Shelukindo anatumiwa na 'mtandao' unaohangaika kujinasua kwa kulipua washirika waliowatosa ili kuwa na uwanja sawa wa tuhuma.<br />
Bahati mbaya hesabu zao hazikuwa pevu (pre mature) pengine kuhofia hoja kubebwa na wapinzani .<br />
Shelukindo alijua kuwa zimeshagawiwa na hivyo uchunguzi utaonyesha waliopokea, hapo ingeongeza idadi ya watuhumiwa wa ufisadi ambao wangetakiwa wajivue gamba kama kundi la EL. Kwa bahati mbaya pesa zilikuwa hazijafika mikononi mwa wahusika kwahiyo tuhuma zinabaki kwa Jairo. <br />
<br />
Luhanjo anachokifanya ni kuuthibitishia 'mtandao' kuwa hawawezi ndio maana amemrudisha kwa kishindo.<br />
Ikumbukwe kuwa Jairo ni mtu wa karibu sana na JK kwa miaka mingi na automatic ni mtu wa karibu sana na Luhanjo. Kwahiyo kesi ya Jairo mwendesha mashitaka ni Luhanjo na na hakimu ni JMK! tena dhidi ya timu tuhumiwa!!<br />
<br />
Hili dili lilipaswa liuzwe kwa wapinzani, lakini kwa siasa za kukomoana na mgawanyiko ndani ya chama'mtandao" wakalichukua kwa jazba kuonyesha nguvu zao. Ime jam! Tutasikia mengi mwaka huu.