DJ kweli wa mwenyewe, tunabaki hili haliwezekani tu, kesho tunapigwa na kimbunga kingine tunaangaika nacho, hili linakuwa la kujumlisha kama matukio mengine yaliyopita, mimi naamini anayefanya hii kazi ya kucheza na akili zetu ni lazima atakuwa mtu mwenye ujuzi wa hali ya juu sana, kila siku unasikia mavitu ya ajabu tu, watu tunapiga kelele,siku,wiki,miezi,miaka vyote vinapita, viongozi ni walewale maisha ni yaleyale na kelele zetu ni zilezile, ndiyo maana kuna viongozi wakubwa wa nchi yetu wanapenda sana tumia msemo wa kelele za chura.........,