Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Aliyetoa siri za serikali kwa kumpa yule mama barua kuchunguzwa na kupewa adhabu stahiki -Luhanjo.
 
You came out with good narration but poor analysis to support your perception.The facilitation is just 0.04% of the budget.I hope you can use the analysis to finalise your comment.

I think I like this guy! Seems like you don't understand the impacts of allowing such things to continue. There are about 29Ministries you tell me if each would use same amount would it still be the same 0.04% which you seem to ignore?? Whether he was alleged to have stolen a cow and investigations finds out he just stole a pig, it doesn't make it alright!!!

You seem to run to conclusions, try thinking before you shoot words to others opinions. The best option is to remain silence if your analysis falls short that much!
 
Aliyetoa siri za serikali kwa kumpa yule mama barua kuchunguzwa na kupewa adhabu stahiki -Luhanjo.

Aliyeshikwa na Ngozi ndio mwizi, kama wana ubavu wamshike mama Shelukindo
 
Nchi maskini inaongozwa na viongozi wezi na wananchi waoga wa mawazo itakufa maskini.......
 
hivi kizazi cha wakati huu hapa tz hamna watu wenye kusubutu kama uncle tom na hashimu macghee. Kama wapo basi usubutu wao unahitajika sasa kuliko wakati mwingine wowote wa historia ya nchi hii.


what?
Anza wewe...
BTW..The ballot is stronger than the bullet.
- Abraham Lincoln

Bad officials are elected by good citizens who do not vote.
- George Jean Nathan
 
Mlitegemea nini kipya, huu ni mtaji mwingine wa CHADEMA serikali inaipaisha Chadema bila kujua
pasipo serikali kufanya makosa kama haya ukombozi huwezi kufika haraka.

Nafikiri ni mtaji mwingine wa upinzani si chadema peke yake
 
Sanduku ya kura haitaleta mabadiliko Tanzania. Beleave it or not, kitu zaidi inatakiwa kifanyike.
 
Baada ya kuisoma taarifa hii kwenye Mwananchi, nimegundua kuwa viongozi wetu bado wanadhani kuwa wao ndio wanasaidia wananchi kufikiri na kuanalyse issues. kwa aliyoyasema Luhanjo, huitaji hata elimu ya darasa la saba kujua kuwa, kumbe twaongozwa na viongozi wababaishaji na wanaotufanya sisi wananchi mambumbumbu.Imagine kauli kama hii kutolewa na Serikali, Luhanjo anasema "NASEMA NI KAWAIDA IDARA HUSIKA KUCHANGA FEDHA KUISAIDIA KUFANIKISHA JAMBO"

Hapa kufanikisha jambo anamaana ni kuhonga???????? mbona watumishi wanaokwenda bungeni wanastahili tu kulipwa Posho za malazi na chakula pamoja na hizo posho za kikao? after -all ni watumishi wangapi watakwenda bungeni? au anataka kusema ni ofisi nzima hadi wafagiaji wanahamia bungeni? na watumishi waendao bungeni mbona kikawaida wanalipwa na idara zao?

Je wabunge walipitisha hizo fedha katika taasisi hizo mwaka jana katika bunge la bajeti?

Kama hawakupitisha hizo fedha kwa kusaidia bajeti ipite, je waliochangia wametoa hizpo pesa kwenye fungu gani la bajeti za taasisi zao???kuna maswali mengi tu hapa. Itoshe tu kusema kuwa Luhanjo na serikali, imeamua kupuuza sisi tuliowaweka madarakani, na hii ndiyo sababu tosha ya kubadilisha uongozi. kwa hili hata viongozi wa ccm wamefadhaishwa, serikali legelege hii itatuangamiza.
 
hili changa la macho live! Ina maana kama ni muhimu kiasi hicho kwanini wasiweke kwenye bajeti ya mwaka husika kama wizara kuwa ni fedha za kuwezesha watendaji kuhudhuria bunge hadi waanze kuomba omba taasisi?

Ina maana hizi pesa katika taasisi husika hazikuwa na matumizi? I regret kuwa na viongozi wa aina hii ktka nchi niliyo zaliwa! viongozi wasio na huruma kwa wananchi kujishibisha wao tu, what a shame! Pia hizo taasisi si zina miradi rukuki iliyolala kwa kukosa pesa na hizi zinatokea wapi? laana hii mxxxxxxxxxxxxxxm
 
Hapo Mkuu tatizo sio Luhanjo, ni hiki kitaarifa cha mleta habari ndio hakieleweki. Luhanjo anatusomea ripoti ya CAG aliyoandikiwa Rais, ripoti hiyo haiwezi kuandikwa kinyumenyume namna hiyo. Haiewezekani Luhanjo asema tuhuma ni za uongo halafu asema hela zilichangwa, tuhuma gani sasa ni za uongo?Huyu Halisi ndio tatizo.

Sio kwamba inawezekana tu, bali imetokea. Luhanjo kasema 'pesa zilizochangwa ni milioni 149 na sio billioni moja kama ilivyo kwenye hansard'

Kama CAG angethibitisha kuwa pesa zilizochangwa ni shilingi za Kitanzania billioni moja, basi David angekuwa hatiani. Kwa vile CAG amethibitishwa kuwa pesa zilizochangwa ni TZS milioni 149 tu, basi David hana hatia kwani hajakuwa na kosa la kinidhamu.



