Hii ndio CCM ya siku hizi, mjumbe wa NEC anaeneza ujumbe unaosema WAREMBO HUNUKA KIKWAPA
Kwani uongo? Mjumbe wa NEC lazima ajue kucheza na nahau za lugha eti! huo msemo si ni sawa tu na si vyote ving'aavyo ni dhahabu?
Hii ndio CCM ya siku hizi, mjumbe wa NEC anaeneza ujumbe unaosema WAREMBO HUNUKA KIKWAPA
Na 'tindishubila aba naluga aha gombolola' yaani maana yake 'anayesema sirudii tena kufanya kosa huwa anatokea mahakamani'!Guninita alinyweshwa chungu
Kabila fulani wanaita 'tindishubila'. Akome na kihelehele!
Well, pima mwenyewe uamue. Nilikuwa ndani ya kikao. Waandishi wanaoandika kuwa kaomba radhi wanasema "Chanzo chetu cha uhakika ndani ya kikao".
Ni kweli mambo yalikuwa mazito kweli kwa sababu wabaya wa Sitta walipoona hawaungwi mkono kama walivyotaka, na hasa baada ya kuona JK hashtuki na kuwaunga mkono, wakaja na kubwa zaidi: Wakadai Sitta anautaka Urais kupitia bungeni na wakataja matukio kadhaa kuunga mkono madai yao hayo.
Tunakoenda ni giza tupu ndugu zangu. Akina mama wengi wamelia sana ukumbini.
I really don't care kile CCM wanafanya kwenye mikutano yao na kwa wanachama wao! Hizo ni "party politics". Lakini wanapovuka mpaka wa kuanza kuhoji mambo yanayofanyika Bungeni kwenye vikao vyao vya chama wanavunja mpaka wa uelewa wa uhuru wa mihimili. Hivi ni kitu gani kitawazuia nec kujadili Mahakama Kuu siku Mahakama hiyo ikitoa hukumu ya kuiumiza CCM?
Kosa la Sitta katika hili ni kuentertain malalamiko yanayohusiana na Bunge kujadiliwa kwenye kikao cha CCM. Alitakiwa kuwakatalia pale pale kuwa kama kuna mtu ana issue na yeye kuhusu Bungeni ailete Bungeni; kama siyo Mbunge awasiliane na Mbunge wake wailete Bungeni; na kama ni wabunge wengi wa CCM basi wana kakasi zao kule Bungeni wangeweza kuzungumza na kuchukua msimamo kule. ASINGEKUBALI kabisa kujadili mambo ya Bunge au kuacha watu wamuweke kwenye kona kutokana na nafasi yake ambayo si ya chama.
Kwa kukubali ameshusha hadhi ya uhuruwa USPIKA ni lazima arudishe. Sitarajii Jaji Mkuu kuitwa na CCM na kwenda kuwatolea maelezo ya jinsi gani maamuzu fulani yamefikiwa, kwanini SPIKA akubali?
Nimepima Mwenyewe ila nashindwa kukutofautisha wewe Baija na hao waliosema Chanzo chetu cha uhakika ndani ya kikao kwa sababu kama wewe umeshindwa kujitaja iweje uwalaumu walioshindwa kutaja Chanzo?
CCM kwa sasa hawana UBAVU wa kumnyang'anya kadi Sitta. Wanajua walivyohangaika na Mrema 1995. Mtu kama Mwalimu hayupo ndani ya CCM kwa sasa. Ambacho watakifanya 2010 ni kutompa tiketi ya kugombea Uspika. Kwa sasa tuendelee kutia story tu humu jamvini.
Ninashukuru kwa ufafanizi huu Baija, kwani niliposoma taarifa kuwa Sitta aliomba radhi baada ya yule mwizi ambae pia ni mwenyekiti wa CCm Shinyanga na mafisadi wenzie kuropoka hovyo mkutanoni, sikuelewa sababu ambayo ingemfanya Sitta aombe radhi!! Mtu huomba radhi baada ya kufanya kosa au makosa ,sasa Sitta alifanya kosa gani kuweka bayana baada ya ushahidi kuwa Makamba na Londa walihusika na ufisadi katika halmashauri ya Kinondoni? Je ni kuikosea CCM kuiambia serikali yake kuwa haikuwajibika vilivyo kutekeleza maagizo ya BUNGE kuhusu mafisadi wa RICHMOND?? Kama hivyo ndivyo basi Sitta hana budi kufanya uamuzi wa busara na wa kishujaa juu ya nchi yake kuhusiana na chama cha Mafisadi!!!
