Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,594
- 46,197
Ni muda sasa JF iwe na utaratibu wa kutambua na kufungia spammers Maxence Melo ModeratorUmejiunga hapa jukwaani j3 kwa hii id mpya ili uwe una copy na ku paste huu utoto kwenye kila uzi?
Ni muda sasa JF iwe na utaratibu wa kutambua na kufungia spammers Maxence Melo ModeratorUmejiunga hapa jukwaani j3 kwa hii id mpya ili uwe una copy na ku paste huu utoto kwenye kila uzi?
Hahahaaaaaaa tuwe na subira nduguNikifatilia hii kesi naumia sana kwa kweli mambo yanavyofanyika ni kama tupo Taliban bila kujijua watu wanatekwa tena watumishi kwa miaka yote hiyo...
mahakama ndio itakua na majibu juu ya swali lako na ndio maana kila maelezo jaji anaandikaBado
Bado kuna maelezo kina nani walikuja na wakaacha namba zao. Walipofuatwa walikiri kufika sehemu husika si kulinda nyumba bali ....
Mi nishaenda..Utaanza wewe ndugu yake na mwendazake
Magaidi waheshimiwaKingai ,Mahita ,Godluck ,jumanne na Sirro wanapaswa kushitakiwa kwa kukiuka haki za binadamu.
Kina Adamo walinyimwa haki zao nyingi sana.
Polisi yetu magaidi utadhani KGB au CIA
Msalimie boss wako Magu .Mimi sina mpangoMi nishaenda..
Tunakusubir wew unakuja lin?
mahakama ndio itakua na majibu juu ya swali lako na ndio maana kila maelezo jaji anaandika
Correction fluid zipatiwe ulinz tafadhal😅
mimi nimemueka sawa jokakuu kwamba hakuna kwenye sentensi ya shahidi palipo andikwa polisi walivunja mlango bali kumeandikwa yeye alikuta kitasa kimevunjwa
Kwa hili la Lijenje Chadema mnaingia chaka. Aibu kubwa itawashukia. Mark my words.
Anaendelea na maisha yake akiwa wapi?
Wacha uongo wewe utalaanika
Umeongea vizuri sana na hapo tuko pamoja. Je kwa sasa ni nani mwenye Mamlaka ya kiutendaji kwenye nchi yetu?? Je ni hawa masaila wa mwendazake? Je ni Mama mwenyewe?? Au ni kundi la Unknowns??Unajaribu kumlaumu nani? Raisi samia eti?
Kwa taarifa yako hawa watu walifanyiwa huu unyama wakati wa mwendazake. Na ujue,serikalini watu wa mwendazake wamejaa,hususani kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. Na hii kesi ni initiative yao,siyo ya raisi samia.
Honngera utaishi mileleMsalimie boss wako Magu .Mimi sina mpango
yeah!na hivyo ndivyo ilivyoBinafsi sijatoa hukumu wala sijauliza swali. Bali nilikuwa nimeeleza kuwa, katika kujenga hoja husika bado kuna mazingira mengine kama jirani kuhusishwa/kuwa na taarifa za aina ya watu waliofika pale, wahusika kuacha ujumbe wa namba za simu, wahusika kukili walipofuatwa na mke wa mshitakiwa, mjumbe kuhusishwa/kuwa na taarifa etc.
Haya yote yatahusika katika kujiridhisha ni nani hasa alitenda kinachoongelewa.
Hivyo, mama mwenye nyumba yake hawezi kusema ni nani alibomoa, ila mazingira yatamfanya jaji kung'amua nini kilitokea au hakikutokea na nani alihusika
Nahisi huenda kuna kikundi wametumwa na nchi jirani wachafue kikosi chetu Cha makomandoo, hii haijakaa sawa,JWTZ ni jeshi lenye sifa nzuri kimataifaSiku za hivi karibuni kikosi hiki kimetajwa sana na kusikika sana ndani ya nchi, nimejiuliza maswali mengi, huko Jeshini kuna tatizo gani? na kwenye hiki kikosi cha 92 KJ kuna nini haswa?...