Mpita Njia
Platinum Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,189
Mkuu, wala si peke yako. Mambo yanayofanywa na kusemwa na CCM yanaekleweka kwa mtu mwenye akili kama za mwendawazimumi mbona sielewi haya mambo jamani
Mkuu, wala si peke yako. Mambo yanayofanywa na kusemwa na CCM yanaekleweka kwa mtu mwenye akili kama za mwendawazimumi mbona sielewi haya mambo jamani
Nani kukuambia kuwa wabunge wengi hawana imani na Sitta? au umefanya research lini? NEC siyo wabunge wa CCM, kwani bunge lina-members wangapi? na walioko NEC ni wangapi? hata huko NEC si wote wanaompinga.
Pia unapaswa kujua kuwa waananchi wengi wanachukia ufisadi hasa suala la Richmond na EPA. Sitta akiachia kiti, itakuwa hatari kubwa kwa CCM kwani itaonyesha wazi na rasmi kuwa CCM ni chama cha mafisadi.
Wazee na Waheshimiwa wana jamvi
Nikiwa mjumbe wa NEC nisiye na kundi lolote, nawajibika kuweka sawa rekodi moja katika mjadala unaoendelea kuhusu Spika Sitta na kilichotokea ndani ya ukumbi wa mkutano wa NEC.
Baada ya mjadala mrefu ulioshabikiwa sana na wajumbe wengi huku hoja zao zikijiwa bila jazba na wajumbe wachache lakini wanaoheshimika, Spika Sitta alikutana faragha na Mwenyekiti JK, Rais Mwinyi na Kinana. Baada ya faragha ile ambayo bado ni siri, Spika Sitta alipopata nafasi alisema maneno machache sana yenye pointi mbili. Kwanza, aliwashukuru wajumbe kwa kutumia uhuru wao kutoa maoni yao. Pili, alisema anaiachia meza kuu kutafakari yaliyosemwa na pande zote. Kisha alimaliza na kukaa.
Hata kama sikubaliani na baadhi ya misimamo yake, siwezi kusema kuwa aliomba radhi. Lakini pia siwezi sema alikosa watetezi kama inavyoripotiwa. Kulikuwa na hoja nzito, tena nyingine kutoka visiwani zilizomtetea.
Kiroja cha mjadala alikuwa Guninita, Mwenyekiti wa Mkoa wa DSM aliyechemka lakini JK akamzodoa kwa kumwambia "kama ana uchungu na chama mbona alikiacha na kwenda CHADEMA na kuitukana CCM kwa miaka miwili?"
Habari ni hiyo.
Baija
Wazee na Waheshimiwa wana jamvi
Nikiwa mjumbe wa NEC nisiye na kundi lolote, nawajibika kuweka sawa rekodi moja katika mjadala unaoendelea kuhusu Spika Sitta na kilichotokea ndani ya ukumbi wa mkutano wa NEC.
Baada ya mjadala mrefu ulioshabikiwa sana na wajumbe wengi huku hoja zao zikijiwa bila jazba na wajumbe wachache lakini wanaoheshimika, Spika Sitta alikutana faragha na Mwenyekiti JK, Rais Mwinyi na Kinana. Baada ya faragha ile ambayo bado ni siri, Spika Sitta alipopata nafasi alisema maneno machache sana yenye pointi mbili. Kwanza, aliwashukuru wajumbe kwa kutumia uhuru wao kutoa maoni yao. Pili, alisema anaiachia meza kuu kutafakari yaliyosemwa na pande zote. Kisha alimaliza na kukaa.
Hata kama sikubaliani na baadhi ya misimamo yake, siwezi kusema kuwa aliomba radhi. Lakini pia siwezi sema alikosa watetezi kama inavyoripotiwa. Kulikuwa na hoja nzito, tena nyingine kutoka visiwani zilizomtetea.
Kiroja cha mjadala alikuwa Guninita, Mwenyekiti wa Mkoa wa DSM aliyechemka lakini JK akamzodoa kwa kumwambia "kama ana uchungu na chama mbona alikiacha na kwenda CHADEMA na kuitukana CCM kwa miaka miwili?"
Habari ni hiyo.
