Umsolopagaasi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 940
- 975
Write your reply...anagombea urais kesho anapewa form
Kavaa kabisa na mavazi ya dini ya chama. Nakumbuka wakati upinzani u naanza wakati hawa waliopo kwenye hiki chama cha zambarau hawajajibadilisha kutoka kule ......ndembendembwe......... kifo cha mende.......niliwahi kuhudhuria mkutano wao mmoja yule kiongozi wao aliyejiita ngangari akitamka pointi walikuwa wanajibu vile vile kiarabu kama mtu akitamka pointi kwenye maubiri ya kidini.Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
Vazi linaashiria niniKiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
Ndio uzuri wa kuitwa majina ya asili !hasta ukiongeza neno shehe au Askofu inaenda!!kuliko hayo ya ubatizo!Kwa hiyo tumuite sheikh au Alhaj Luhaga Mpina ?
🤣🤣Kavaa kabisa na mavazi ya dini ya chama. Nakumbuka wakati upinzani u naanza wakati hawa waliopo kwenye hiki chama cha zambarau hawajajibadilisha kutoka kule ......ndembendembwe......... kifo cha mende.......niliwahi kuhudhuria mkutano wao mmoja yule kiongozi wao aliyejiita ngangari akitamka pointi walikuwa wanajibu vile vile kiarabu kama mtu akitamka pointi kwenye maubiri ya kidini.
Kuna mahusiano gani ya hiki chama na kanzu?.Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
A very big mistake by Mpina, kama alitaka kuhama ingekua mwaka jana for now bora angebaki tu CCM maana Samia angedondoka kabla ya Mpina kupotea kisiasa.Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo.
muite itakavyo kupendeza, hukatazwi!Kwa hiyo tumuite sheikh au Alhaj Luhaga Mpina ?