Chanjo inachukua muda mfupi kwa sababu sasa science na teknolojia iko juu kuliko miaka ya 40, 50 au 60. Sasa unaweza ku sequence genome nzima ya corona virus Ndani ya saa 8Kwa sababu virusi wametengeza wenyewe kwenye maabara zao, hizo wanazoita chanjo zilizozalishwa chini ya mwaka mmoja ni kwa ajili ya makampuni yao kupiga hela kupitia hizo chanjo, ngoja tuone hili litatufikisha wapi....
Tanzania wanaugua na wamekufa wangapi?Marekani huko unakosifia wamekufa 500,000 na leo Rais Biden amewaongoza Wamarekani kuwakumbuka
Ni Mzee Mdee siyo Mzee HalimaWabunge hao Ni kina Nani?
Ni supika
Ni taletale
Ni kibajaji
Ni mzee Halima.
Ni. Mkewe
Tunauziwa bei ganiMganga wa tiba mbadala ndugu Shabani wa Lushoto mkoani Tanga amesema amegundua dawa ya kinga ya Corona ambayo imewasaidia watu wengi mkoani Tanga.
Shabani amesema dawa hiyo ni kinga kwa magonjwa yote ya mfumo wa kupumua na kwamba hadi sasa wabunge wengi wameshakwenda hapo Lushoto kunywa kikombe cha dawa hiyo.
========
Mamia ya wakazi wa Lushoto mkoani Tanga wamefurika kwa ajili ya kunywa kikombe cha dawa inayodaiwa kuwa ni kinga ya virusi vya Corona inayotolewa bure na Mbunge wa jimbo hilo, Mh. Shabani Shekilindi ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kupambana na maambukizi ya ugonjwa huo.
"Wabunge walitumia sana dawa hii, nadhani we mwenyewe ni shahidi, tangia mwaka jana mpaka leo hii ninavyoongea, kwa uwezo wa Mungu hakuna Mbunge aliyefariki kwa ugonjwa wa upumuaji, mfumo wa upumuaji -- kukosa hewa.", alisema Mbunge huyo.
"Wito wangu ni kwamba wanachi waje wapate dawa, na dawa hii ni nzuri. Dawa hii inatibu magonjwa ambayo ni nyemelezi katika mfumo wa hewa kama pnemonia na mengineyo. Kwahiyo tunawashauri wananchi waje wapate dawa hii kwakuwa ni faida ya wao na jamii. Wananchi wakiwa na afya njema, basi ni bora zaidi kwakuwa watajumika katika shughuli za maendeleo." alisema mwananchi mmoja
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Wamekesha maabara ndo maana hawajavuta wengi kama huku sio............Wakati nchi za wenzetu wataalamu wanakesha maabara kutafuta suluhu ya changamoto za magonjwa ya Korona, Bongo tunategemea miujiza ya kuchemsha mizizi matokeo yake tunaishia kufa kama kuku wa kideri.
Wewe kwenu wamekufa wangapi?ya wenzenu midomo juu ya kwenu.....Marekani huko unakosifia wamekufa 500,000 na leo Rais Biden amewaongoza Wamarekani kuwakumbuka
Dawa haina jina ?Dawa hiyo ni nzuri sana sana kwa watu wa kule kaskazini hutibu kifua kinachoitwa kifira husafisha njia za hewa ila kwenye upande wa korona sifahamu.