Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Cheque ya bilioni moja sio Cheque ya kitoto. Kama ndio zile wanazocheza za fraud, inaweza kuwa
Lakini pia inaweza amount isiwe hiyo.

Mzee wake alifanya mahojiano na AyoTV tena alichosema sio mambo ya mapenzi na mtoto wao alishare na wao angalau 3/4 ya kilichomfanya atoke Kahama kurudi Kibaha nyumbani. Pia alisemama mtoto wao alikuwa na stress sana tangia aache kazi. Akamalizia hawezi kuongea yote waliyoongea na mwanae anawaachia jeshi la Polisi wafanye kazi yao.

So kwa vyovyote vile chanzo cha kifo kitakuwa kinatoka kule kazini kwake..
 
Lakini pia inaweza amount isiwe hiyo.







Mzee wake alifanya mahojiano na AyoTV tena alichosema sio mambo ya mapenzi na mtoto wao alishare na wao angalau 3/4 ya kilichomfanya atoke Kahama kurudi Kibaha nyumbani. Pia alisemama mtoto wao alikuwa na stress sana tangia aache kazi. Akamalizia hawezi kuongea yote waliyoongea na mwanae anawaachia jeshi la Polisi wafanye kazi yao.







So kwa vyovyote vile chanzo cha kifo kitakuwa kinatoka kule kazini k

Tamaa mbele mauti nyuma

wake..
 
....'It has Been Debunked... Hata Askari wenyewe wameachana nayo baada ya kuiona Haifai!....Ndio maana hakuna Kesi ambayo imewahi kuamuliwa Kwa Ushahidi wa 'Picha' ilitoka kwenye macho ya Marehemu!... Imebaki Hollywood TU...!
ndo maana nimeweka debunked mzee...
 
Marehemu awezi kusemwa vibaya.ila aliachishwa kazi kwa sababu ( ).
Cheo chake ni afisa mikopo?.
Mdada mzuri aliyesumbua wanaume mpaka kumiliki gari aina toyota ratics new model.
Kusumbua wanaume hadi kumiliki gari ractics?? Mbona haviendani ,yani mfanyakazi wa benki ,gari ractics ni hadi usumbue wanaume kwanza wabongo bana
 
Familia iko kwenye msiba mzito. Tunawapa pole. Ni kifo kinachotokana na mauaji hivyo hakiwezi kukosa mijadala na msingi wa hiki kifo cha mauaji lazima kiwe na sababu, kiwe na viashiria.

Kiwe na mhusika/wahusika wakuu
Kiwe na bajeti
Kiwe na watendaji/watimiza lengo. Kwa msingi huu wauaji
Kiwe na mpango kazi
Kiwe na fool proof
Kusiwe na dosari kuanzia kupanga, kutekeleza na hatimaye kutawanyika na kumalizana kama kuna malipo ya mwisho yalikuwa bado

Uchunguzi wa kifo hiki ni rahisi sana na si chini ya watu 20 wanaweza kuhusishwa nacho, ambapo watachujwa mpaka watabaki si chini ya watano .. Na ni uchunguzi rahisi kutokana na makosa mengi waliyofanya wauaji.. Hawakuwa wajuzi maana wajuzi huwa hawaachi alama! Japo kuna kosa moja dogo sana hufanya na kufumua mpango wote.

Uchunguzi wake utaanzia kazini kwake, maisha yake nje ya kazi, marafiki zake, wateja wake, mishe na dili zake, mawasiliano yake pamoja na mahusiano.. Hapa ni kwa ajili ya ku 'establish' Msingi wa kesi na 'motive' ya muuaji/wauaji.

Uchunguzi wa pili ni eneo lilikofanyika tukio.. Pori la Mitamba linalosifika kwa matukio ya mauaji, Mitamba halina tofauti sana na Mabwepande na kama linaweza kuchunguzwa vizuri kuna maiti ngingi mule zinaweza kuwa zimezikwa.

Mitamba liko Kibaha njia ya kwenda Bagamoyo eneo linaitwa Pangani.. Sehemu kubwa ya pori la Mitamba ni eneo la wizara ya mifugo na uvuvi na kuna kipindi matapeli wa viwanja Kibaha walilivamia na kuwauzia watu viwanja mpaka serikali ikaingilia kati.

Marehemu ni mkazi mwenyeji wa Kibaha Kwambonde kakulia hapo, kosoma Tumbi nknk. Wazazi wake wanaishi hapo mpaka sasa na ni watu unaoweza kuwaita maarufu eneo hilo na hata kanisani kwao Tumbi. Kwanini muuaji/wauaji wakachagua kuja kummaliza 'nyumbani kwao'?