Wazee na Waheshimiwa wana jamvi
Nikiwa mjumbe wa NEC nisiye na kundi lolote, nawajibika kuweka sawa rekodi moja katika mjadala unaoendelea kuhusu Spika Sitta na kilichotokea ndani ya ukumbi wa mkutano wa NEC.
Baada ya mjadala mrefu ulioshabikiwa sana na wajumbe wengi huku hoja zao zikijiwa bila jazba na wajumbe wachache lakini wanaoheshimika, Spika Sitta alikutana faragha na Mwenyekiti JK, Rais Mwinyi na Kinana. Baada ya faragha ile ambayo bado ni siri, Spika Sitta alipopata nafasi alisema maneno machache sana yenye pointi mbili. Kwanza, aliwashukuru wajumbe kwa kutumia uhuru wao kutoa maoni yao. Pili, alisema anaiachia meza kuu kutafakari yaliyosemwa na pande zote. Kisha alimaliza na kukaa.
Hata kama sikubaliani na baadhi ya misimamo yake, siwezi kusema kuwa aliomba radhi. Lakini pia siwezi sema alikosa watetezi kama inavyoripotiwa. Kulikuwa na hoja nzito, tena nyingine kutoka visiwani zilizomtetea.
Kiroja cha mjadala alikuwa Guninita, Mwenyekiti wa Mkoa wa DSM aliyechemka lakini JK akamzodoa kwa kumwambia "kama ana uchungu na chama mbona alikiacha na kwenda CHADEMA na kuitukana CCM kwa miaka miwili?"
Habari ni hiyo.
Baija
Kwa kuwa Wana-NEC (Haswa Wabunge wa CCM) walipendekeza Spika apokonywe kadi yake ya chama ili wamvue Ubunge na baadaye Uspika ,kushindwa njama hiyo.Nafikiri Spika kwa hiyari yake mwenyewe ajiuzulu Uspika,kwa sababu katika mazingira yaliyopo sasa,hawezi kuongoza Chombo hicho ikiwa Idadi kubwa ya Wabunge hawamkubali.
Utabiri wangu unaniambia kuwa Mh.Sitta atajiuzulu Uspika wa Bunge la Jamuhuri,kutokufanya hivyo itakuwa ni kufilisika Kisiasa...Huwezi kuongoza watu wasiokuwa na imani nawe.
Shukrani za dhati Mkuu Baija Balobi (Mjumbe wa NEC-CCM Kama ulivyojiita mwenyewe) kwa ufafanuzi wako wa nini kilichojiri huko Dodoma,Lakini pamoja na maelezo yako yote,ni ukweli usiopingika kwamba Mh.Sitta amepoteza Imani/umaarufu kwa Wabunge walio wengi haswa Wabunge wa CCM.
Kwa kuwa Wana-NEC (Haswa Wabunge wa CCM) walipendekeza Spika apokonywe kadi yake ya chama ili wamvue Ubunge na baadaye Uspika ,kushindwa njama hiyo.Nafikiri Spika kwa hiyari yake mwenyewe ajiuzulu Uspika,kwa sababu katika mazingira yaliyopo sasa,hawezi kuongoza Chombo hicho ikiwa Idadi kubwa ya Wabunge hawamkubali.
Ni wazi kuwa atabaki na Ubunge wake wa Urambo,mpaka hapo mwakani katika Uchaguzi....Atakuwa ana nafasi kubwa ya kuwashitaki Wapinzani/Wabaya wake kwa wananchi kwa jinsi walivyomfanyia Fitina kwa kutetea haki ya watanzania.....Sitomuelewa Sitta ikiwa atang'ang'ania kubaki na Uspika wake!Kule kukubali suluhisho Dodoma ilikuwa kwa Mantiki ya kutaka Kubaki na Wadhifa wa Ubunge (Anawajali watu wa Urambo waliompigia kura),Maana kama angekubali kurudisha Kadi,ni wazi kwamba angejivua Ubunge na kujiondoa kwenye Uspika.Na moja kwa moja angekuwa hajawatendea haki waliomchagua.
