Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Yaani Slaa habari zake zimekuwa za kuandikwa na gazeti la Sani! Ahahaha chezea siasa wewe kwishinie!!!!!

Habari zake ziko chini ya kiwango mpaka wameamua kuziandika kwenye gazeti la sani kweli hii fedheha na dharau kubwa sana.
 
CCM Bye..Bye...Bye...Unetutesa sana Pumzika kwa shida na upotee Kabisa Kwenye uso Wa Dunia.

siku hiyo nashauri bendera ipepee nusu mlingoti watu wasifanye kazi siku tatu bar zigawe vinywaji bure kisha twende pale taifa na amri abeid kirumba mkwakwani,sokoine.na kote kwingineko kufanya sherehe kubwaaaa!!! na kuwavisha nishani za heshima walopigana front line nikiwemo mie.
 
Wadau wa JF naomba kuuliza ili kujua tangu jana nimeona watu wanaongelea hii new kampeni ya ukawa maarufu kama " TOROKA UJE" kuwa itazinduliwa leo Bahari Beach.
Naomba nijulishwe ni saa ngapi? na Je itarushwa Live?
Mwenye info atujuze jamaa ni tushuhudie Anguko la ccm. Asante.
 
Mbona watataga mwaka huu?
Asilimia 65% CCM wataichagua UKAWA na EL, hawana jinsi ndo imeshakuwa hivyo!
 
Wadau wa JF naomba kuuliza ili kujua tangu jana nimeona watu wanaongelea hii new kampeni ya ukawa maarufu kama " TOROKA UJE" kuwa itazinduliwa leo Bahari Beach.
Naomba nijulishwe ni saa ngapi? na Je itarushwa Live?
Mwenye info atujuze jamaa ni tushuhudie Anguko la ccm. Asante.

kweli mkuu!! Mwenye taarfa atujuze
 
Tunahakikisha chama kinatoa takataka zote na Tingatinga ataweka kikosi kazi....Magufuli Oyeeeeee
 
Hata kwenye Biblia imeandikwa mtu anayeongea maneno meengi ni mwongo lowasa huwa hasemi sana anaongea kidogo tu ili asijeongea sana akadanganya.

Kuna jamaa mmoja hapa kitaa anaweza kuogea hata zaidi ya masaa 6 anatoaga ahadi atakazozitekeleza kwenye familia yake lakini tangia awe na huyo mke kwenye familia yake inazidi kuwa maskini watoto shule hawaendi usiseme kila siku kuzurura kwa majirani kulala kwa majiran zake pamoja na kuwa jamaa ana cheo kikubwa kwenye kampuni anayoifanyia kazi
 
Operation delete watu mizigo ndani ya CCM inaendelea, watafukuzwa wengi...tumechoka kulea uzembe na unafiki ndani ya chama,wahamie UKAWA mahali sahihi kwao
 
Dah kila siku nikiwa naomba dua sikosi kuomba hawa wakoloni weusi watoke...na watoke tu maana hamna namna
 
Back
Top Bottom