Marehemu alisafiri salama salimini toka kituo chake cha kazi Shinyanga mpaka nyumbani Kwambonde Kibaha. Pengine alitumia ndege, usafiri binafsi au wa jumuiya lakini alifika salama.

Je, wauaji walikuwa wanamfuatilia kote huko?
Je, wauaji ndio walimuita aje Kibaha?
Je, lengo lake la kuja nyumbani Kibaha lilikuwa ninini?
Je, mpango wa kummaliza Kibaha pori la Mitamba ulikuwa mpango plan A au B?

Marehemu siku ya tukio alikuwa kanisani na ndugu zake.. Ni wazi alipata wito wa kuitwa nje mara moja ama kwa ishara ya mtu alikuwa ndani ya kanisa ama kwa simu kwakuwa mikoba yake aliacha alipokuwa kaketi. Hakurudi!

Ni wazi walimuita walikuwa nje kabisa ya kanisa barabarani! Kanisa la KKKT Tumbi liko pembezoni mwa barabara ya kuelekea Tumbi hospital. Ni wazi kulikuwa na gari ambalo ama alipanda kwa hiari ama kwa lazima/Kutekwa.

Ni wazi safari ilianza kuelekea Pangani pori la Mitamba.. Macho ya marehemu yata 'reveal' kilichotokea ndani ya gari kwa hicho kipindi chote mpaka kufika Mitamba kumwagiwa Petrol na kuchomwa moto!



Ukurasa wa pili juu ya mpango kazi ambao ninaamini ndio plan A.

Wauaji waliona eneo salama la kummaliza ni eneo la nyumbani alikozaliwa. Wauaji ni wenyeji wa Kibaha wanaofahamu vema jiografia ya Kibaha hasa eneo la Mitamba Pangani ambako hakuna doria za polisi, kuko kimya na mbali na makazi ya watu. Pia ni eneo lenye gate away nzuri kwahiyo ni rahisi kupoteza maboya mtu anayekufuatilia.

Unaweza kutokea Kimara
Unaweza kutokea Baobab
Unaweza kutokea Kibaha maili moja eneo la shell
Unaweza kutokea NIDA
Unaweza kutokea picha ya Ndege
Unaweza kutokea Loliondo nk na kote huko mtu asijue umetokea Mitamba Pangani

Kwa vyovyote mwenye mpango wake alikodi watu wa kumsaidia kuutimiza
  • Dereva
  • Mfuatiliaji aliyekuwa kanisani
  • Mtu aliyempatia sindano ya sumu
  • Backup
  • Hapa kuna watu wa kati hawakosekani
  • Malazi, kama watekeleza mpango walitoka mbali ni wazi walilala gesti za maeneo ya Kibaha ama jirani na Kibaha.
Loose ends/makosa ya kiutendaji yasiyotarajiwa
Wajuzi hufanya rehearsal hata zaidi ya mara tano kutegemeana na mlengwa na bajeti na kila rehearsal hugundua makosa kadhaa na kuyarekrbisha.

Je, makosa makubwa kwenye hili tukio ni yapi?

1. Mtandao wa mawasiliano simu na jumbe za sauti na maneno
2. Kuhusisha watu zaidi ya mmoja
3. Kutochagua wajuzi wa kazi
4. Kutofanya rehearsal
5. Kumchoma sindano ambayo haikuwa na sumu kali au ambayo haikuchomwa kwa usahihi
6. Kudhani amekwisha kufa hivyo kutengeneza fool proof ya kumchoma moto uliomzindua
7. Pengine kuondoka eneo la tukio haraka bila kuhakikisha ameungua vizuri
8. Macho kubaki salama, yalirekodi kila kitu

Kwa dondoo hizo hii kesi ni nyepesi kuliko ya bilionea Msuya ana yule mzungu wa tembo. Marehemu alibaki kuwa hai kuanzia tarehe 3 march mpaka 9 alipoaga dunia. Siku sita ni nyingi sana kuweza kupata na kujua mengi

Damu ya mtu ni nzito na inanuka! Harufu hukoma haki ikitendeka
Kaka Mshana Jr Elimu hii ni ya miaka 2 Hadi 3 Ila umeisamalaizi kwa page mbili nomaa saaana

Nafikiri umetoa mwanga wahusika waanze na mpango huo
Hongera kwa Elimu.
 
