fathermjengo
Member
- Jun 20, 2025
- 24
- 32
Kuna umuhimu wa kupitisha sheria ya .mgombea huru na siyo lazima awe na chama!!Anajikubali anakubalika, kuna muda ukikubalika watu hawaangalii chama unachotokea..
Kuna umuhimu wa kupitisha sheria ya .mgombea huru na siyo lazima awe na chama!!Anajikubali anakubalika, kuna muda ukikubalika watu hawaangalii chama unachotokea..
ALIPO TUPOmuite itakavyo kupendeza, hukatazwi!
Kwa mfano naitwa Sharifu Mkatamanga Majani ila mtaani wananiita Sheihk Sharifu MajaniNdio uzuri wa kuitwa majina ya asili !hasta ukiongeza neno shehe au Askofu inaenda!!kuliko hayo ya ubatizo!
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
Uraisi hatoboi🤣Anagombea uraisi , sio jimbo
Labda waue mtu ndio atashinda 😀Kwa tume hii inayopokea maagizo toka kwa Samia siyo rahisi, hata apate 99% ya kura zote mgombea wa Samia ndiye atatangazwa kushinda .
Sijui kama hatoboi, Ila anagombea uraisi na sio ubungeUraisi hatoboi🤣
Hatoboi mkuuSijui kama hatoboi, Ila anagombea uraisi na sio ubunge
Kigoma ipi hiyoo? Mkuu zito LABDA atafute chimbo kingine mkuu Siro Yuko HAPO man tuwe tunachambua mambo kutoka chini SIO JUU. Siro YUPO kimkakati HAPO kigoma unazan KAENDA kushika warundi?Labda akauze SURA tu,kushinda kwa mfumo wa sasa ni NDOTO..hata huyo DALALI Kigoma ataachiwa tu
Atagombea uraisMara Paap Kisesa anashinda ubunge hahahah Dkt Samia ataficha wapi sura yake
Mimi natafuta kanzu kama ya Sheikh Mpina tu.Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
Kuna mkutano Mmoja mlifanya pale diamond jubilee enzi za akina basalahe, na kapumgu ambao mlimwita bwana yule ambaye mlidhani ndio profesa kuliko wote nchini mkasema ndio tegemeo lenu, siku zilipoenda akapigia GIA hewani ndio Lile jopo lote likasambaratika wengine wakamfuata bwana manvi akawanunulia kanzu mpya wakiwa wanaambatana naye huko kwenye chama Cha vidole na wengine ndio wamepeleka Kambi uzambarauni.Mpo mnazuga wanasiasaKama ilivyo kwa CHADEMA AMBAO chama cha Roman Catholic.
Nakumbuka 2010 Kanisa lilimsimamisha Padri Slaa kupitia CDM na walimpigia kampeni nchi nzima huku JK akisaidiwa na mwanae na Mkewe tu kwa sababu ht wanaCCM wagalatia walimtenga. Na Mwaka huu Kanisa limemwandaa Mkatoliki mwingine Tundu Lissu. Kanisa likampeleka Padri Slaa na Padri Kitima kuongoza mashambulizi kuhakikisha Mbowe anatoka Madarakani
Inabidi umshinde sana sana sana mpinzani wako hadi kura zako zishindikane kuibika ndio utatangazwa mshindi.Kwani wakina Mbowe, Lissu na wengineo walikuwa wanashindaje kuwa wabunge?
Mkuu wasukuma huwa hawapigii kura MTU wale ni ccm damudamu. LABDA TU aachiwe ILI kuficha dosari zitazo onekana mkuuWasukuma wote kura kwa mpina nnavyowajua mm