Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

JAMAN NAPE NA MWIGULU HATUWATAK PLZZZZZZZ tutaonana wabaya

Mlango ushafunguliwa ha ha ha ha..
Kama Masha ni Kamanda leo Mwigulu unamkwepea wapi.
Na Masaburi naye atakuja muandalie kiti cha mbele ha ha ha

On a serious note ni hatari
 
Manjonjo,mbwembwe,kashfa,kejeli Na Majigambo Yataisha 25 Oct.....!!!

ImageUploadedByJamiiForums1443594434.124981.jpg
 
Pigo baada ya pigo. Kwa mujibu wa chanzo nyeti, hizi rasha rasha tu mafuriko siku ya mwisho ya kampeni.
 
Yani CHADEMA haina muda mrefu inakufa kifo cha mende...ile CHADEMA tulioizoea haipo tena imekuwa CCM B.

Makada wote hao wanataka madaraka ndani ya chama wakina saa 8 jiandaeni kuwapisha akina Masha na Msindai waongoze chama...

pole kwa muwasho wa ukawa, vumilia tu sindano ikuingie upone
 
Mlango ushafunguliwa ha ha ha ha..
Kama Masha ni Kamanda leo Mwigulu unamkwepea wapi.
Na Masaburi naye atakuja muandalie kiti cha mbele ha ha ha

On a serious note ni hatari

Huu ni ukombozi wa kifikra na haubagui mtu, watubu na kujutitia maamuzi yao tuwapokee.Tatizo ni mfumo mbovu uliowalea huko magambani
 
Haya mambo yanavyotokea na kila nikikumbuka ule utafiti wa TWAWEZA najiuliza ivyo hapo TWAWEZA kuna watu ambao wana utimamu kweli??
 
Tunashukuru wachafu wote watoke nje ya chama waje huko kwa wenzao chadema
 
Kwa maana hiyo CCM B inakwenda kukamilishwa sasa.
Iteni mtakavyoita,sisi haturudi nyuma.
Mwalimu Nyerere alisema atakayeiangusha ccm atatoka ccm,
sasa ya mrema alishindwa sababu hakukuwepo twiter,whatsapp,instagram na jamii forum
hii ya mwaka huu hamchomoki,kila kijiji na vitongoji vyote
vinapata habari siku hiyo hiyo inapotoka na madish yamesambaa
nchi nzima watu wanaangalia TVs kwa kutumia solar,nakwambia
mafuriko yameishakuwa tsunami yanasomba hadi magari.
Nakushauri na wewe TOROKA UJE
 
Kampeni maalumu ya kuwapokea wageni wetu inazinduliwa Leo na The Great Lowassa. Ni kampeni maalumu ya kuwapokea wale wagebi wetu tuliowambia wasubiri kwanza wasiwahi kutoka. Sasa mwendo mdundo tetemeko kuu linazinduliwa Leo.. Wale wa nyumba ya jirani waandae maji ya kupoza presha....

Ndugu mimi nakuomba ufahamu kuwa wana mabadiliko kwa kila habari njema kwetu hata hamu ya kupata chakula inatoweka,habari yako ni njema ila haiko wazi. Unapoleta habari hapa inayohusu Magamba kuongeza papazi basi funguka vya kutosha.
 
toroka uje inazinduliwa leo saangapi watu tupate nafuhu ya kupumua
 
Hamu yako lazima ikurudi mwaka huu.

Hiyo Kijani unayoisema imehamia khaki nayo ndo inayoingia ikulu kwa msafara mzito wa magamba ya "toroka uje".

Acha tu yatoroke yaje, lakini tutakuwa tumeitoa kijani original. Hii kijani ya Toroka uje itakuwa imechuja kwa mchanganyiko wa Khaki na kijani.
 
Mlango ushafunguliwa ha ha ha ha..
Kama Masha ni Kamanda leo Mwigulu unamkwepea wapi.
Na Masaburi naye atakuja muandalie kiti cha mbele ha ha ha

On a serious note ni hatari
Mafuliko hayabagui hata Magufuli anakaribishwa.
 
Huu ni ukombozi wa kifikra na haubagui mtu, watubu na kujutitia maamuzi yao tuwapokee.Tatizo ni mfumo mbovu uliowalea huko magambani

Eti watubu.
Hiyo ibada ya toba itaendeshwa na nani Nabii Gwajima?

Hili swala unalosema haliwezekani kwa sababu wao watorokaji ndo wanakuja kuchukua vyeo vyote vya uongozi.

Kaja Lowassa ndo kapewa Urais siku 1 baada ya kupewa kadi ya uanachama. Kuna anayeweza kumkoholea Lowassa leo?

Kaja Sumaye ndo kaja kuwa mwalimu maanake anadai ukawa hawajui jinsi ya kuongoza serikali. Alimpa makavu Mbatia kuwa hajui utawala, hajawahi gusa file la serikali.

Masha kaja kuwa kamanda wa kampeni..
Subiri tu uone...
Usiwe na haraka.
 
Kampeni maalumu ya kuwapokea wageni wetu inazinduliwa leo na The Great Lowassa. Ni kampeni maalumu ya kuwapokea wale wageni wetu tuliowambia wasubiri kwanza wasiwahi kutoka.

Sasa mwendo mdundo tetemeko kuu linazinduliwa leo.Wale wa nyumba ya jirani waandae maji ya kupoza presha.

Hayo yooote ni porojo tu na matukio ambayo yatapita kama mengine mengi tu yalivyopita lkn mwisho wa siku Bw.Pombe Magufuli ndiyo raisi ajaye wa JMT na zaidi ya 3/4 ya Bunge lijalo litaundwa na CCM!
 
Huu ni ukombozi wa kifikra na haubagui mtu, watubu na kujutitia maamuzi yao tuwapokee.Tatizo ni mfumo mbovu uliowalea huko magambani

Ukombozi Wa Kifikra Unaoongozwa Mtu Asiye Na Fikra Yakinifu Kama Mbatia,lissu,msgwa,lema,sugu,sumaye?Lowassa Na Sumaye Walitubu Na Kujutia Wapi?Kwa Gwajima?
 
Back
Top Bottom