Hata hivyo imefika Wakati sasa kumtafuta SPIKA nje ya Bunge...Wanazuoni tuangalie sheria za Bunge zinasema vipi...Kwa sababu kwa mtindo huu wa sasa,kila wakati Spika atakuwa anaendesha Bunge kwa matakwa ya Chama chake kwa kuhofia kuwa atashitakiwa kwenye Vikao vya chama.
Utabiri wangu unaniambia kuwa Mh.Sitta atajiuzulu Uspika wa Bunge la Jamuhuri,kutokufanya hivyo itakuwa ni kufilisika Kisiasa...Huwezi kuongoza watu wasiokuwa na imani nawe.
Shukrani za dhati Mkuu Baija Balobi (Mjumbe wa NEC-CCM Kama ulivyojiita mwenyewe) kwa ufafanuzi wako wa nini kilichojiri huko Dodoma,Lakini pamoja na maelezo yako yote,ni ukweli usiopingika kwamba Mh.Sitta amepoteza Imani/umaarufu kwa Wabunge walio wengi haswa Wabunge wa CCM.
Kwa kuwa Wana-NEC (Haswa Wabunge wa CCM) walipendekeza Spika apokonywe kadi yake ya chama ili wamvue Ubunge na baadaye Uspika ,kushindwa njama hiyo.Nafikiri Spika kwa hiyari yake mwenyewe ajiuzulu Uspika,kwa sababu katika mazingira yaliyopo sasa,hawezi kuongoza Chombo hicho ikiwa Idadi kubwa ya Wabunge hawamkubali.
Ni wazi kuwa atabaki na Ubunge wake wa Urambo,mpaka hapo mwakani katika Uchaguzi....Atakuwa ana nafasi kubwa ya kuwashitaki Wapinzani/Wabaya wake kwa wananchi kwa jinsi walivyomfanyia Fitina kwa kutetea haki ya watanzania.....Sitomuelewa Sitta ikiwa atang'ang'ania kubaki na Uspika wake!Kule kukubali suluhisho Dodoma ilikuwa kwa Mantiki ya kutaka Kubaki na Wadhifa wa Ubunge (Anawajali watu wa Urambo waliompigia kura),Maana kama angekubali kurudisha Kadi,ni wazi kwamba angejivua Ubunge na kujiondoa kwenye Uspika.Na moja kwa moja angekuwa hajawatendea haki waliomchagua.
Hata hivyo imefika Wakati sasa kumtafuta SPIKA nje ya Bunge...Wanazuoni tuangalie sheria za Bunge zinasema vipi...Kwa sababu kwa mtindo huu wa sasa,kila wakati Spika atakuwa anaendesha Bunge kwa matakwa ya Chama chake kwa kuhofia kuwa atashitakiwa kwenye Vikao vya chama.
Utabiri wangu unaniambia kuwa Mh.Sitta atajiuzulu Uspika wa Bunge la Jamuhuri,kutokufanya hivyo itakuwa ni kufilisika Kisiasa...Huwezi kuongoza watu wasiokuwa na imani nawe.
haya mambo yeu ya kuegemea kundi fulani ndo yanatuchanganya hapa..mambo ya rostam yanatoka wapi..au na wewe ulikuwa dodoma.mara ngapi CCM wanakaa dodoma na vyomba vya habari vinakwenda kuripoti habari..acha ubabaishaji hapa
Shukrani za dhati Mkuu Baija Balobi (Mjumbe wa NEC-CCM Kama ulivyojiita mwenyewe) kwa ufafanuzi wako wa nini kilichojiri huko Dodoma,Lakini pamoja na maelezo yako yote,ni ukweli usiopingika kwamba Mh.Sitta amepoteza Imani/umaarufu kwa Wabunge walio wengi haswa Wabunge wa CCM.
