Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Luhanjo atoa ripoti, Jairo arudishwa kazini

Huyu bwana aliwatuhumu Wabunge kwamba wao ni kama Comedians kwao!!!! Siku Shelukindo aking'aka pale mjengoni, sasa wadau mlitegemea CAG alete jibu gan?

Kama wabunge ambao sisi tumewaamini na kuwatuma wakajadili issue sensitive lakini leo wanaambiwa wanafanya Comedy, inauma kwakweli!!!
 
Haya mambo angefaanya miaka ile ya 70, watu wengi wangemwelewa lakini kwa sasa ni ngumu sana. Tusibiri siku zinakuja na mapinduzi yatatokea hapa Tz af wa TZ wataifurahia nchi yao.<br><br>
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.<br>
<br>
===========<br>
UPDATES:<br>
<br>
Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo<br>
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa<br>
Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa<br>
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti<br>
REA walichangia 50mil<br>
TANESCO walichangia 40mil<br>
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara<br>
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil<br>
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil<br>
<br>
More updates to follow
 
Nafikiria ikitokea chama tawala kinaondolewa madarakani, masuala kama haya na yanayofanana na haya yatakuwa yamechangia sana. Sheria zipo, taratibu zipo lakini wananchi na wenyewe wapo, wakihisi ni sahihi ni sawa na wakihisi si sahihi ni jingine. propaganda zitakuwepo- lakini people will value eventualy.

Nimesikia TBC saa 2 jioni ya leo (23.8.11) -Luhanjo anasema - naye alishakuwa kwenye wizara mbalimbali na kuchangia huko ni kitu cha kawaida kabisa ........

sasa kama ni kitu cha kawaida pengine sisi hatufahamu utaratibu... kama ni utaratibu wa kawaida kweli, anayefahamu hebu atujuze zaidi.
 
1,ikumbukwe alipewa likizo ya malipo
2,wakati anachunguzwa alialikwa magogoni na kupewa zawadi
3,hii ni kawaida kwao lipi geni?
4,limebarikiwa na ngazi zote kiranja nk.
5,ataumbua wengi tunaizima ili afiche mambo pole kwetu wapenda nchii {watanzagiza}.
 
Alhamisi kwenye papo kwa papo wamuulize Pinda! Inakuje kila siku unaropoka?
 
aiseeeee! kuna wakati najikuta nacheka mweyewe huku rohoni naumia! teh teh teh! nimekosa kabisa neno zuri la kuchangia.
 
Nahisi tumbo linakata, bora walio-rest in peace wanafaidi siye mateso kwa kwenda mbele
 
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.

===========
UPDATES:

Luhanjo anasema tuhuma zilikuwa za uwongo
Anasema taasisi za Wizara hazizidi 7 na si zaidi ya 20 kama ilivyodaiwa

Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti
REA walichangia 50mil
TANESCO walichangia 40mil
EWURA waliombwa 40mil lkn hawakutoa, walichangia gharama za chakula na malazi kwa watendaji wa Wizara
Idara ya Uhasibu ya Wizara ilitoa 150mil
Idara ya mipango ya Wizara ilitoa 278mil

More updates to follow

Sasa huyu mzee Luhanjo ana maana gani kusema tuhuma zilikua za uongo kama amekubali kwamba kuna kiasi cha pesa ambazo zilichangwa?!? Au ndio kusema kwamba huo utaratibu ni sawa? Mbona Ngeleja alisema kwamba watendaji wa mashirika yaliyo chini ya wizara huwa wana bajeti zao (nje ya michango wa Jairo) za kuwezeshwa pindi wanapokuja bungeni?!

Afu nimemsikia huyu mzee akisema kuwa utaratibu huo ni wa kawaida katika wizara, hivi huyu si ndio wale wanaodai nchi yetu ni masikini?! Sasa kwa utaratibu huo kweli wa watendaji wa wizara kuhalalishwa kutumia milioni 500 kwa kipindi kisichozidi mwezi, kweli usemi wao wa nchi ni masikini unakua na uhalali?!?!

Hapa bila kushikishana adabu kwakweli tutaendelea kuwa mazoba wakuburuzwa na kupelekeshwa mpaka kiama!
 
Jairo ana kosailakosa lae limekuwa hlalai sabebu linafanyika across ministry. Imekukuwa nitabia.

Uliza hata wabunge wa CDM,CUF na NCCR kama zaidi ya posho zao halali je hawajapokea bahasha za "mawasaliano" za wizara mbali mbali. Sijawataja wabungewa CCM sababu hao ni obvius walishazoea

Yaani ukitaka kichwa kisukuume ni kwamba elewa huu ni ufisadi amabo umeshakuwa utaratibu wa kawaida unaokubalika na hata kwa vyamavya upinzani.

