Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 4,512
- 4,710
Kwa tume ipi?Mara Paap Kisesa anashinda ubunge hahahah Dkt Samia ataficha wapi sura yake
Kwa tume ipi?Mara Paap Kisesa anashinda ubunge hahahah Dkt Samia ataficha wapi sura yake
Mmh HUYU jama huwa ni Muslim.Mimi natafuta kanzu kama ya Sheikh Mpina tu.
Kanzu ni utamaduni wa Pwani mkuu.Mmh HUYU jama huwa ni Muslim.
Kwishaaaaa
Hahahaaaaaa HIZI fix HIZI🤣🙏🙏🙏🙏Kanzu ni utqmaduni wa Pwani mkuu.
Mimi najua wazee wa Kikurya Wakatoliki waliokuwa wanavaa kanzu miaka hiyoo ya 1980s.
Ukiwa mtu wa kuja mjini/pwani au umezaliwa karibuni huwezi kujua.Hahahaaaaaa HIZI fix HIZI🤣🙏🙏🙏🙏
Kwishaaaaaa
🤣🤣🤣🤣Nataka kuamini! Uchaguzi ukiisha miezi michache baadaye atarudi CCM kama ng'ombe aliyekatwa mkia.
Kavaa kabisa na mavazi ya dini ya chama. Nakumbuka wakati upinzani u naanza wakati hawa waliopo kwenye hiki chama cha zambarau hawajajibadilisha kutoka kule ......ndembendembwe......... kifo cha mende.......niliwahi kuhudhuria mkutano wao mmoja yule kiongozi wao aliyejiita ngangari akitamka pointi walikuwa wanajibu vile vile kiarabu kama mtu akitamka pointi kwenye maubiri ya kidini.
Hata hitaji kuficha sura yake kwani itamsaidia kuonyesha kuwa kulikuwa na wapinzani na wakashindaMara Paap Kisesa anashinda ubunge hahahah Dkt Samia ataficha wapi sura yake
Amemsajilia wapi hapa mbona kama nyumbani kwa mtu mkuu?Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
Niteseke na nini? Na Mila za kiarabu?unateseka ukiwa wapi?
CCM watapoteza hilo jimbo, kama Mpina atagombea ubunge!
Hata zamani ushindi wa mpinzani ulitegemea kujitoa mhanga kwa wapigakura wake!Tatizo siku hizi hakuna chaguzi naona bado mnakuwa wazito kuelewa
Ukumbuke sasa hivi jamaa hawana haya tena usoni Kwa hatua waliyofikia. Ku revenge Kwa Watanzania Kuna hitaji nguvu ya tindo kurudisha demokrasia na uzuri washazijua akili zetu Wala hawana wasiwasiMara Paap Kisesa anashinda ubunge hahahah Dkt Samia ataficha wapi sura yake
Mkuu KUWA makini SANA. Lile bomu la ARUSHA lililo lipuka kanisani, inasemekana Kuna mtoto alimuonaUkiwa mtu wa kuja mjini/pwani au umezaliwa karibuni huwezi kujua.