Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 699
bora niende zangu kwenye thread yangu ya Ileje kule......khaaa.......kweli nahitaji fresh air......
It is an ugly topic.
bora niende zangu kwenye thread yangu ya Ileje kule......khaaa.......kweli nahitaji fresh air......
did we expect anything really??
Tanzania kuna siku itakuwa kama Misri, hivi tatizo la ****** ni nini hasa au ndio serikali yote imeoza na inanuka na inasababisha nchi nzima kunuka. Nadhani haina haja ya kuendelea kuishi Tz maana si nchi tena, vongozi wetu wamekuwa majambazi kupitiliza, natamani nijivishe mabomu nikajilipue magogoni.
<br />Kwa mara ya kwanza napingana na serika yangu! Kama hili ni kweli, Katibu mkuu kiongozi na secretariet yake watakuwa hawakumtendea haki Pinda! <br />
<br />
Bythe way, let the system work.
Sasa siku ile Pinda alipomuhukumu Bungeni aliposema kwamba kama angekuwa yeye ndie aliyemteua, angekuja tu bungeni siku ile kutoa taarifa kwamba alishamtimua. Leo hii sijui Pinda atatuelezaje! Au atamwangaliaje Mkweree na Jairo!
Kweli usicheze na Mkweree![/QUOTE Pinda kosa lake kuwa kwenye sirikali asiyostahili kuwamo akitaka kuwa mkweli ahame huko vinginevyo kila siku watamsingizia umbeya
Mh. Pinda amedhihirisha kuwa ni simba aliyechorwa kwenye karatasi laini za kuchambia (Toilet paper). Nafikiri huu utakuwa muda muafaka kwa Mh. Pinda kujisafisha kwa kuachia ngazi. Amedhihirisha aidha ni mropokaji kama vile alivyoropoka juu ya Magufuri na bomoabomoa ya nyumba zilizo kwenye hifadhi ya barabara...au alivyoropoka juu ya Jairo kwamba angekuwa na uwezo angefanya maamuzi magumu pale bungeni. Kama si mropokaji basi hasikubali ujinga huu wa mtu ambaye amedhihirika kukiuka ethics za kazi na yeye Pinda akajiridhisha kuwa amekiuka, kisha anarudishwa kazini.
MH. PINDA, mie ni mtu mchache sana katika taifa la Tanzania lakini huu ujumbe ni mzito. Ni wakati sasa unatakiwa kuondoka kwa kushindwa kufanya kazi zako.
Pengine ulikuwa uongo hazikuchangiwa 1 billion, sawa; lakini wanatakata kutuambia ni watendaji wangaji walioenda bungeni na kutumia shs milioni 500? Milioni mia tano kwa watendaji kuenda kuhudhuria bungeni?Taasisi nne tu ndizo zilizochangia na zilichanga karibu TZS 500mil na si zaidi ya 1bil kama ilivyodaiwa
Pesa zilichangwa ili kuwawezesha watendaji watakaoenda kwenye bunge la bajeti
More updates to follow
Hii serikali inatupeleka wapi sasa. Mtu ambaye ametuhumiwa kwa uwazi kabisa anarudishwaje tena kazini. It beats me!
We are all human beings.. maamuzi tunafanya sisi na makosa huwa yanatokea!WONDERS SHALL NEVER END!!! LEO NDO UMEIGUNDUA SIRIKALI YAKO?
Sasa source wako nani??? Na kwanini unaongea issue sensitive namna hiyo kwa ufupi kiasi hicho bila details? Yaani umeniharibia siku yangu leo mara mbili, kwanza kwa kuandika jambo zito kwa ufupi sana, pili kama ni ukweli basi siku yangu leo ndo imekuwa mbaya zaidi!
mkuu akienda mbali zaid aibuuuuuuuu kuu zaidi ya hapo alipoishia!Hiyo report inasema za chakula ni za nini? Huyu Mkaguzi angeenda mbali zaidi na kuuhoji ama kujiridhisha kama waliokuwa wanaandaa budget walilipwa posho za kujikimu. Utata mtupu
Huwezi kuilaumu serikali kwa hili!Pinda aondoke serikalini maana alisema hili la Jairo haliwezekani kutetewa! Na uamuzi aliokuwa amependekeza umetupwa kapuni sasa anafanya nini yeye ni waziri mkuu au wa ziro mkuu atuamabie tena watanzania na wabunge wamuulize swali la papo kwa papo alhamisi. AIBU NYINGINE KWA SERIKALI YA CCM NA MK WE RE
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo,ametoa ripoti na kusema Jairo anarudishwa kazini kuanzia kesho.
===========
UPDATES:More updates to follow