Maamuzi ya mwanadada Catherine Kahabi ya kuishi maisha ya kilokole yasiwe sababu ya kuingilia sanaa pamoja na kukosoa viongozi wa Serikali

Maamuzi ya mwanadada Catherine Kahabi ya kuishi maisha ya kilokole yasiwe sababu ya kuingilia sanaa pamoja na kukosoa viongozi wa Serikali

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,992
Reaction score
5,660
Maamuzi ya mwanadada Catherine Kahabi ya kuishi maisha ya kilokole yasiwe sababu ya kuingilia sanaa pamoja na kukosoa viongozi wa Serikali

Catherine amekuwa akimkosoa Mh Kabudi alipopendekeza Muziki wa Singeli kuwa moja ya alama ya sanaa ya Tanzania jambo ambalo litasaidia kukuza utamaduni

Baada ya tamko hilo Catherine ameonekana akimkosoa Mh Kabudi kwa madai ya kuwa Muziki wa Singeli hauna maadili sababu isiyokuwa na mashiko kwasababu yanawezakufanyika maboresho ya kuandika mashairi yenye jumbe za maadili

Catherine anapaswa kuishi maisha ya kilokole aliyochagua mwenyewe pasipokulazimisha watu wengine waishi kwa kufuata mienendo yake kwasababu kila mwanadamu anachagua kuishi atakavyo ilimradi asivunje Sheria za nchi vilevile binadamu ataamua mwenyewe kubeba au kuacha mzigo wa dhambi yeye mwenye kwasababu hakuna atakayemsaidia mwenzake kubeba ndhambi zake kwa lugha rahisi watu wasipangie watu wengine maisha kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe

Maswala ya Wokuvu hayahusiani na tamaduni za watu hivyobasi hapaswi kuizungumzia sanaa


View: https://www.instagram.com/reel/DGVoQ5etCCU/?igsh=Y3Bra3ozM2h0Mnhh
 
Mwambie yale mamiziki ya Kimarekani, Bongo fleva zakina Diamond na hizi zakinigeria zinamaadili gani?..
 
Uyo cathe kahabi ndo yule shombeshombe alkuaga mtangazaji na mojawapo WA wake za drMwaka,alimkimbia mwamba baada ya kufulia.
 
Ndio nani huyo nae huko Dar es salaam?!
 
Hiki anachosema ukosefu wa maadili ndio ibada za wengine.

Ajikite kuhubiri anachoamini watu wakimuelewa watajiunga naye.
 
Hivi hanaga kazi nyingine??

Muda wote anasimanga vinyeo na kufoka?

Naagiza madaktari wa magonjwa ya akili wamkamate mara moja.
 
Maamuzi ya mwanadada Catherine Kahabi ya kuishi maisha ya kilokole yasiwe sababu ya kuingilia sanaa pamoja na kukosoa viongozi wa Serikali

Catherine amekuwa akimkosoa Mh Kabudi alipopendekeza Muziki wa Singeli kuwa moja ya alama ya sanaa ya Tanzania jambo ambalo litasaidia kukuza utamaduni

Baada ya tamko hilo Catherine ameonekana akimkosoa Mh Kabudi kwa madai ya kuwa Muziki wa Singeli hauna maadili sababu isiyokuwa na mashiko kwasababu yanawezakufanyika maboresho ya kuandika mashairi yenye jumbe za maadili

Catherine anapaswa kuishi maisha ya kilokole aliyochagua mwenyewe pasipokulazimisha watu wengine waishi kwa kufuata mienendo yake kwasababu kila mwanadamu anachagua kuishi atakavyo ilimradi asivunje Sheria za nchi vilevile binadamu ataamua mwenyewe kubeba au kuacha mzigo wa dhambi yeye mwenye kwasababu hakuna atakayemsaidia mwenzake kubeba ndhambi zake kwa lugha rahisi watu wasipangie watu wengine maisha kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe

Maswala ya Wokuvu hayahusiani na tamaduni za watu hivyobasi hapaswi kuizungumzia sanaa


View: https://www.instagram.com/reel/DGVoQ5etCCU/?igsh=Y3Bra3ozM2h0Mnhh


Ukimsikiliza na kuangalia ushahidi wake, nachelea kusema huyu dada amejenga hoja yake vizuri na kwa ushahidi. Kwaharaka haraka niliona kama ni mtu anataka kupata views tu, ila ana hoja sana.
 
Maamuzi ya mwanadada Catherine Kahabi ya kuishi maisha ya kilokole yasiwe sababu ya kuingilia sanaa pamoja na kukosoa viongozi wa Serikali

Catherine amekuwa akimkosoa Mh Kabudi alipopendekeza Muziki wa Singeli kuwa moja ya alama ya sanaa ya Tanzania jambo ambalo litasaidia kukuza utamaduni

Baada ya tamko hilo Catherine ameonekana akimkosoa Mh Kabudi kwa madai ya kuwa Muziki wa Singeli hauna maadili sababu isiyokuwa na mashiko kwasababu yanawezakufanyika maboresho ya kuandika mashairi yenye jumbe za maadili

Catherine anapaswa kuishi maisha ya kilokole aliyochagua mwenyewe pasipokulazimisha watu wengine waishi kwa kufuata mienendo yake kwasababu kila mwanadamu anachagua kuishi atakavyo ilimradi asivunje Sheria za nchi vilevile binadamu ataamua mwenyewe kubeba au kuacha mzigo wa dhambi yeye mwenye kwasababu hakuna atakayemsaidia mwenzake kubeba ndhambi zake kwa lugha rahisi watu wasipangie watu wengine maisha kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe

Maswala ya Wokuvu hayahusiani na tamaduni za watu hivyobasi hapaswi kuizungumzia sanaa


View: https://www.instagram.com/reel/DGVoQ5etCCU/?igsh=Y3Bra3ozM2h0Mnhh

#No reforms no election
 
Back
Top Bottom