kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
:cool2:Wana jamii huku tetesi zikiendelea kuvuma kuwa Leo kuna baadhi ya makada wa CCM wakiongozwa na Mh. KINGUNGE KOMBALE, binafsi naona balance ya CDM kuondokewa na DR. SLAA na kumpata KINGUNGE kuwa mzani unaonyesha kuwa kuziba pengo la Dr. Slaa labda wapate akina KINGUNGE 1,000,000. :angry:
Kama Slaa ni sawa na akina kingunge 1,000,000 je baada ya kuondoka ameondoka na nani?