Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Sasa huyu mzee Luhanjo ana maana gani kusema tuhuma zilikua za uongo kama amekubali kwamba kuna kiasi cha pesa ambazo zilichangwa?!?

Hapo Mkuu tatizo sio Luhanjo, ni hiki kitaarifa cha mleta habari ndio hakieleweki. Luhanjo anatusomea ripoti ya CAG aliyoandikiwa Rais, ripoti hiyo haiwezi kuandikwa kinyumenyume namna hiyo. Haiewezekani Luhanjo asema tuhuma ni za uongo halafu asema hela zilichangwa, tuhuma gani sasa ni za uongo?

Huyu Halisi ndio tatizo.
 
Hapo Mkuu tatizo sio Luhanjo, ni hiki kitaarifa cha mleta habari ndio hakieleweki. Luhanjo anatusomea ripoti ya CAG aliyoandikiwa Rais, ripoti hiyo haiwezi kuandikwa kinyumenyume namna hiyo. Haiewezekani Luhanjo asema tuhuma ni za uongo halafu asema hela zilichangwa, tuhuma gani sasa ni za uongo?Huyu Halisi ndio tatizo.

- Haiwezekani nchi yetu ikakosa umeme, mvua ndiyo tatizo!
- Haiwezekani nchi yetu ikasaini mikataba mibovu-bovu namna hiii, wawekezaji ndiyo tatizo!
- Haiwezekani hela za EPA zikaibiwa kirahisi rahisi namna hiyo, walio lipua jambo hilo hapa JF ndiyo tatizo!
- Haiwezekani UDA ikauzwa kinyemela nyemela namna hiyo, wasafiri Dar ndiyo tatizo!
 
Shelukindo anatumiwa na 'mtandao' unaohangaika kujinasua kwa kulipua washirika waliowatosa ili kuwa na uwanja sawa wa tuhuma.<br />
Bahati mbaya hesabu zao hazikuwa pevu (pre mature) pengine kuhofia hoja kubebwa na wapinzani .<br />
Shelukindo alijua kuwa zimeshagawiwa na hivyo uchunguzi utaonyesha waliopokea, hapo ingeongeza idadi ya watuhumiwa wa ufisadi ambao wangetakiwa wajivue gamba kama kundi la EL. Kwa bahati mbaya pesa zilikuwa hazijafika mikononi mwa wahusika kwahiyo tuhuma zinabaki kwa Jairo. <br />
<br />
Luhanjo anachokifanya ni kuuthibitishia 'mtandao' kuwa hawawezi ndio maana amemrudisha kwa kishindo.<br />
Ikumbukwe kuwa Jairo ni mtu wa karibu sana na JK kwa miaka mingi na automatic ni mtu wa karibu sana na Luhanjo. Kwahiyo kesi ya Jairo mwendesha mashitaka ni Luhanjo na na hakimu ni JMK! tena dhidi ya timu tuhumiwa!!<br />
<br />
Hili dili lilipaswa liuzwe kwa wapinzani, lakini kwa siasa za kukomoana na mgawanyiko ndani ya chama'mtandao&quot; wakalichukua kwa jazba kuonyesha nguvu zao. Ime jam! Tutasikia mengi mwaka huu.
<br />
<br />


Nguruvi3,

You have it right. Most people here don't know we are just SPECTATORS on this game being played.

Mzee Mwanakijiji is correct, Shelukindo has just played two wrong moves. Ya Jairo hakuwa na strong case to implicate the man, whom I believe should have been implicated. The the Luhanjo move was wrong all together.
Luhanjo might have made wrong decisions before but never for personal gain.
He is however the pain in a ***hole for mafisadi wa ukweli. He is as clean as they come but I am hereby stand to be corrected.

Eti ufisadi was ukabila, what the hell was that! Shelukindo's claim on Luhanjo made me doubt her. Angetaka kuongelea ufisadi wa ukabila wa ukweli angenena wakati wa wizara ya ***** ambayo ukifika taasisi zake mbali mbali utakuta watumishi wanaongea that funny language shamelessly.

I am not a big fan of Magamba but JK made a fine choice on Luhanjo. Mzee hanunuliki na mafisadi and they want him out. Kama kuna mtu anajua lolote kuhusu huyu mzee kununuliwa or kafanya maamuzi ya ki 10% na atueleze tafadhali.

We are all frustrated na mambo mengi but let's be subjective kidogo.
 
Daudi jailo for Plezidenti 2015! Ni swahibar na yupo kalibu sana na lais mtukufur jakaya mlisho kikwete. hana tamaa. ni muadirifu na mwaminifu kama lais nyelele. ni mnyenyekevu na amekuwa civir selvant wa serekari kwa miaka rukuki. ni mkilistu. ni mwana ccm ngangali. kwa kifupi ni plesidentor mateliali nambali riz-wani!
 
Kama watendaji wana hitaji pesa za kwenda kwenye vikao vya Bunge kwa nini hizo pesa haziingizwi kwenye bajeti ya wizara moja kwa moja?

Inakuaje mpaka wizara iombe taasisi zake Yani Watanzania wamesha fanywa wajinga kwa kupigwa changa la macho kwa vitu vya wazi kabisa. MH!
 
Hivi kwenye bajeti ya wizara ya nishati na madini mwaka huu wameinkludi na hilo fungu la kuwezeshea bajeti ya 2012/2013 ipite??????? Kama hamna nini hasa maana ya bajeti????????????
 
Yaani kwa kifupi we kwapua TZS 24,999,000/= hapo ulipo,
Wakikosea wakushtaki umekwapua TZS 25,000,000/=, huna kesi!!!
 
