GE2025 Luhaga Mpina ajiunga na ACT Wazalendo akitokea CCM

GE2025 Luhaga Mpina ajiunga na ACT Wazalendo akitokea CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
# Code unlocked # Wananchi wanataka mabadiliko nadhani wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM.
 
Mkuu KUWA makini SANA. Lile bomu la ARUSHA lililo lipuka kanisani, inasemekana Kuna mtoto alimuona

ALIE tupa bomu alikuwa na kanzu. Be care mkuu valia nyumbani au misikitini au misele ila SIO kanisani UTAPEWA kesi mkuu.


Kwishaaaaa
Mimi ntavalia Doha Qatar mkuu.
 
Kila la kheri kwake, ndio siasa, sasa atakuwa huru kupiga kelele akiwa nje ya CCM, maana kiujmla, Mpina alikuwa anakosea sana jinsi ya kuwasilisha hoja zake mbalimbali, ingawa aliweza kuwa na hoja nzito, ila alikuwa anashtaki wahusika moja kwa moja kwa watanzania na kuchonganisha watesi wake kwa serikali na wananchi
 
A very big mistake by Mpina, kama alitaka kuhama ingekua mwaka jana for now bora angebaki tu CCM maana Samia angedondoka kabla ya Mpina kupotea kisiasa.

Hao ACT sio tu ni CCM B so ni kama hajahama maana huko ukimkosoa Samia hawakuelewi,

Pia kwa tume hii anaenda kuporwa kabisa kiti cha ubunge na atakua irrelevant labda agombee Urais ili awasaidie kupata momentum huku bara ila kama ni Ubunge anapoteza muda tu.
Unaposema eti ACT ukimkosoa rais Samia hawakueliwi inaonysesha ulivyokuwa muongo!
Hii hapa video kiongozi wa ACT wazalendo akimkosoa rais Samia.
👇👇👇👇👇
 

Attachments

  • 61e669b2e2b8b3a2b31eb9070a4246a9_1753971028280.mp4
    18.9 MB
Kweli angevumilia hii mitano ya mama pengine 2030 angefanikiwa. bado kijana sana labda kama baada ya uchaguzi atarudi tena ccm kama wassira au makongoro nyerere.
mh, maselle wa shinyanga kapotea mwache apambane tu
 
Back
Top Bottom