Chadema ni wazito wa kufikiri..hapa suala si ugonjwa au uzima..wote ni wagonjwa...ila hapa tunaongelea ugonjwa ambao unaathiri ubongo na uwezo wa kufanya maamuzi...
Navyowajua watanzania, jamaa watamsoma afu watakuwa wanamsuburia kipindi nyaya zimelegea wanamchomekea mikataba aanguke wino!
Mungu anahitajika sana.
Magamba yote yakitorokea Ukawa ni hatari kubwa
Tv gan itarusha...saa ngap
karbun wagen
Kwa tunaojua kiswahili,kutoroka ni kuondoka kwa kificho kutoka sehemu fulani kinyume cha utaratibu.Sasa linapotumika kwenye vyama vya siasa ambavyo vinapaswa viongozwe na katiba zao,nashindwa kuelewa hivi vyama vya Kitanzania vikoje