Udini umetumika hapo hawa jamaa wote ni Wakirstu wanasali Kanisa moja. Luhanjo hawezi kumuangusha Mkristu mwenzake Njairo
am resting in peace now now.......please say its a joke.....
Ni kwamba
Labda kosa alilofanya Jairo ini kuomba idara zilizo chini yake zichangie lakini inaonekana wizara nyinginez ina fungu hili bila kuhitaji msaada.
- Huu mchezo wapesa za "mawasiliano" za bejeti unachezwa na wizara zote. Ni kawaida.............
- kuthibitisha Jairo ana kosa ingebidi kwa mara ya tena serikali ivunjwe sababu ni mchezo wa kawaida tatizoni taarifa imekuwa in public
- Kuna wabunge wa CCM, CDM, CUF, NCCR walishapokea pesa hizi za "mawasiliano" za wizara nyingine. Ndio maana hata hao tunadodhani ni wapiganaji wamekuwa kama wamenyeshewa mvua.
Hahahhaha imebidi nicheke baada ya kusoma comment yako japo hii thread haina habari ya matumaini kwa watanzania
Lakii inashangza mambo ya nchi yetu yanavyokuwa handled kwani wa kumclear Jairo ni Luhanjo au ni TAKUKURU na Polisi.
Very tough questions and a strong point voice of reason.Hapo ndo penyewe haswa.Kama alisimamishwa kazi sababu ya kuchangisha pesa kutoka taasisi mbalimbali....., iweje arudishwe kazini sababu tu namba ya hizo taasisi na kiasi kilichochangishwa ni kidogo?
Je kosa ni udogo wa michango au ni kuchangisha pesa (rushwa)......?, kama walijua tangia mwanzo kuchangisha sio kosa na ni utaratibu wa kila siku kwanini walimsimisha kazi?, walikuwa wanachunguza nini sasa?
<br />Hii serikali inatupeleka wapi sasa. Mtu ambaye ametuhumiwa kwa uwazi kabisa anarudishwaje tena kazini. It beats me!