Hawa jamaa walioleta thread hii kama wamedanganya wafungiwe kabisa...
Hapa ni Leo Bahari Beach DSM
Kampeni dhoofisha CCM na kukaribisha wageni kuzinduliwa Leo. Nadhani ni ITV watakuwa live saa kumi jioni.
#TOROKAUJE
#NatakaKuchekaNajikaza
View attachment 293083
Kupitia ukurasa wake wa Facebook
Tambwe Hiza,Bulaya,Lembeli,n.k hawa ni wazee?
teh teh teh. this is too low Mkuu . jaribu kushirikisha ubongo wako upya.
tatizo liko wapi mkuu ?Erythrocyte nmekuuliza hivyo ndivyo mlivyo?
Mmejengwa ktk misingi ya uongo na uzushi? Mnazusha mambo halafu mnapeana moyo na mnaushangilia huo uongo. Mnamatatizo makubwa sana