johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Mganga wa tiba mbadala ndugu Shabani wa Lushoto mkoani Tanga amesema amegundua dawa ya kinga ya Corona ambayo imewasaidia watu wengi mkoani Tanga.
Shabani amesema dawa hiyo ni kinga kwa magonjwa yote ya mfumo wa kupumua na kwamba hadi sasa wabunge wengi wameshakwenda hapo Lushoto kunywa kikombe cha dawa hiyo.
========
Mamia ya wakazi wa Lushoto mkoani Tanga wamefurika kwa ajili ya kunywa kikombe cha dawa inayodaiwa kuwa ni kinga ya virusi vya Corona inayotolewa bure na Mbunge wa jimbo hilo, Mh. Shabani Shekilindi ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kupambana na maambukizi ya ugonjwa huo.
"Wabunge walitumia sana dawa hii, nadhani we mwenyewe ni shahidi, tangia mwaka jana mpaka leo hii ninavyoongea, kwa uwezo wa Mungu hakuna Mbunge aliyefariki kwa ugonjwa wa upumuaji, mfumo wa upumuaji -- kukosa hewa.", alisema Mbunge huyo.
"Wito wangu ni kwamba wanachi waje wapate dawa, na dawa hii ni nzuri. Dawa hii inatibu magonjwa ambayo ni nyemelezi katika mfumo wa hewa kama pnemonia na mengineyo. Kwahiyo tunawashauri wananchi waje wapate dawa hii kwakuwa ni faida ya wao na jamii. Wananchi wakiwa na afya njema, basi ni bora zaidi kwakuwa watajumika katika shughuli za maendeleo." alisema mwananchi mmoja
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Shabani amesema dawa hiyo ni kinga kwa magonjwa yote ya mfumo wa kupumua na kwamba hadi sasa wabunge wengi wameshakwenda hapo Lushoto kunywa kikombe cha dawa hiyo.
========
Mamia ya wakazi wa Lushoto mkoani Tanga wamefurika kwa ajili ya kunywa kikombe cha dawa inayodaiwa kuwa ni kinga ya virusi vya Corona inayotolewa bure na Mbunge wa jimbo hilo, Mh. Shabani Shekilindi ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kupambana na maambukizi ya ugonjwa huo.
"Wabunge walitumia sana dawa hii, nadhani we mwenyewe ni shahidi, tangia mwaka jana mpaka leo hii ninavyoongea, kwa uwezo wa Mungu hakuna Mbunge aliyefariki kwa ugonjwa wa upumuaji, mfumo wa upumuaji -- kukosa hewa.", alisema Mbunge huyo.
"Wito wangu ni kwamba wanachi waje wapate dawa, na dawa hii ni nzuri. Dawa hii inatibu magonjwa ambayo ni nyemelezi katika mfumo wa hewa kama pnemonia na mengineyo. Kwahiyo tunawashauri wananchi waje wapate dawa hii kwakuwa ni faida ya wao na jamii. Wananchi wakiwa na afya njema, basi ni bora zaidi kwakuwa watajumika katika shughuli za maendeleo." alisema mwananchi mmoja
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.