Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Huyo Magufuli mzima?Vile vi battery kwenye moyo vya kazi gani?
Loliondo alienda kufuata nini?
Huna habari anatembea na kibobo cha dawa?
Hadi hapo nani tia maji,tia maji?
Macho yasikudanganye ukadhani.......
Chadema ni wazito wa kufikiri..hapa suala si ugonjwa au uzima..wote ni wagonjwa...ila hapa tunaongelea ugonjwa ambao unaathiri ubongo na uwezo wa kufanya maamuzi...
Navyowajua watanzania, jamaa watamsoma afu watakuwa wanamsuburia kipindi nyaya zimelegea wanamchomekea mikataba aanguke wino!
 
Na wasivyojitambua hao maskini washabiki wa Chadema maslahi wako bize kuchekelea mambo haya!

Kwani kuna ubaya gani, mtu akitoka chadema/ ukawa mnasifia, ila akitoka ccm mnaponda. Siasa ndivyo ilivyo, ni heri usi comment kaa kimya sindano ikuingie taratiiiibu
 
Julius hujui kuwa hakuna yeyote mpya zaidi ya yule jamaa jirani yake malafyale, yule jamaa mvaa miwani mwenye mashavu yaliyonona...
Yule kibabu na mzee wa "bruce lee"
Mwisho kabisa kuna wale wenyeviti wale eaoga waliokuwa wanaangalia upepo...
Unataka listi gani mzee.
Hakuna usajili mpya ni walewale.
ha ha ha.

Dogo amini nakwambia,pamoja na rushwa za mamilioni mnazo mwaga,ccm hamkutegemea hali hii. Pamoja na matusi na kejeli mnazotoa,chama kikongwe,kinachojidai kina itikadi safi,mmeshikwa pabaya. Binafsi nawashangaa wale reputable figures (once regarded reputable) kama kina mzee Salim A, Warioba, Butiku, na wengine wachache,kuendelea kuwemo chamani humo wakiongozwa na minds chafu kama za kina nape, Nashangaa sana. Hata kama wasijiunge na vyama vingine,wangetoka ccm. Hiki chama hakina legacy tena,zaidi ya matusi.
Btw,EL na ukawa wamewabana makende... Hata akija Mwandosya,Kingunge,Mwapachu, si haba. They'll go down in History. Ccm si mama yangu,wala baba yangu.
 
Chadema ni wazito wa kufikiri..hapa suala si ugonjwa au uzima..wote ni wagonjwa...ila hapa tunaongelea ugonjwa ambao unaathiri ubongo na uwezo wa kufanya maamuzi...
Navyowajua watanzania, jamaa watamsoma afu watakuwa wanamsuburia kipindi nyaya zimelegea wanamchomekea mikataba aanguke wino!

Kumbe ndivyo mnavyojidanganya?
Magufuli alivyonunua ile meli mbovu,alivyokurupuka kukamata meli ya samaki ilikuwaje?
Hapo akiwa waziri tu aliweza kulisababishia taifa hasara kubwa hivyo,vipi akiwa rais?
Huo ubongo wake ambao haujaathiriwa haya ndio maamuzi aliyoyafanya.
Acha kuishi kwa nahadharia,subiri ujionee Tanzania mpya chini ya Lowassa.
 
Kumbe ndivyo mnavyojidanganya?
Magufuli alivyonunua ile meli mbovu,alivyokurupuka kukamata meli ya samaki ilikuwaje?
Hapo akiwa waziri tu aliweza kulisababishia taifa hasara kubwa hivyo,vipi akiwa rais?
Huo ubongo wake ambao haujaathiriwa haya ndio maamuzi aliyoyafanya.
Acha kuishi kwa nahadharia,subiri ujionee Tanzania mpya chini ya Lowassa.

Haya mashambulizi kwa Kada kamwe harudi nakwambia, akirudi nitag, hahahhahahahahah tutafika tuu. Heko mama Tanzania
 
Isijekuwa mbio za panya..... kwa uzoefu wangu, wapinzani baada ya uchaguzi na matokeo kutangazwa huwa hawaridhishwi na kupinga vikali, lakini mwisho wa siku huishia kuwa wapole. Swali: Mmejipanga vipi kusimamja malalamiko ya kudai kitu ambacho mtakuwa mkikikidai kuwa ni haki ambayo kwa wakati huo baada ya uchaguzi? Je, Endapo matokeo hamtayakubali, mna ubavu wa kutumia nguvu ya umma ambayo ndio slagan yenu, angalau hata kwa siku 5 mfululizo mkiipinga serikali iliyowekwa madarakani kwa mujibu wa matokeo? Uzoefu unaonyesha watanzania sio wavumilivu wa kusimamia jambo kwa umoja kwa muda mrefu mfululizo.
Hivi ndio vitu vya msingi vya kujiuliza na kitu chochote kile lazima kujiuliza kabla hakija tokea
Mimi ninacho fahamu hata kama ccm nao wakilazimisha matokeo hii nchi haita tawarika watu wamechoka harafu hawana kazi so kikitokea cha kutokea chochote hio ndio itageuka kuwa kazi.
 
Habari Mpasuko


Lowassa Kuzindua kampeni ya Toroka Uje, kesho Bahari Beach Hotel.


Tutegemee kuyaona mengi!


Chanzo :Blog Habari
Hayawi hayawi hatimae yamekuwa,Kwa miaka mingi kwenye chaguzi Ccm wamekuwa wakifaidika na utamaduni wa kubeba kura kutoka vituoni na mabox kuelekea halimashauri.
Na hapo ilitokea sintofahamu nyingi ya uchakachuaji na dhuluma.Kwenye uchaguzi huu ni tofauti sana,Tume ya uchaguzi Nec imeagiza matokeo yote kujumulishwa vituoni na hatimae mtokeo ya vituoni kupelekwa halimashauri moja kwa moja,Kwenye karatasi iliyosainiwa na mawakala wote na sio kupeleka Box za kura kama miaka ya nyuma
Kwa maana hiyo itakuwa vigumu sana watu kucheza faulo kirahisi,Nec ya mwaka huu imenijengea imani kwa mabadiliko haya makubwa na ni dhairi kwa mtindo huu Ccm washapotea kwenye ramani ya dunia ifikapo October 25
Shukrani zimwende Jiji Lubuva kwa uzalendo uliotukuka na msimamo dhabiti kwa taifa lake.
 
Nilikuwa naisubiri hii siku kwa hamu sana lakini Tanesco wameshafanya yao,ila hakijaharibika kitu.
Ni furaha kuona wenzetu wameamua kuungana na sisi.
Hadi wanaamua kufanya maamuzi kama haya tena kwa muda huu kidogo uliobakia basi amini nawaambieni hali ya CCM ni mbaya,Lowassa ndiye mshindi hadi sasa.
 
Chadema ni wazito wa kufikiri..hapa suala si ugonjwa au uzima..wote ni wagonjwa...ila hapa tunaongelea ugonjwa ambao unaathiri ubongo na uwezo wa kufanya maamuzi...
Navyowajua watanzania, jamaa watamsoma afu watakuwa wanamsuburia kipindi nyaya zimelegea wanamchomekea mikataba aanguke wino!

Teh teh teh...sasa mbona hata maamuzi anayofanya sasahv ni sahihi zaidi ya magamba waliozidiwa?
 
Hii ndio dawa ya chama kisichopenda kusikia maonyo! wacha kife tu!
 
Back
Top Bottom