GE2025 Luhaga Mpina ajiunga na ACT Wazalendo akitokea CCM

GE2025 Luhaga Mpina ajiunga na ACT Wazalendo akitokea CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
ngoja tuthibitishe hizi taarifa.ila bila reforms atapata kura yake tu.Mama atahakikisha anamkomesha kabisa.
 
Hatimaye yametimia. Chawa wa CCM naomba watulie kama wananyolewa.

Maendeleo hayana chama.

Stay tuned.
0dad362822524dd398046fd6ccecf536.jpg
 
luanga mpina ni fundi sana anaweza shida huyu kazi yake kutetea maslai ya taifa ila sasa hivi ccm hawataki kabisa ukweli hata kidogo asee haya tukiachana na mpina


🔥 Jamani kuna elimu ya nguvu kuhusu jinsi ya kuanza biashara ya madini!
Nimeiweka Jamiiforums, mwongozo mzima wa biashara ya dhahabu Tanzania uko pale! 📚🟡


👉 Soma hapa:
🔗 Jinsi ya Kuanza Biashara ya Dhahabu Tanzania (Mwongozo Kamili) – JF


🎯 Kama unataka kuwa nondo kwenye biashara ya madini, usikose hii post!
🛑 Elimu ni bure, kuchukua hatua ni juu yako!
 
Ngoja tuendelee na mchakato wa kurudisha mashamba yetu ya Morogoro, alitudhulumu mb. Waa huyu
 
Back
Top Bottom