Ningekuwa Pinda ningeachia ngazi mara 1!

Ningekuwa Jairo ningeikataa hiyo nafasi na Ningekuwa Rais ningejiuzulu kwa kuchagua Katibu Mkuu Kiongozi anayetoa maamuzi rahisi kwenye issue nzito.
 
Hivi aliyemtuhumu Luhanjo ukabila ni nani?
<br />
<br />

Huyu huyu bibi na kundi lake in regards wa CS kupendelea Wabena wenzake katika wizara ya maliasili.

She attacked him kama alivyomfanyia Jairo.

People are reacting to what she said and it seems the poor old man has now been branded fisadi because of it.

This time it is the CAG and not CS who cleared Jairo. Instead of us being hard on the CAG we are killing the bearer of news, the CS.

I am however still puzzled by why would Shelukindo did what she did? Ni uchungu wa nchi au vendetta?
 
MM siku hizi vipi mazee?
Huoni hapo kama kuna tatizo?
Katibu Mkuu ni Accounting Officer anaweza kuyaomba mashirika yaliyo chini yake yatoe fungu la kufacilitate bajeti? Halafu CAG anasema EWURA walikataa kutoa fungu wakasema wao watagharamia chakula tu bado hapo huoni kama kuna tatizo. Suala jingine ni kwamba wabunge walituhumu kwamba Wizara imetumia pesa ili kuwahonga wabunge wapitishe bajeti sasa kama ni hivyo kwa nini Luhanjo hakulipeleka suala hilo TAKUKURU matokeo yake wakakambilia kwa CAG ambaye tunajua hana competence ya masuala ya rushwa.

Jingine ambalo limeibuka hivi CAG huyu huyu tunayemfahamu ameweza kuyakagua (katika ukaguzi maalum) mashirika yote yaliyo chini yake na kuthibitisha kwamba huwa hakuna mchezo mchafu wa kuwahonga wabunge kwa muda mfupi namna hii? Huyu mzee mimi nilishamwandoa siku nyingi kwenye orodha ya seriuos CAGs in the world is just lobbyist like any other CCM crooks.

MM unaweza kuwa na political inclination yako, lakini kwa wataalamu wa masuala ya fedha hili suala halikukaa sawa na akina Luhanjo na mwenzie Utouh wasidhani kama wananchi ni wapumbavu. Naona wamafunika kombe ili mwanaharamu apite maana wamegundua kuwa wizara zote huo ndiyo mchezo wao.
 
<br />
<br />
Tz itatetewa na mtu yeyote ambae hana ushirikiano na magamba aka ccm
Mi nakwambia tusubiri ripoti ya Mkurugenzi ya wanyama pori, itaanza hivi "Mlisema wanyana walisafirishwa kwa Fuso, tumegundua walisafirishwa kwa Scania, mlisema kulikua na twiga 3, tumekuta twiga mmoja, mlisema Simba tumekuta sio simba ni Chui, Mlisema Tembo(sijui kisa pembe zao) sie tumekuta ni Kifaru mlisema walipitia Geti number tatu sie tumekuta walipitishwa geti number 7. Case Closed mkurugenzi hana kosa arudi kazini mara moja!
 
Hii hali ikiendelea hv! hakyanani machafuko hayako mbali. Kweli nchi hii yenye kila aina ya tabu na mateso mtu anaona m500 ni kidogo.
shenxyyy taipu we Jairo na Luhanjo wako. Siku yenu haiko mbali!
 
Sawa jairo hana hatia,na kuwa ni utaratibu wa wizara kuchangisha pesa kutoka katika idara zilizo chini ya wizara husika ili kusaidia bajeti,mi nauliza pesa hizi kabla ya sakata la jailo kuwa wazi zilikuwa zinakaguliwa na cag na je kwa mfano mbazo zilibaki baada ya kulipana posho na kurudishwa benki baadaye zinakuwa za matumizi yepi maana tayari bajet imeshapita.Hii inaleta picha kuwa ndo maana wakurugenzi wanapoharibu kwenye hizi taasisi hawachukuliwi hatua kwa kuwa wanajua madudu mengi ya wakuu wao.Watanzania wenzangu tuamke kupunga haya kwa vitendo,kura yako ni muhimu sana itumie vizuri wakati utakapowadia.Inatia hasira sana.
 
Jairo alisema tangu siku ya kwanza kuwa wabunge wetu ni sawa na kina Joti (Ze Komedi) and he was right. Sasa ni wakati wa kujihoji hawa comedians tuendelee kuwalipa hadi lini, maana kama wanapuuzwa hata kwenye ishu yenye ushahidi usioweza kutiliwa shaka, hawatufai na hatuwahitaji.

Usisahau na masaburi
 
Mhe Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Halima Mdee, Chiku Abwao, Mchungaji Msigwa, Kamanda Lema, BAVICHA, UDDASA, Tanganyika Law Society, Dr Hosea, Mama Shellukindo, Deo Filinkunjombe, Ole Sendeka, Mama Malecela, hivi mmesoma na kuyatafakari maneno haya?????????????????
<br />
<br />
Usilinganishe comedian kina Joti na Bunge la Bongo,ze komedi are superb!!!!!!!!!!!!huwezi linganisha na bunge la bongo wale watoto wanaelimisha wanafurahisha utalinganisha na matope,mavi vinyesi vya bungeni karaha tupu
 
Back
Top Bottom