Maana nyingine ni kuwa hakuna finacial discpline na vik ao vya bajeti ni kupoteza muda na usaniii tu wa kuwadanganya wananchi. kwa nini nasemahivi

Kama bajeti imepitishwa pesa zikatumike idara fulani kwa nini tena wizara iombe ipewe pesa na idara ile ile zitumike kwa "mawasiliano" Nini maana ya kuwa na vitengo vya mipango na bajeti katika wizara? Kumbe inawezekanakwenye bajeti wabunge wanasowa kiasi fulani cha fungu la bajeti kinapelekwa TANROADS kumbe wajanja wanajua bajeti ikipta TANROADS wataagizwa pesa zile zije zifanye mawasialino ya wbunge
 
<span style="font-family: times new roman"><font size="4">Sasa huyu mzee Luhanjo ana maana gani kusema tuhuma zilikua za uongo kama amekubali kwamba kuna kiasi cha pesa ambazo zilichangwa?!? Au ndio kusema kwamba huo utaratibu ni sawa? Mbona Ngeleja alisema kwamba watendaji wa mashirika yaliyo chini ya wizara huwa wana bajeti zao (nje ya michango wa Jairo) za kuwezeshwa pindi wanapokuja bungeni?!<br />
Afu nimemsikia huyu mzee akisema kuwa utaratibu huo ni wa kawaida katika wizara, hivi huyu si ndio wale wanaodai nchi yetu ni masikini?! Sasa kwa utaratibu huo kweli wa watendaji wa wizara kuhalalishwa kutumia milioni 500 kwa kipindi kisichozidi mwezi, kweli usemi wao wa nchi ni masikini unakua na uhalali?!?!<br />
<br />
Hapa bila kushikishana adabu kwakweli tutaendelea kuwa mazoba wakuburuzwa na kupelekeshwa mpaka kiama!!</font></span>
<br />
Mkuu mwezi wapi bajeti yenyewe siku mbili !
 
mkitaka mjue ule uchunguziz ujanja ujanja angalieni sura ya CAG alikuwa haangalii kamera kwa raha kama Luhanjo, watachomwa moto wakiwa hai hawa shauri zao.wanakwenda kwenyue nyumba za ibada kweli?
 
Ehe..kwa hiyo kwa vile sio 1Bn ni nusu yake inakuwa safii Luhanjo?

Na kwanini mashirika hayo yachangie wanaoenda kusimamia"bajeti ipite"? wanasimamiaje?

Kama ni majukumu yao kama "backstage support team"kwanini wasijilipwe na mashirika yaliyowaajiri?
Kwanini KM Jairo awaombe wachange.

Miguu yangu mweee!!!! Inatoa harufu ya rushwa!!!!
 
CAG alikuwa anachunguza kukusanywa kwa izo bil moja au kuwepo kwa tuhuma za rushwa au uwepo wa barua ya kuomba mlungula wa kupitisha bajeti.
Manake Luhanjo anasema hana hatia na anasema watachunguza nani kaitoa iyo barua!
Naona apa wanataka kumtisha mama shelukindo sijui?
Na akaongezea ati Jairo anaweza fungua kesi ya defarmation
Kwa upeo wangu mdogo nilidhani watachunguza uwepo wa iyo barua na matumizi ya izo ela so far!

mkuu kweli inashangaza sana juu ya aina ya uchunguzi ulioendeshwa. anasema idara zilizotoa hela c zile zilizotajwa awali hali kadhalika kiasi cha pesa. so was it legal/proper kuchangisha fedha hizo?waliotoa walizitoa wapi? matumizi hayo ni sawa? (kuhonga/kulainisha) baadhi ya wabunge? What i see here c suala la utawala wa sheria bali ni kulindana,, ukisema Jairo alifanya hatia linaibuka swali alifanya kwa muongozo wa nani na ndo kuumbuka/kuanguka kwa serikali ya ccm iliyojaa magumashi

Kwa kweli kuna mashaka sana hapa..kwani hata Luhanjo na Utoh wamesema kwamba huo ni uchunguzi wa awali!! Sasa nimejiuuliza kuwa kuna uchunguzi mwingine ambao waliagizwa?!? Mbona mwagizaji hakutoa maagizo kama hayo?

Pia kwa maelezo yao ina maana maagizo ya Pinda hayakuzingatiwa kwa sababu huyu CAG alichofanya ni kama ku-proof read ile barua na kuchambua makosa katika yaliyoandikwa ndani ya ile barua!! Aliagizwa kuchunguza kama kweli hizo pesa zilitolewa kwa maagizo ya Jairo..sasa ripoti inasema kua pesa zilizotolewa hazikua bilioni 1, bali milioni 500!! Afu CAG bila aibu anasema Jairo hana hatia!! Na Luhanjo anasisitiza kwamba huo ni utaratibu wa siku zote wizarani!!

