Lushoto wapata dawa ya kinga ya Corona, mganga wa tiba mbadala ndugu Shaban ameseme wabunge wengi wameshakunywa!

Ungetaja majina ya wabunge ungemsaidia sana mzee,ili wateja wapate reference
 
Kwa sababu virusi wametengeza wenyewe kwenye maabara zao, hizo wanazoita chanjo zilizozalishwa chini ya mwaka mmoja ni kwa ajili ya makampuni yao kupiga hela kupitia hizo chanjo, ngoja tuone hili litatufikisha wapi....
Chanjo inachukua muda mfupi kwa sababu sasa science na teknolojia iko juu kuliko miaka ya 40, 50 au 60. Sasa unaweza ku sequence genome nzima ya corona virus Ndani ya saa 8
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Mbunge wa Lushoto ahimiza Wananchi kutumia Kikombe Cha Babu wa Loliondo kupona, wafurika kupata mgao, Ushirikina on fleek.
 
Dawa hiyo ni nzuri sana sana kwa watu wa kule kaskazini hutibu kifua kinachoitwa kifira husafisha njia za hewa ila kwenye upande wa korona sifahamu.
 
Kumbe Sasa haina haja niende chuo Cha udaktari Tena. Nitatumia short Kat ya kwenda kujifunza uganga wa kienyeji. Kila waziri anawapa waganga promo
 
Mganga wa tiba mbadala ndugu Shabani wa Lushoto mkoani Tanga amesema amegundua dawa ya kinga ya Corona ambayo imewasaidia watu wengi mkoani Tanga.

Shabani amesema dawa hiyo ni kinga kwa magonjwa yote ya mfumo wa kupumua na kwamba hadi sasa wabunge wengi wameshakwenda hapo Lushoto kunywa kikombe cha dawa hiyo.

========

Mamia ya wakazi wa Lushoto mkoani Tanga wamefurika kwa ajili ya kunywa kikombe cha dawa inayodaiwa kuwa ni kinga ya virusi vya Corona inayotolewa bure na Mbunge wa jimbo hilo, Mh. Shabani Shekilindi ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kupambana na maambukizi ya ugonjwa huo.

"Wabunge walitumia sana dawa hii, nadhani we mwenyewe ni shahidi, tangia mwaka jana mpaka leo hii ninavyoongea, kwa uwezo wa Mungu hakuna Mbunge aliyefariki kwa ugonjwa wa upumuaji, mfumo wa upumuaji -- kukosa hewa.", alisema Mbunge huyo.

"Wito wangu ni kwamba wanachi waje wapate dawa, na dawa hii ni nzuri. Dawa hii inatibu magonjwa ambayo ni nyemelezi katika mfumo wa hewa kama pnemonia na mengineyo. Kwahiyo tunawashauri wananchi waje wapate dawa hii kwakuwa ni faida ya wao na jamii. Wananchi wakiwa na afya njema, basi ni bora zaidi kwakuwa watajumika katika shughuli za maendeleo." alisema mwananchi mmoja

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama.
Tunauziwa bei gani
 
Wakati nchi za wenzetu wataalamu wanakesha maabara kutafuta suluhu ya changamoto za magonjwa ya Korona, Bongo tunategemea miujiza ya kuchemsha mizizi matokeo yake tunaishia kufa kama kuku wa kideri.
Wamekesha maabara ndo maana hawajavuta wengi kama huku sio............
 
Back
Top Bottom