Baija
Shukrani za dhati Mkuu Baija Balobi (Mjumbe wa NEC-CCM Kama ulivyojiita mwenyewe) kwa ufafanuzi wako wa nini kilichojiri huko Dodoma,Lakini pamoja na maelezo yako yote,ni ukweli usiopingika kwamba Mh.Sitta amepoteza Imani/umaarufu kwa Wabunge walio wengi haswa Wabunge wa CCM.
Kwa kuwa Wana-NEC (Haswa Wabunge wa CCM) walipendekeza Spika apokonywe kadi yake ya chama ili wamvue Ubunge na baadaye Uspika ,kushindwa njama hiyo.Nafikiri Spika kwa hiyari yake mwenyewe ajiuzulu Uspika,kwa sababu katika mazingira yaliyopo sasa,hawezi kuongoza Chombo hicho ikiwa Idadi kubwa ya Wabunge hawamkubali.
Ni wazi kuwa atabaki na Ubunge wake wa Urambo,mpaka hapo mwakani katika Uchaguzi....Atakuwa ana nafasi kubwa ya kuwashitaki Wapinzani/Wabaya wake kwa wananchi kwa jinsi walivyomfanyia Fitina kwa kutetea haki ya watanzania.....Sitomuelewa Sitta ikiwa atang'ang'ania kubaki na Uspika wake!Kule kukubali suluhisho Dodoma ilikuwa kwa Mantiki ya kutaka Kubaki na Wadhifa wa Ubunge (Anawajali watu wa Urambo waliompigia kura),Maana kama angekubali kurudisha Kadi,ni wazi kwamba angejivua Ubunge na kujiondoa kwenye Uspika.Na moja kwa moja angekuwa hajawatendea haki waliomchagua.
Hata hivyo imefika Wakati sasa kumtafuta SPIKA nje ya Bunge...Wanazuoni tuangalie sheria za Bunge zinasema vipi...Kwa sababu kwa mtindo huu wa sasa,kila wakati Spika atakuwa anaendesha Bunge kwa matakwa ya Chama chake kwa kuhofia kuwa atashitakiwa kwenye Vikao vya chama.
Utabiri wangu unaniambia kuwa Mh.Sitta atajiuzulu Uspika wa Bunge la Jamuhuri,kutokufanya hivyo itakuwa ni kufilisika Kisiasa...Huwezi kuongoza watu wasiokuwa na imani nawe.
Na. M. M. Mwanakijiji
Alichofanya Spika Sitta ni kile vitani kinaitwa "strategic retreat" yaani kurudi nyuma kimkakati ili kujipanga upya. Kama nilivyoandika wiki iliyopita hii ni vita na siyo mapambano. Unaweza ukapoteza pambano moja au mawili lakini mwisho wa siku utashinda vita.
Yaliojiri katika mkutano wa CCM Dodoma yameniacha njia panda hasa kuhusiana na ile dhana ya Separation of Powers. Mahakama ni chombo huru chenye mamlaka yake ambacho hakitakiwi kuingiliwa, vivyo hivyo na Bunge na Serikali (Executive). Ila yaliyotokea Dodoma kwa ndugu yetu Sitta (Spika=Bunge) kuwekwa kiti moto inanipa tabu kuelewa hii dhana ya sep of powers imekaaje. Msaada tafadhali.
Ningekubaliana na wewe kuwa hili jambo si dogo kama lingekuwa limejadiliwa na CCM ile iliyokuwa inajadili mambo bila ya kuwa na macho ya makengeza, bila ya kuangalia maslahi ya mtu au kikundi. lakini mwa mwendo huu wa sasa, ambao mtu mmoja anawezxa ku-influence kikao chochote cha CCM, siungani na mawazo yakoHili suala la Mh.Sitta sio dogo kama hivyo unavyofikiri,kabla ya kufika kwenye NEC ya CCM lilijadiliwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya Chama kabla ya kupelekwa kwenye CC baada ya kuwa na Mshike mshike huko ndio likapelekwa kwenye NEC ambako pia Wabunge wengi wa CCM wapo huko.
Kwa Utaratibu wa maamuzi ya CCM mpaka jambo hilo limepita katika Vikao vitatu vya Chama ujue kuwa ni jambo kubwa na zito,hata hao Viongozi wakuu wa chama wana mawazo tofauti katika hukumu ya Jambo hilo....