Kwa kuwa Wana-NEC (Haswa Wabunge wa CCM) walipendekeza Spika apokonywe kadi yake ya chama ili wamvue Ubunge na baadaye Uspika ,kushindwa njama hiyo.Nafikiri Spika kwa hiyari yake mwenyewe ajiuzulu Uspika,kwa sababu katika mazingira yaliyopo sasa,hawezi kuongoza Chombo hicho ikiwa Idadi kubwa ya Wabunge hawamkubali.
Ni wazi kuwa atabaki na Ubunge wake wa Urambo,mpaka hapo mwakani katika Uchaguzi....Atakuwa ana nafasi kubwa ya kuwashitaki Wapinzani/Wabaya wake kwa wananchi kwa jinsi walivyomfanyia Fitina kwa kutetea haki ya watanzania.....Sitomuelewa Sitta ikiwa atang'ang'ania kubaki na Uspika wake!Kule kukubali suluhisho Dodoma ilikuwa kwa Mantiki ya kutaka Kubaki na Wadhifa wa Ubunge (Anawajali watu wa Urambo waliompigia kura),Maana kama angekubali kurudisha Kadi,ni wazi kwamba angejivua Ubunge na kujiondoa kwenye Uspika.Na moja kwa moja angekuwa hajawatendea haki waliomchagua.
Hata hivyo imefika Wakati sasa kumtafuta SPIKA nje ya Bunge...Wanazuoni tuangalie sheria za Bunge zinasema vipi...Kwa sababu kwa mtindo huu wa sasa,kila wakati Spika atakuwa anaendesha Bunge kwa matakwa ya Chama chake kwa kuhofia kuwa atashitakiwa kwenye Vikao vya chama.
Utabiri wangu unaniambia kuwa Mh.Sitta atajiuzulu Uspika wa Bunge la Jamuhuri,kutokufanya hivyo itakuwa ni kufilisika Kisiasa...Huwezi kuongoza watu wasiokuwa na imani nawe.
Mwanakijiji, ni vigumu mno kutenganisha BUNGE, SERIKALI na CCM angalau kwa sasa. Sitta anaingia CC ya CCM kwa wadhifa wake kama Spika. Serikali kwa asilimia zaidi ya 98 inaundwa na WABUNGE, Wabunge wote wa CCM ni wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa CCM. Kwa mchanganyiko huu na hasa ikizingatiwa kwamba hata tiketi ya kugombea USPIKA kapewa na vikao hivyohivyo vya CCM kumjadili kama Spika hakuepukiki. Kuna UJINGA mwingi sana kwenye KATIBA yetu.I really don't care kile CCM wanafanya kwenye mikutano yao na kwa wanachama wao! Hizo ni "party politics". Lakini wanapovuka mpaka wa kuanza kuhoji mambo yanayofanyika Bungeni kwenye vikao vyao vya chama wanavunja mpaka wa uelewa wa uhuru wa mihimili. Hivi ni kitu gani kitawazuia nec kujadili Mahakama Kuu siku Mahakama hiyo ikitoa hukumu ya kuiumiza CCM?
Kosa la Sitta katika hili ni kuentertain malalamiko yanayohusiana na Bunge kujadiliwa kwenye kikao cha CCM. Alitakiwa kuwakatalia pale pale kuwa kama kuna mtu ana issue na yeye kuhusu Bungeni ailete Bungeni; kama siyo Mbunge awasiliane na Mbunge wake wailete Bungeni; na kama ni wabunge wengi wa CCM basi wana kakasi zao kule Bungeni wangeweza kuzungumza na kuchukua msimamo kule. ASINGEKUBALI kabisa kujadili mambo ya Bunge au kuacha watu wamuweke kwenye kona kutokana na nafasi yake ambayo si ya chama.
Kwa kukubali ameshusha hadhi ya uhuruwa USPIKA ni lazima arudishe. Sitarajii Jaji Mkuu kuitwa na CCM na kwenda kuwatolea maelezo ya jinsi gani maamuzu fulani yamefikiwa, kwanini SPIKA akubali?