Katika Jina La Yesu, nakuamuru ufute kauli yako hii inayohatarisha taifa na vizazi vyake.
Mimi nimpenda mabadiliko na pengine ni mhanga wa ushetani wa ccm kuliko wewe, lakini suala la kuanza kutuhamisha kutoka ccm kwenda kwa shetani, ninalikataa katika Jina La Yesu.
Ninakuamuru ufute usemi wako huu na usirudie.
Ukikataa kwa kiburi au kutokujua, au kwa sababu yoyote ile, madhara yake yakupate wewe na watakao kushabikia.
Lakini katika Jina la Yesu, ninaiungama dhambi hii mbaya na kuu uliyoifanya kwa niaba ya Watanzania wote, tunaopigania ukombozi, wasiopigania, na vizazi vyetu vyote. Mungu atuondolee laana uliyoiumba kwa kusema haya na atukomboe sisi na vizazi vyetu kutoka katika adhabu ya laana uliyoitengeneza.
Ninaomba kila anayesoma haya aseme "Amina".
NINATOA ONYO KWA WANAOLEWA NA KUANZA KUROPOKA MANENO YA KISHETANI WATUBU NA WASIRUDIE TENA.
TULIANZA NA MUNGU, TUKO NA MUNGU NA TUTAENDELEA NA KUDUMU NA MUNGU. SHETANI HANA HAFASI.
"Hatutaki kufanya makosa walioyoyafanya watu wa Haiti ambayo yanawagharimu hadi leo, kwa uropokaji wa watu wajinga wachache taifa linaweza kuangamia".