Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Ukimjua itakusaidia nini? Huwezi kuchambua hoja bila kumwangalia nani aliyetoa hoja??
 
Nadhani nchi inakwenda pabaya, kama anathibitisha idara hizo zilichanga hizo fedha kuna sababu gani ya kumrudisha kazini?Luhanjo anathibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa rushwa na huwa fedha inahitajika kupitisha mipango hewa ya serikali.

Kama yote yaliyosemwa sio kweli ila vingine vimekutwa ni kweli tunataka ushahidi gani???barua ipo, fedha zimnekutwa sijui tunataka ushahidi gani?
 
Binafsi yangu sioni tatizo la kurudishwa kazini kwa Jahiro, swali je? Ni kweli uchunguzi ulilenga kuangalia mashirika mangapi yalichangia? Na je? Ghalama za kuhudumia bajeti husika inafikia kiac cha michango hiyo?

Je wizara zingine nani anachangia? Kwann wizara hii? Kwanini swala hili lilimshua waziri mkuu na hali linajulikana serikalini? Mwisho uchunguzi ulifanywa kulenga nn na kwnn?
 
Acheni ujinga wa kutoheshimu maamuzi ya taasisi za serikali nyie waandishi wa habari. Hamna utaalamu wa kuchunguza na kukagua matumizi ya fedha. Juzi mlikua mnamsifia mkaguzi mkuu kwa kazi nzuri ya ukweli na uwazi halafu leo mnaponda matokeo halali na kitaalamu aliyoyatoa.

KUweni na adabu, democrasia haifanyi kazi pale inapofanyia kazi matakwa na matumaini yako, inafanya kazi hata pale inapotoa haki kwa wengine. Acheni kuendekeza umbea
 
Ni wakati wa kuface reality na kujua tatizo ni lipi hasa kwa nini hatuendelei kuliko kuendelea kufuatilia watu na maisha yao. Tufuatilie maswala. Lowasa alishajihudhuru, mlinenepa?? Rostam ameachia madaraka, mmenawiri?? Dont be little girls (Virgnins). Ni wakati wa kuface reality na tu-discuss maswala kuliko kukalia kudiscuss watu.
 
Jamani hivi ni vituko, ya leo asubuhi bungeni nayo mmeyasikia lakini au ndo ushindani kati ya ikulu na bunge na sasa tuone nini kitafuata baada ya hapo
 
Kama Waziri Mkuu Mh.Pinda alikuwa anamaanisha alichokuwa na kisema bungeni na nukuu"kama ningekuwa mimi ningekuwa nimeshatoa maamuzi", basi ajiuzuru sasa hivi baada ya kile alichokifanya : Luhanjo
 
Acheni ujinga wa kutoheshimu maamuzi ya taasisi za serikali nyie waandishi wa habari. Hamna utaalamu wa kuchunguza na kukagua matumizi ya fedha. Juzi mlikua mnamsifia mkaguzi mkuu kwa kazi nzuri ya ukweli na uwazi halafu leo mnaponda matokeo halali na kitaalamu aliyoyatoa. KUweni na adabu, democrasia haifanyi kazi pale inapofanyia kazi matakwa na matumaini yako, inafanya kazi hata pale inapotoa haki kwa wengine. Acheni kuendekeza umbea

Ni wakati wa kuface reality na kujua tatizo ni lipi hasa kwa nini hatuendelei kuliko kuendelea kufuatilia watu na maisha yao. Tufuatilie maswala. Lowasa alishajihudhuru, mlinenepa?? Rostam ameachia madaraka, mmenawiri?? Dont be little girls (Virgnins). Ni wakati wa kuface reality na tu-discuss maswala kuliko kukalia kudiscuss watu.

Mkuu naona hadi povu linakutoka mdomoni..taratibu. Pale mtendaji anapofanya vizuri ni budi kupongezwa na anapofanya vibaya ni budi kutokupongezwa na kumponda. Hakuna la ajabu hapo!
Ni realities gani unazotaka zizungumzwe kama hili suala la Jairo sio reality?

Pia katika suala la Jairo kumzungumia yeye kama Jairo hakukwepeki kwani yeye ndio mhusika mkuu katika tamthilia hii!

Taratibu mkuu naona unatafuta ban...jenga hoja epuka matusi.
 
Ukweli ni kuwa wizara nyingi zinachangisha pesa ili kupitisha budget. Pesa hutumika ku neautralise wakali na kupata wazungumzaji wazuri kutetea budget. Jairo asingekubali kuwa kafara na isitoshe it could lead into much serious issues with PCCB. Kutumia madaraka na fedha za umma vibaya.
 
Ingawa mimi siyo mtabiri,lakini kwa akili ya kawaida naona hili sakata litaisha kwa wabunge kupigwa bao jingine! Hawa jamaa wa CCM hawaaminiki kabisa!
 
Rais wangu kikwete unachanganya mambo hata kama ni kusovu ishu hakika hapa mmechemka jamani. Na juweni kuwa mmewapa mtaji mkubwa sana na sasa tunawaomba CHADEMA KWENDA MBALI ZAIDI KUHUSU HILI tunawajuwa nyie na kuna watu wanasiri zote hivyo watawapa na mtatujuza mengi madudu ya jairo.

