwani watu wake wote wanajulikana na hakika hakuna hata mmoja atapita hata mchujo wa kwanza.. Ni mchezo wenu CCM, yaleyale yaliyomkuta Malecela sasa yataingia hadi ktk chaguzi za kata..
 
Field Marshall ES,
Mkuu labda hukumjua vizuri Nyerere.. tena basi yeye angeweza kuintataini zaidi mambo kama
haya na akacheka saana..lakini wait siku utakapo itwa Iliulu..Kwa sababu Nyerere naye alikuwa mtoto wa mjini..
Nachosubiri mimi ni kinachofuatia uchaguzi wa 2010. Nina hakika kabisa haya yote yameandaliwa makusidi kuwapata wagombea wa kila jimbo, wakuu wa mikoa na kadhalika. Kama JK atashindwa itakuwa kheri pia lakini sidhani kama Lowassa ana nafasi tena kwani watu wake wote wanajulikana na hakika hakuna hata mmoja atapita hata mchujo wa kwanza.. Ni mchezo wenu CCM, yaleyale yaliyomkuta Malecela sasa yataingia hadi ktk chaguzi za kata..

itakuwa heri !!lakini swali kama ndiyo huo mpango mwema mbona Jm alichomoa?
 
JM alimpigia chapuo juzi hapa halafu leo hii awe yeye ndiye mfanya fitina
Kweli ya wanasiasa waachie wanasiasa wenyewe
 
si ndio maana alijiita ni tinga tinga unajuwa maana yake?


tingatinga maana yake linachimba barabara halafu ikiwa nzuri linazuiwa kupita..kwi kwi kwi
btw mwambieni Mwakalinga atafute jimbo lingine mapema Mwakyembe injini kubwa!
 
Back
Top Bottom