Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

ndio nampendea lowassa

very creative

Kila mtu anampenda lowassa, hapa ofisini kwetu kila mtu anampenda lowassa,sisi wafanyakazi wa umma wengi tunampenda lowassa,familia zetu zinampenda lowassa.

Ukifika hapa ofisini kwetu,ofisi ya umma,sio bosi sio wafanyakazi wote tunampenda lowassa hasa creativity yake na mikakati yake,hatukani mtu,hana siasa za maji taka na hatukani chama cha mtu,yeye ni sera zake tu na elimu bure.

Mungu atupe nini watanzania, Lowassa atosha.

Toroka ujeeeeeeeeeeeew.
 
Kumbe ndivyo mnavyojidanganya?
Magufuli alivyonunua ile meli mbovu,alivyokurupuka kukamata meli ya samaki ilikuwaje?
Hapo akiwa waziri tu aliweza kulisababishia taifa hasara kubwa hivyo,vipi akiwa rais?
Huo ubongo wake ambao haujaathiriwa haya ndio maamuzi aliyoyafanya.
Acha kuishi kwa nahadharia,subiri ujionee Tanzania mpya chini ya Lowassa.

Babe usipoteze muda wako kujibishana na kibaraka wa lumumba pls,tusubiri mafuriko. TUKAMPIGIE KURA EDWARD LOWASSA. Hatudanganywi tena na CCM.
 
Kila mtu anampenda lowassa, hapa ofisini kwetu kila mtu anampenda lowassa,sisi wafanyakazi wa umma wengi tunampenda lowassa,familia zetu zinampenda lowassa.

Ukifika hapa ofisini kwetu,ofisi ya umma,sio bosi sio wafanyakazi wote tunampenda lowassa hasa creativity yake na mikakati yake,hatukani mtu,hana siasa za maji taka na hatukani chama cha mtu,yeye ni sera zake tu na elimu bure.

Mungu atupe nini watanzania, Lowassa atosha.

Toroka ujeeeeeeeeeeeew.
Hata huku kwetu mkuu. Yaani ni noma.
 
toroooooooooooooooooka uje ukawa eee mtanzania mpenda mabadiliko!!
Hiyo ni slogan tetemeko a.k.a scud la funga campain linalokwenda
kuzinduliwa leo hii 30th sept,2015 na le jude lion mzee wa maamuzi magumu
lwaigan lowasaa na utekelezaji rasmi utaanza keshooooo!!!!!!
Mtanzania mwenzangu,toroooooooka ujeeeeeee!!!! Mabadiliko ni lazima.nawasilisha .

 
Nilikuwa naisubiri hii siku kwa hamu sana lakini Tanesco wameshafanya yao,ila hakijaharibika kitu.
Ni furaha kuona wenzetu wameamua kuungana na sisi.
Hadi wanaamua kufanya maamuzi kama haya tena kwa muda huu kidogo uliobakia basi amini nawaambieni hali ya CCM ni mbaya,Lowassa ndiye mshindi hadi sasa.
Kwani inaonyeshwa kituo gani mkuu? Mimi niliwakomesha CCM niliweka mpower full kujiachia.
 
Yaani mimi ningekua nipo ccm ningeshajitorokea mapemaaaa! Ccm wana macho lkn hawaoni wana pua lkn hazinusi wana masikio lkn hawasikii wakija kustuka Lowassa ndani ya white house!
 
Kwa nini wameamua kutumia neno "toroka"?

Kwa tunaojua kiswahili,kutoroka ni kuondoka kwa kificho kutoka sehemu fulani kinyume cha utaratibu.Sasa linapotumika kwenye vyama vya siasa ambavyo vinapaswa viongozwe na katiba zao,nashindwa kuelewa hivi vyama vya Kitanzania vikoje
 
Nilikuwa naisubiri hii siku kwa hamu sana lakini Tanesco wameshafanya yao,ila hakijaharibika kitu.
Ni furaha kuona wenzetu wameamua kuungana na sisi.
Hadi wanaamua kufanya maamuzi kama haya tena kwa muda huu kidogo uliobakia basi amini nawaambieni hali ya CCM ni mbaya,Lowassa ndiye mshindi hadi sasa.

Popoma langu leo najua patakuwa hapakaliki ila hakuna jinsi,ni vizuri ukajifunza kupitia hili maana usipojifunza sasa October nitakupoteza kabisa! DuppyConqueror
Hata shetani alivyokatwa mbinguni alishuka na maelfu ya wafuasi...hakuna jipya hapo, chukueni vibaka wenzenu uploadfromtaptalk1443590034625.png
 
Last edited by a moderator:
lowasa nimekushushia silaha we ni
sheeeeeeeeedah!!
mikakati hii ukiileta kwenye serikal yako hakika tutapiga hatua kubwa
 
Mbona hamuwataji wageni au ndio mabaloz wa nyumba 10
 
Kwa maana hiyo CCM B inakwenda kukamilishwa sasa.
 
ndio nampendea lowassa

very creative

Kila mtu anampenda lowassa, hapa ofisini kwetu kila mtu anampenda lowassa,sisi wafanyakazi wa umma wengi tunampenda lowassa,familia zetu zinampenda lowassa.

Ukifika hapa ofisini kwetu,ofisi ya umma,sio bosi sio wafanyakazi wote tunampenda lowassa hasa creativity yake na mikakati yake,hatukani mtu,hana siasa za maji taka na hatukani chama cha mtu,yeye ni sera zake tu na elimu bure.

Mungu atupe nini watanzania, Lowassa atosha.

Toroka ujeeeeeeeeeeeew.
 
lowassa wewe ni hatari
nimekuogopa kumbe usimuone kobe kainama.............'...
 
Back
Top Bottom