catherine

Katherine, Catherine, and other variations are feminine names. They are popular in Christian countries because of their derivation from the name of one of the first Christian saints, Catherine of Alexandria.
In the early Christian era it came to be associated with the Greek adjective καθαρός (katharos), meaning "pure", leading to the alternative spellings Katharine and Katherine. The former spelling, with a middle a, was more common in the past and is currently more popular in the United States than in Britain. Katherine, with a middle e, was first recorded in England in 1196 after being brought back from the Crusades.

View More On Wikipedia.org
  1. Jaji Mfawidhi

    Mkurugenzi Catherine Mashala alitumbuliwa kwa kesi ya Ufisadi wa Tsh. Bilioni 1.245,989,000?

    Mkurugenzi wa Katavi aliyetumbuliwa jana na Mh. Samia Suluhu bibi Catherine Mashalla haikutolewa sababu, lakini kumbe ana kesi ya uhujumu uchumi na alikuwa sero mpaka wiki iliyopita ndio amepata dhamana kwenye hii kesi niliyoambatanisha. Kiasi halisi alichotuhumiwa kupiga ni...
  2. mtwa mkulu

    Charlene Ruto

    Age 31 Born January 11,1993 Namba ya simu ninayo
  3. S

    Picha ya Catherine Magige na Januari Makamba ina uhusiano na kauli za Magige?

    Wiki hii huyu Mwanadada Catherine Magige Mbunge wa Viti Maalum CCM ametrend sana kwenye mitandao baada ya kumshambulia Luhaga Mpina kwa tuhuma alizozitaja magige lakini ikavuja hii picha akiwa na Januari Makamba je kuna uhusiano wowote wa hii picha na maneno ya Catherine
  4. mtwa mkulu

    Catherine Magige hajui jina wala jimbo la Luhaga Mpina

    Nimeshangazwa sana na video ya mbunge wa vijana (CCM) Catherine Magige ambaye hana hata jina katika nchi hii akimshambulia mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM). Katika video hiyo, ameonekana akimuita Luhanga mpina jambo ambalo dhahili linaonesha hafahamu jina lake labda kwakuwa sio mfuatiliaji...
  5. Stephano Mgendanyi

    Catherine Magige Atoa Uwanja kwa UWT Wilaya ya Longido

    "Tupo kwenye harakati za kuhakikisha watumishi wetu, Makatibu wa UWT Wilaya, Jumuiya iwe inamiliki nyumba zake kila Wilaya ili Makatibu wetu wawe wanaishi katika mazingira mazuri na rafiki" - Mhe. Catherine Magige, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha "Nilichoamua kwa Longido niliona changamoto...
  6. GENTAMYCINE

    Investigative Journalist Catherine Kahabi: Kuweni makini na wanaotangaza Utajiri wao kwani Wengi wao ni Mashoga au Mawakala

    "Inasikitisha sana kuona Kiongozi fulani au Msanii fulani au Mtu tu anaibuka na Kutangaza Utajiri wake huku akitudanganya Watanzania kuwa ameanzia mbali hadi kuwa hivyo wakati kumbe Ukweli ni kwamba ama Yeye ni Shoga au ni Wakala Mkubwa wa Kuwauza Vijana na Watoto kwa Matajiri wapenda Mashoga na...
  7. B

    Kusimama na Catherine Ruge ni Wajibu

    Familia za wahanga wa mauaji ya Tarime kwa hakika zimekosewa sana. Hivi ndivyo ilivyo kwa vifo vyote vya makusudi vinavyotekelezwa na vyombo vya dola kinyume cha sheria. Wito huu ni kwa wapenda haki, vyama vya siasa, asasi za kiraia na wapenda amani wote. Catherine Ruge anapambana. Kwa...
  8. BARD AI

    Polisi wathibitisha kumkata Catherine Ruge wa CHADEMA

    Jeshi la Polisi, Mkoa wa Mara limemkamata Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge. Ruge amekamatwa leo Jumamosi, Septemba 24, 2022, muda mfupi baada ya kufika Mjini Musoma, Mkoa wa Mara kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa habari. Lengo la...
  9. Idugunde

    Serengeti: Catherine Ruge wa BAWACHA akamatwa na polisi

    Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge. Jeshi la Polisi, Mkoa wa Mara limemkamata Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), Catherine Ruge. Jeshi la Polisi, Mkoa wa Mara limemkamata Katibu wa Baraza la...
  10. EINSTEIN112

    Rais wa Ukraine anafikiria kubomoa Sanamu ya Catherine II aliyekuwa Malkia wa Odesa na kujenga sanamu la kumuenzi Shoga wa Marekani

    Rais wa Ukraine Volodonyr Zelensky anafikiria kuvunja sanamu la Malkia wa zamani wa Dola la Urusi anayejulikana kama Catherine Mkuu au Catherine II huko katika jiji la Odessa. Badala ya sanamu hilo Zelensky atajenga sanamu lingine la muigizaji wa sinema za utupu (porn star) ambaye ni shoga wa...
  11. Fundi Madirisha

    Catherine Ruge: Kakoko alinitishia kuniua baada ya kuibua madudu mengi TPA

    Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na...
  12. Sky Eclat

    Catherine Palace, Tsarkoe Selo Street St Petersburg-Russia

    🕍CATHERINE PALACE , TSARSKOE SELO , ST. PETERSBURG –RUSSIA 🇷🇺 The Catherine Palace is named after Catherine I, the wife of Peter the Great, who ruled Russia for two years after her husband's death. Originally a modest two-storey building commissioned by Peter for Catherine in 1717, the...
  13. Leak

    CCM kumchukulia hatua za kinidhamu mbunge Catherine Magige na wenzie kwa kuvamia msiba na kukosa utu

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa umoja wa wanawake wa chama hicho Mkoa wa Arusha wakiongozwa na mbunge wa viti maalum, Catherine Magige. Mbunge huyo jana Alhamisi Mei 27, 2021 alikwenda makaburini yalikokuwa yakifanyika mazishi ya...
Back
Top Bottom