Mkuu, wala si peke yako. Mambo yanayofanywa na kusemwa na CCM yanaekleweka kwa mtu mwenye akili kama za mwendawazimu
Hili suala la Mh.Sitta sio dogo kama hivyo unavyofikiri,kabla ya kufika kwenye NEC ya CCM lilijadiliwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya Chama kabla ya kupelekwa kwenye CC baada ya kuwa na Mshike mshike huko ndio likapelekwa kwenye NEC ambako pia Wabunge wengi wa CCM wapo huko.
Kwa Utaratibu wa maamuzi ya CCM mpaka jambo hilo limepita katika Vikao vitatu vya Chama ujue kuwa ni jambo kubwa na zito,hata hao Viongozi wakuu wa chama wana mawazo tofauti katika hukumu ya Jambo hilo....Hatuwanyoshei Vidole ,lakini katibu Mkuu wa Chama anaungana na wanaomtakia mabaya Mh.Sitta,Makamu wa Mwenyekiti yupo Upande wa Mh.Sitta,waasisi wengi wa Chama wapo na Sitta, kwa maana hiyo Mwenyekiti anavutwa kila Upande,Kwa sababu nae anaingia kwa namna fulani kwenye upande wa Mafisadi .........Na amini maneno ya watu hapa ....Bado Upande unaompiga Vita Mh.Sitta una nguvu za ajabu....Una pesa na upo karibu na Watendaji wengi wa Serikali.
Bunge letu lina Wabunge karibu 320.Ukiacha Wabunge wa Upinzani,Wabunge wa kuteuliwa na wale wa Majimbo wana ukaribu zaidi na Wabunge Magwiji wanaompiga Vita Mh.Sitta...kumbuka kuwa Wabunge wengi wameingia kwa kupewa na kukopeshwa pesa za kutafuta huo Ubunge!......waliowasaidia kutafuta Ubunge huo ndio hao leo hawamtaki Mh.Sitta.
Mkuu Nemesis fumbua macho vita hii ni kubwa....Na nakwambia kweli...Mh.Sitta awe na jeuri na kusimamia anachoamini vinginevyo kipindi cha kumalizia Bunge hili Uspika wake utakuwa Mgumu.
Na wasichokijua wao ni kuwa wanaua ule mfumo wa chama endelevu. Hivyo, mafanikio yao yatakuwa ya muda na yatafika mwisho, na mwisho huo, kwa kutokujua kwao, waja upesi kuliko wanavyofikiriana CCM ndo wakitakacho..muwadharauuuuuuu... muone kuwafatilia ni akili za kiuenda wazimu .. huku wao wakifany avitu vyao... bila maovu haya ya sisiemu hungekuwa nahali nasikini hivi wakati tunautajiri wa kutupa???
Ukweli ndo huo. Habari za kuwa Sitta ameomba radhi zinaenezwa na akina Rostam ambao wamehangaika usiku kucha kutugongea vyumbani wakitubembeleza tumtose Sitta. Ndio wameita magazeti mbalimbali kueneza uvumi kuwa Sitta ameomba radhi kwa NEC.
FMES,- Nilisema toka siku ya kwanza ya huu mkutano kwamba habari za Spika kuomba radhi hazikuwa na ukweli wowote, ahsante mkuu kwa kuthibitisha hilo.
Respect.
FMEs!
- Hela zote walizi-invest kwa wajumbe wa visiwani knowing kwamba huwa wanaweza kumtishia Muungwana, lakini wakachemsha Spika ana support kubwa sana ya wabunge aliowapa marupu rupu mengi ya ajabu, lakini the damage is done na ninaamini kwamba Spika hatarudi bungeni kwani anahitaji miracle kushinda tena jimbo!
Respect.
FMES!
Mtanzania yeyote mwenye sifa ya kuwa MBUNGE anaweza kugombea nafasi ya SPIKA.. Shida ni KURA utazipataje bila kuungwa mkono na Wabunge wa Chama chako.Hii nchi sijui inaenda wapi, yani watu hawalali wameshatangulia jimboni kumzibia 6.. nisaidieni.. kwani spika lazma awe mbunge wa kuchaguliwa ndo awe spika???
Baija Bolobi said:Wakadai Sitta anautaka Urais kupitia bungeni na wakataja matukio kadhaa kuunga mkono madai yao hayo.