Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

Mkuu utakufa kwa kihoro ccm ndo hiyoo tunaizika hahahahaaaa.

Huu Ni Ushindani Bwana,mbwembwe,majigambo,kejeli Nje Ya Uwanja Ni Kitu Cha Kawaida,matokeo Halisi Yapatikana Baada Ya Dk 90 25 Oct
 
Habari zake ziko chini ya kiwango mpaka wameamua kuziandika kwenye gazeti la sani kweli hii fedheha na dharau kubwa sana.

hakuna kampuni inayojielewa itapoteza page yake kuripoti Habari za Padiri labda gazeti LA Lumumba,UHURU
 
lowassa is on another level anawaumiza vichwa Sana ccm kwa techniques zake za sanaa
 
siku hiyo nashauri bendera ipepee nusu mlingoti watu wasifanye kazi siku tatu bar zigawe vinywaji bure kisha twende pale taifa na amri abeid kirumba mkwakwani,sokoine.na kote kwingineko kufanya sherehe kubwaaaa!!! na kuwavisha nishani za heshima walopigana front line nikiwemo mie.

Duh! Umetisha mkuu alafu ukajipendelea.
 
Habari Mpasuko!

Lowassa Kuzindua kampeni ya Toroka Uje, kesho Bahari Beach Hotel.

Tutegemee kuyaona mengi!


Chanzo: Blog Habari
safi sana..kama kweli itakua mwendelezo wa magamba kujibandua ccm na kujibandika chadema. bila shaka ccm huru kwa viongozi wala rushwa itakua imara zaidi.
 
safi sana..kama kweli itakua mwendelezo wa magamba kujibandua ccm na kujibandika chadema. bila shaka ccm huru kwa viongozi wala rushwa itakua imara zaidi.

Hebu watajeeeni wooote wala rushwa waliopo CCM....sio eti mtu akiondoka mnaanza maneno
 
Back
Top Bottom