muda huu tunahitaji ata nguvu ya shetani kuhakikisha ccm tunaichoma moto!
Uko sahihi
muda huu tunahitaji ata nguvu ya shetani kuhakikisha ccm tunaichoma moto!
Tambwe Hiza,Bulaya,Lembeli,n.k hawa ni wazee?Jina tu la kampeni, TOROKA UJE, yaonyesha ni wahuni tu! Alafu nashindwa waelewa ukawa, kwamba mmefurahi sana hawa wakongwe wa ccm ambao inasadikika wanakuja ukawa au? kina Kingunge na wenzake? HATARI sana, hii inaenda kukijenga tena chama cha ccm kwa kuondokana na wakongwe vigeugeu, ccm ingetingishika kama vijana kina Makamba, Kigwangala, Nchemba na wengine wangekuwa wanakuja huko, naona hawa wana ushawishi, au ingekuwa habari ya mujini kama Warioba angesema anajiunga ukawa, mpaka sasa kama kweli wanafika ukawa hao hizi ni point kwa ccm.
muda huu tunahitaji ata nguvu ya shetani kuhakikisha ccm tunaichoma moto!
Leo mnaongea kinyonge hadi mnatia huruma.
Mfa maji haishi kutapatapa,mtasema mengi ila hapa wetu ni Magufuli tu,hapa kazi tu,mwadilifu,mchapa kazi,mnyenyekevu,mfuatiliaji,mpenda watu wa rika zote
Jina tu la kampeni, TOROKA UJE, yaonyesha ni wahuni tu! Alafu nashindwa waelewa ukawa, kwamba mmefurahi sana hawa wakongwe wa ccm ambao inasadikika wanakuja ukawa au? kina Kingunge na wenzake? HATARI sana, hii inaenda kukijenga tena chama cha ccm kwa kuondokana na wakongwe vigeugeu, ccm ingetingishika kama vijana kina Makamba, Kigwangala, Nchemba na wengine wangekuwa wanakuja huko, naona hawa wana ushawishi, au ingekuwa habari ya mujini kama Warioba angesema anajiunga ukawa, mpaka sasa kama kweli wanafika ukawa hao hizi ni point kwa ccm.
Hatuji Ng'oooHabari Mpasuko!
Lowassa Kuzindua kampeni ya Toroka Uje, kesho Bahari Beach Hotel.
Tutegemee kuyaona mengi!
Chanzo: Blog Habari