Mbona wanaotoka kwenye chama fulani makundi kwa makundi sijasikia wakiongelewa humu au hao sio wanachama?
Aisee kuna watu watakufa kwa pressure mwaka huu...kila siku mapya yanaibuka, waoneeni huruma wale wa upande wa pili...ni motoooo, :flame: hapakaliki mtaa wa pili
Kituo gani kitarusha Live, lakini hamwoni; huyo kwenye bold mnamchukua ili iweje ??Leo kuanzia saa 8 kamili mchana kutakuwa na UZINDUZI wa OPERATION ‪#‎TOROKA_UJE‬ ikiongozwa na kamanda wa MAAMUZI magumu EDWARD LOWASSA.
Kwa taarifa za Kiintelijensia VIGOGO wafuatao kujiunga CHADEMA Mwapachu, Kingunge,Karamagi, Sophia Simba, NCHIMBI na wazito wengine 15
CCM mwaka huu kazi mnayo.
Ukumbi ni BAHARI BEACH DSM na itarushwa LIVE
Balaa kama ni kweli, chanel gani itarushaHabari Mpasuko!
Lowassa Kuzindua kampeni ya Toroka Uje, kesho Bahari Beach Hotel.
Tutegemee kuyaona mengi!
Chanzo: Blog Habari
Sophia simba,mwapachu na kingunge uhakika wengine chini ya kapeti bado.