Yaani kwa kifupi we kwapua TZS 24,999,000/= hapo ulipo,
Wakikosea wakushtaki umekwapua TZS 25,000,000/=, huna kesi!!!

Yes Sir ulichosema ni sawa lakini ni kwa Tanzania peke yake na lazima iwe uongozi wa kikwete. Nchi nyingine kama China jairo anapaswa kuwa anasubiri risasi yake, hapa kwetu leo anaelekea ofisini kama kawaida (inaudhi, inakera, inaboa, inachukiza, inakerehesha, inahuzunisha, inadhalilisha n.k.nk.).

Kabla ya hili nilikuwa namchukia kikwete kuliko watu wote duniani, sijajua baada ya hili nitamchukia kuliko mnyama gani mwingine duniani.
 
hii linauma sana kweli nchi yetu tusipochukua uamuzi magumu hatuwezi fika tutaendelea tu kuhangaika na ujinga ujinga wa watu wachache wasio na fadhara, huruma na wananchi waliowaweka madarakani muda ndio huu tuchukueni hatua za makusudi hata kama tutaumia watakao baki waishi maisha mazuri na waifaidi nchi na maili zake sio kikundi kidogo cha wa huni
 
Daudi jailo for Plezidenti 2015! Ni swahibar na yupo kalibu sana na lais mtukufur jakaya mlisho kikwete. hana tamaa. ni muadirifu na mwaminifu kama lais nyelele. ni mnyenyekevu na amekuwa civir selvant wa serekari kwa miaka rukuki. ni mkilistu. ni mwana ccm ngangali. kwa kifupi ni plesidentor mateliali nambali riz-wani!
umekosea kidogo hapo ni LIZ-WANI.
yani hapo mzee ndio umekomeshea kiswahili.
 
"Ripoti ya CAG inasema, fedha hizo zilitumika kama posho za kujikimu, TAKRIMA na posho za vikao..."

Wasiwasi wangu ni hapo kwenye Takrima kwan hiyo kitu ilishafutwa na mahakama baada ya kuonekana ni aina mpya ya RUSHWA iliyokuwa imehalalishwa kisheria enzi ya BWM
 
Sasa source wako nani??? Na kwanini unaongea issue sensitive namna hiyo kwa ufupi kiasi hicho bila details? Yaani umeniharibia siku yangu leo mara mbili, kwanza kwa kuandika jambo zito kwa ufupi sana, pili kama ni ukweli basi siku yangu leo ndo imekuwa mbaya zaidi!

Jitahidi kulikumbuka hilo jina(pseudo-name) HALISI , kwa wale waliopo hapa jamvini kwa muda mrefu tunamfahamu ni nani.

Source ni yeye, na kila analoleta hapa linajitokeza kuwa ni kweli.

Hiyo ndiyo staili yake ya kuleta habari , utakapoona uzi umeanzishwa na yeye , usipuuze.
 
yani jana wkt natazama taarifa ya habari i almost cried, so kwakua waliochanga ni wanne na sio ishirini inafanya hali hio kuwa sio kosa?? Na kwa kuwa pesa haikua bilioni moja bali milioni 570 ndo inafanya hilo kutokua kosa?

Na bwana luhanjo anazungumzia siri kivipi?? Yani serikali hata aibu kwa watanzania haina. Nadhani wanachanganyikiwa sasa.
 
Nimetokwa na machozi kwa hili kinadharia kila mwaka kuna bajeti ya kila kazi inakuaje wanaanza kuchangishana hapo hatuna cag wote ni wale chadema chukueni nnchi fungeni mafisadi
 
Haiingii akilini kwa nchi masikini,wachache kutumia ml 500 wakati walimu jiji mwanza ni mwaka sasa wamepanda madaraja bado wanalipwa mshahara wa zamani ingawa Rais aliahidi halitatokea tena
 
hii inaonyesha nchi hii inawenyewe kwani jambo hili alimwiingi kichwana mzalendo yeyote,huyu hapa pana siri kubwa na ndoo maana huyu bwana hakuwa na wasiwasi ,je watanzania wenzangu tutakuwa mbumbu mpaka lini? sasa ni wakati umefika wa kuchukua maamuzi magumu ili tuweze kujenga nchi yetu
 
Jk talk sth.. Okoa jahaz. Hata wanawake saiv wamekuchukia.. Wamebak tu wale wa BAGAMOYO.. hawazid wa 4.
 
Yaani kwa kifupi we kwapua TZS 24,999,000/= hapo ulipo,
Wakikosea wakushtaki umekwapua TZS 25,000,000/=, huna kesi!!!

Naam ndg yangu, hii imekaa kama maigizo vile! Kwa hiyo anakubali kaiba, ila anamtetetea kwa sababu waliomtuhumu wamekosea ktaja kiasi alichoiba! Shenzing kabisa!

Mchezo wa kina Masakuu wa Kenya ulikuwa hivihivi (maigizo). Jamaa anatuhumiwa kuwa ameiba (na kweli aliiba), yeye anauliza kule mahakamani: Kama niliiba, uliniona? Alipomjibu ndiyo yule mwenye kutuhumu, basi akauliza, nilikuwa nimevaa nguo gani?

Akajibiwa, Neusi. Yeye, kwa kujitetea akasema, "Umekosa, NILIKUWA NIMEVAA NGUO NYEKUNDU". Shenzing kabisa. Sasa naamini '...tekeli na pelesi...ufalme wako umekwisha.."
 
Back
Top Bottom