ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,454
- 11,410
Kwani unge tumia lugha ya sitaha ungepungukiwa na nn?Acha uzuzu mkuu, effect hii tutakutana nayo January!,November crude oil imeshuka kutoka 95usd per barrel hadi 85usd per barrel, ilitakiwa mwezi huu bei ishuke,definitely mwezi ujao mafuta yatapanda, majirani zetu wote bei mwezi huu mafuta yatashuka
Nimesha kwambia bei ya mafuta imepanda tangia juzi kwenye soko la dinia sasa unacho bisha ni nn?
Au ww ndio mchimba hayo mafuta?