Tangu hakiwa IKULU alifanya nini we ngoja tuuuuuuuuuuu nyinyi mmekwisha sasa nchi yetu sote eti sio yenu pekeenu alaaaaaa nyambafu. na wewe CAG Ndio sasa tutajua ukweli unafanya kazi au la
 
Ni wakati wa kuface reality na kujua tatizo ni lipi hasa kwa nini hatuendelei kuliko kuendelea kufuatilia watu na maisha yao. Tufuatilie maswala. Lowasa alishajihudhuru, mlinenepa?? Rostam ameachia madaraka, mmenawiri?? Dont be little girls (Virgnins). Ni wakati wa kuface reality na tu-discuss maswala kuliko kukalia kudiscuss watu.

nani anajadili watu hapa wewe ni mpumbavu katika wapumbavu unaweza kujadili jinsi gani ya kutafuta maendeleo wakati kuna watu wana rudisha maendeleo nyuma. wewe kweli **** tena sana hivi bajeti ili ipitishwe unakwenda kutumia milioni 500 ambazo wamesema walikusanya kwa ajili ya maofisa wangapi kutoka wizarani ya nishati na madini wanaokwenda kutumia dodoma kwahiyo wizara 20 sawa sawa na trioni 10 kwa kila wizara kuwasilisha bajeti WEWE unasema tuna mjadili mutu au watu mshenzi mkubwa kuwa na uchungu kwanza
 
Jairo karudi kwa kishindo tena na wanafiki kibao wamesukuma gari lake,ngereja kamkumbatie kwa kicheko cha kinafiki sawa,what about Pinda,Shelukindo, afadhali siasa ya sisimizi ya umoja kuliko siasa chafu ya magamba na tume za kinafiki na kifisadi.
am out
 
Binafsi yangu sioni tatizo la kurudishwa kazini kwa Jahiro, swali je? Ni kweli uchunguzi ulilenga kuangalia mashirika mangapi yalichangia? Na je? Ghalama za kuhudumia bajeti husika inafikia kiac cha michango hiyo? Je wizara zingine nani anachangia? Kwann wizara hii? Kwanini swala hili lilimshua waziri mkuu na hali linajulikana serikalini? Mwisho uchunguzi ulifanywa kulenga nn na kwnn?
<br />
<br />
Haya ndio maswali ya msingi,Luhanjo anatakiwa kuyajibu
 
Nadhani nchi inakwenda pabaya, kama anathibitisha idara hizo zilichanga hizo fedha kuna sababu gani ya kumrudisha kazini?Luhanjo anathibitisha kuwa nchi inaongozwa kwa rushwa na huwa fedha inahitajika kupitisha mipango hewa ya serikali.

Kama yote yaliyosemwa sio kweli ila vingine vimekutwa ni kweli tunataka ushahidi gani???barua ipo, fedha zimnekutwa sijui tunataka ushahidi gani?

Bruker! sio kwamba nchi inakwenda pabaya, hii nchi imeshafika huko unapopaita pabaya na ishapiga kambi ya kudumu. kimsingi ni sisi tu kuamua nini hatma ya nchi yetu. mana ukisikia jinsi maamuzi yanavyofanyika, unaweza sema nchi inaongozwa na wendawazimu, mana hata asiyekaa darasani kabisa, angetumia akili za kuzaliwa kidogo tu, angefanya maamuzi sahihi na yenye busara yaani asingefanya upumbavu kama huu uliofanyika.

Kwa maana iliyorahisi, Ikulu kupitia Luhanjo inamaanisha ni utaratibu wa kawaida kabisa na wenye baraka zote kutoka Ikulu kwa Wizara kukusanya pesa na kuhonga wabunge ili kupitisha bajeti za wizara mbalimbali................huu ni uhuni na ubabe wa maksudi wa serikali kwa wananchi wake kwani serikali inajua hata ikimrudisha Jairo na kufanya upuuzi mwingine wowote ule, wananchi mtafanya nini??Haya ni matusi ya nguoni kabisa.......naombeni nilie kidogo.inauma sana jamani
 
Ebo! Si amesema huo ni utaratibu wa kawaida?? Sasa siri iko wapi hapo?


Yah!Ni siri kwa maana serikali yetu inafanya kazi kwa nguvu za giza........hata mambo ya kawaida kwao ni siri.
 
Jairo ni msiri mkubwa sana wa mkweree kwahiyo hata huo mchango inawezekana kabisa ulipata blessings za Ikulu. Siamini hata siku moja kuwa
wanyama pori wanaweza kutoroshwa toka mbugani kwa ndege ya kijeshi na kupelekwa mpaka Qatar bila vyombo vya dola kufahamu, na kama hivyo ndivyo basi IKULU yetu ilikuwa na taarifa kamili juu ya wizi wa wanyama hawa. Kama hivyo ni sahihi basi kusimamishwa kwa mkurugenzi wa wanyama pori ni dongo lingine la macho tunalaopigwa wadanganyika lakini siku ya siku jamaa atarudishwa kazini kuwa hakuwa na hatia!! Hiyo ndio serikali ya kishikaji, lakini iko siku mtakuja juta kwa haya mnayofanya.
<br />
<br />

Peace is bought for blood,
Lucky for the nation whose sons have got blood.
Amini nawaambia, nji hii haitakuwa na haki na amani,kama tunadhani ya Libya na Misri hayahitajiki hapa!

Nguvu ya Umma tu, ndiyo mkombozi wa haya yote.

Woga wetu ndio silaha ya ccm na magamba.

Tunaongea sana lakini hatuchukui hatua.
Misri na Libya wamechukua hatua.
Wanachi tuamue sasa.
Tuta lia na kusaga meno mpaka lini?
Mbona hawsikii hivi vilio?

No, lazima tuseme sasa basi.

Lets do it.
 
Back
Top Bottom