Kweli UKAWA, LOWASSA ni wabufuni kesho hapo BAHARI BEACH shuhudia MAKUBWA.TOROKA UJE.
Swissme;
Nyumbu wa wa karatu kwa ubora wetu.leo mwingulu kawaita watu wa karatu NYUMBU.
swissme
Hatari sana. Huyo jamaa sijui kwa nini anatukana watu kiasi hicho.
Nape unadhani Tanzania yote yako na mama yako tu?
Anajiona kama nch yake cjui ni mahacra mahasira ya kukosa ubunge
ndio nampendea lowassa
very creative
Mimi nakukumbusha tu,stay tune.. DuppyConqueror
Kashaukosa tayari.
Atausikia ubunge redioni tu.
MUSSA ALLAN njoo huku aisee,
Jinsi mambo yalivyo magumu kwa Magufuli kuweza kushindana na Mh. Edward N. Lowassa, namkaribisha rasmi "Magufuli Toroka Uje" tutakuteua ubunge tukurudishe kwenye wizara yako ya ujenzi. Kwenye urais kiongozi wangu ulikuwa hujajiandaa.
Udalatinda ong'wiswe, utulile dilu duhu i'talehe 25/10/2015