Hapa mpaka tupeana adabu na heshima ndio mambo yatakaa sawia!
 
Hili sakata la RUSHWA ya Jairo lilipoibuliwa bungeni na yeye kusimamishwa kazi nilitoa maoni yangu kwenye thread husika kuwa huyu bwana Jairo anafahamu siri nyingi sana za Mkweree kiasi kwamba hata afanye dhambi gani hawezi kuadhibiwa!! I have been vindicated na Jairo kesho anarudi kazini kama katibu mkuu wizara ile ile na ataendelea kufanya kazi aliyotumwa na bosi wake ya kufanikisha wizi wa mali asili yetu ya madini!

Hata yule waliomsimamisha wa wizara ya wanyama pori nae ataachiwa hivyo hivyo kwani haingii akilini kuwa hawa jamaa wote Jairo na mkurugenzi wa wanyama pori wasingeweza kufanya madudu waliofanya bila IKULU kuwapa ruhusa; mkweree was behind all these shenanigans kwa kuwatumia hao cronnies wake wakiongozwa na fisadi Luhanjo; mtake msitake ukweli ndio huo mkweree yuko kwenye lala salama anakusanya kama hana akili nzuri.
 
<font size="3">Jairo ana kosailakosa lae limekuwa hlalai sabebu linafanyika across ministry. Imekukuwa nitabia.<br />
<br />
Uliza hata wabunge wa CDM,CUF na NCCR kama zaidi ya posho zao halali je hawajapokea bahasha za &quot;mawasaliano&quot; za wizara mbali mbali. Sijawataja wabungewa CCM sababu hao ni obvius walishazoea <br />
<br />
Yaani ukitaka kichwa kisukuume ni kwamba elewa huu ni ufisadi amabo umeshakuwa utaratibu wa kawaida unaokubalika na hata kwa vyamavya upinzani.<br />
<br />
Maana nyingine ni kuwa hakuna<b> finacial discpline</b> na vik ao vya bajeti ni kupoteza muda na <b>usaniii</b> tu wa kuwadanganya wananchi. kwa nini nasemahivi <br />
<br />
Kama bajeti imepitishwa pesa zikatumike idara fulani kwa nini tena wizara iombe ipewe pesa na idara ile ile zitumike kwa &quot;mawasiliano&quot; Nini maana ya kuwa na vitengo vya <b>mipango na bajeti </b>katika wizara? Kumbe inawezekanakwenye bajeti wabunge wanasowa kiasi fulani cha fungu la bajeti kinapelekwa TANROADS kumbe wajanja wanajua bajeti ikipta TANROADS wataagizwa pesa zile zije zifanye mawasialino ya wbunge</font>
<br />
<br />
mdau ulikuwa na haraka sana wakat unaandika???au ndo unakula daku KUBWA???
 
Jairo ana kosailakosa lae limekuwa hlalai sabebu linafanyika across ministry. Imekukuwa nitabia.

Uliza hata wabunge wa CDM,CUF na NCCR kama zaidi ya posho zao halali je hawajapokea bahasha za "mawasaliano" za wizara mbali mbali. Sijawataja wabungewa CCM sababu hao ni obvius walishazoea

Yaani ukitaka kichwa kisukuume ni kwamba elewa huu ni ufisadi amabo umeshakuwa utaratibu wa kawaida unaokubalika na hata kwa vyamavya upinzani.

Maana nyingine ni kuwa hakuna finacial discpline na vik ao vya bajeti ni kupoteza muda na usaniii tu wa kuwadanganya wananchi. kwa nini nasemahivi

Kama bajeti imepitishwa pesa zikatumike idara fulani kwa nini tena wizara iombe ipewe pesa na idara ile ile zitumike kwa "mawasiliano" Nini maana ya kuwa na vitengo vya mipango na bajeti katika wizara? Kumbe inawezekanakwenye bajeti wabunge wanasowa kiasi fulani cha fungu la bajeti kinapelekwa TANROADS kumbe wajanja wanajua bajeti ikipta TANROADS wataagizwa pesa zile zije zifanye mawasialino ya wbunge

Mkuu kiswahili tabu, kiingereza shida...sasa angalau uwe makini katika kuandika ili unayoandika yawe rahisi kusomeka na kueleweka..otherwise there are some issues noted.
 
huu ndio muda wa cdm kuingilia kati hili swala, kuna maswali mengi sana yakuhoji, CAG mwenyewe anaona aibu na leo amejishushia heshima yake. mbona hakuonyesha jinsi hizo fedha zilivyotumika?
 
What should we do now? Didn't you know that Jairo was a personal secretary to Mkweree? Don't think other surprising things.It was expected to return Jairo in the office.
 
Back
Top Bottom