Marehemu awezi kusemwa vibaya.ila aliachishwa kazi kwa sababu ( ).
Cheo chake ni afisa mikopo?.
Mdada mzuri aliyesumbua wanaume mpaka kumiliki gari aina toyota ratics new model.
Kumbe unamjua na tayari hapo maadui watatu wametajwa 1. Wanaume waliomkosa 2. Wafanyakazi na Ndugu wenye wivu. 3. Wakopaji wake walihisi wamepoteza ushahidi ili wasiuziwe nyumba zao, magari, viwanja mashamba
 
Lakini pia inaweza amount isiwe hiyo.

Mzee wake alifanya mahojiano na AyoTV tena alichosema sio mambo ya mapenzi na mtoto wao alishare na wao angalau 3/4 ya kilichomfanya atoke Kahama kurudi Kibaha nyumbani. Pia alisemama mtoto wao alikuwa na stress sana tangia aache kazi. Akamalizia hawezi kuongea yote waliyoongea na mwanae anawaachia jeshi la Polisi wafanye kazi yao.

So kwa vyovyote vile chanzo cha kifo kitakuwa kinatoka kule kazini kwake..

Hiyo interview ipo kwa milard insta?
 
Huwezi kutumia gharama na nguvu kubwa hivi kwenye kisasi cha mapenzi.

Hii ni ishu ya kazi, labda kuna mtonyo ulitaka kupigwa au umepigwa then Martha alikuwa kauzibe. Au labda mtonyo ulishapigwa alafu umeshtukiwa then Martha ni shahidi muhimu.
Kuna vitu viwili huvijui
Nguvu ya mapenzi na
Nguvu ya pesa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
“ issue ni yalichezwa magumashi 4months back, mzigo mtunzaji akawa dogo, baada ya muda akaingia tamaa na baada ya kupoteza maboya kumbe alihamisha mzigo wote faster wiki chache nyuma halafu alivoona anafuatwa watu wanataka mgao wao dogo karesign faster na mkopo aliokua nao pale akalipa halafu akapotea mitaa ile, ndio haki ya watu waliitafuta bila mafanikio sasa tuendelee kusubiri tuwe watulivu lakini dodondoo ni dhulma dhulma iliyoambatana na tamaa,
Baba mtu alisema mwanae alikuwa na stress sana tangu aache kazi.... Moja jumlisha moja unaweza kupata 11 badala ya 2!
 
IMG_9495.jpg
 
Uchunguzi wake utaanzia kazini kwake, maisha yake nje ya kazi, marafiki zake, wateja wake, mishe na dili zake, mawasiliano yake pamoja na mahusiano.. Hapa ni kwa ajili ya ku 'establish' Msingi wa kesi na 'motive' ya muuaji/wauaji.

Uchunguzi wa pili ni eneo lilikofanyika tukio.. Pori la Mitamba linalosifika kwa matukio ya mauaji, Mitamba halina tofauti sana na Mabwepande na kama linaweza kuchunguzwa vizuri kuna maiti ngingi mule zinaweza kuwa zimezikwa.

Hili pori linaanzia wapi mpaka wapi??
 
Kumbe unamjua na tayari hapo maadui watatu wametajwa 1. Wanaume waliomkosa 2. Wafanyakazi na Ndugu wenye wivu. 3. Wakopaji wake walihisi wamepoteza ushahidi ili wasiuziwe nyumba zao, magari, viwanja mashamba

Taarifa za mikopo zinakua kwenye system za bank na sio kwa loan officer. Kazi ya loan officer ni kupitisha mikopo na kufuatilia madeni (ulipaji). Kama walifanya hivo kwa kutegemea madeni yao yatasaulika bhs ni washamba sana hao watu.
 
Baba mtu alisema mwanae alikuwa na stress sana tangu aache kazi.... Moja jumlisha moja unaweza kupata 11 badala ya 2!

Huyu dada atakua alikula pesa za watu au kuna siri kubwa sana anaijua ambayo ikijulikana muhusika asingebaki salama. Kwenye mabank kuna deal nyingi sana za hovyo zinafanyika na za hatari.
 
Careful. Tread careful!

Remember this girl was not a SAINT ndio maana in the long run akajikuta in that spot... So untimely!

Wachaga wana nini...? Every now and again wao tu ndo wanauwawa au kuuana in a very satanic model... E.g gunia la mkaa kule kigamboni, bastora sinza, kuchomwa kwa petrol kimara kama uyu tu alivyokua drugged and set to flame by employing flammable liquid dah u know the killer alikusudia... FIRST DEGREE MURDER u know!

As beautiful as a coiled cobra... Am sure this damsel ubaya aliuanza yeye but the other side wasn't lazy at returning the favor.

Rest in peace.
Duh it's scary living amongst people who think like this
 
Back
Top Bottom