Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Hawana lolote,hizo Ni propaganda tu,hazitutishi hizo,Magufuli atosha kwa kuwa watanzania wengi wamemkubali kwa kuwa ni chaguo la mungu






we unamjua mungu

Acha upumbafu wewe ni nani unayejifanya eti unaongea na Mungu.
 
Mimi wasi wasi wangu bado kwenye suala LA wizi wa kura, ukawa wamejipangaje kuakikisha ccm hawaibi kura mwaka huu, kwani bila ya kuzibiti hilo tutakuwa tunafanya kazi buree
 
Acha upumbafu wewe ni nani unayejifanya eti unaongea na Mungu.







na siku ukimuona mungu utaweza kumjua kuwa ni yeye
 
Mimi wasi wasi wangu bado kwenye suala LA wizi wa kura, ukawa wamejipangaje kuakikisha ccm hawaibi kura mwaka huu, kwani bila ya kuzibiti hilo tutakuwa tunafanya kazi buree

Mkuu nina imani hapo watakua wamejipanga vya kutosha kwani hapo ndio hasa kazi ilipo ila nampongeza sana jaji Lubuva alivyotoa tamko kuwa kura hata za urais zihesabiwe vituoni hii inapunguza kidogo effectiveness ya bao la mkono
 
Jaman bado tu? Mlisema saa nane mpaka sasa ni saa kumi bado tuu?au ndio yale mambo ya ndoto za mchana
 

Attachments

  • 1443618501394.jpg
    1443618501394.jpg
    63.8 KB · Views: 553
Jaman bado tu? Mlisema saa nane mpaka sasa ni saa kumi bado tuu?au ndio yale mambo ya ndoto za mchana

Kweli hawa wanaota!! Ona walivyofurahi, kumbe wanalishana uongo!!
 
Hawa jamaa walioleta thread hii kama wamedanganya wafungiwe kabisa...
 
Back
Top Bottom