Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,880
- 2,400
Punguza chuki binafsi! 🤔🤔We jamaa una lako jambo sio bure!
Kheeeeee
Punguza chuki binafsi! 🤔🤔We jamaa una lako jambo sio bure!
Kheeeeee
Umeshaiona??Hiyo interview ipo kwa milard insta?
Umeshaiona??
Ngoja niitafute nilikuiona nitakuwekea linkBado
Ngoja niitafute nilikuiona nitakuwekea link
Daa inasikitisha kweli inaonekana mambo ya kazin kwake itajulikana SoonIle clip sijui imetolewa lakini maelezo ni haya hapa.
View attachment 2552762
Aise“ issue ni yalichezwa magumashi 4months back, mzigo mtunzaji akawa dogo, baada ya muda akaingia tamaa na baada ya kupoteza maboya kumbe alihamisha mzigo wote faster wiki chache nyuma halafu alivoona anafuatwa watu wanataka mgao wao dogo karesign faster na mkopo aliokua nao pale akalipa halafu akapotea mitaa ile, ndio haki ya watu waliitafuta bila mafanikio sasa tuendelee kusubiri tuwe watulivu lakini dodondoo ni dhulma dhulma iliyoambatana na tamaa,
Stress ya nini au mambo ya kazini ?Lakini pia inaweza amount isiwe hiyo.
Mzee wake alifanya mahojiano na AyoTV tena alichosema sio mambo ya mapenzi na mtoto wao alishare na wao angalau 3/4 ya kilichomfanya atoke Kahama kurudi Kibaha nyumbani. Pia alisemama mtoto wao alikuwa na stress sana tangia aache kazi. Akamalizia hawezi kuongea yote waliyoongea na mwanae anawaachia jeshi la Polisi wafanye kazi yao.
So kwa vyovyote vile chanzo cha kifo kitakuwa kinatoka kule kazini kwake..
DahMmh sasa hii kweli ndio inaweza pelekea mtu afanyiwe umafia wa namna hio? Sidhani there is more than that.
Something has to be so emotionally hurting for a sweet Revenge to occur. Unless uniambie walikuwa intimacy na huyo boss wake na ikatokea boss akajua kuwa soon anaenda kuolewa na mtu mwengine kama kawaida ya watoto wa kike na utapeli wao ndio boss aka plot hio mission ili akikataa amtimue kazini kama kumkomesha.






Umelewa auHalafu unajua wewe pimbi ni mtupu sana basi tu.
Amna= Hamna hata kiswahili hujui...nyanokoo lolo
We mshamba mfollow MO TwitterAcha ushamba! Akujue ili iweje? Wenye hela wote hawanaga hizo mbaga...una hela za ugali dagaa tu!
Obvious itakuwa mambo ya kazini!! Ndio maana Mzee wake kaweka wazi sio ishu za mapenzi. Mzee ni msomi so kaacha Polisi wafanye kazi yake, yeye hawezi mwaga kila kitu kwa vyombo vya habari anayoyajua kashawashirikisha Polisi.Stress ya nini au mambo ya kazini ?
Ova
Mache jamaa atupatie ubuyu
Msibani ubuyu haukosekani
Japo yeye amejaribu kuweka mazingira mengine ambayo yanaweza kuwa sababu ya kifo cha martha





Osama haikuanzia kwenye simu,jaribu kutafuta kuna thread ilitolewa na FBI na nadhani mzee ,JBourne59 alishatoa thread yake kama sijakosea,kiufupi wakati wa operesheni kule Tora bora walimkamata kijana mchunga mbuzi milimani na kumuhifadhi kama mwezi na kutuma finger print zake ikagundulika alishawahi kuingia USA wakimfata Mohd Atta na baadhi walipita na baadhi walidunda na huyo alikuwa mmoja wao na baada ya kumgundua wakampa kibano akaja akamtaja mtu ambaye ni namba 2 kwa Osama na wamarekani hawakuwa nae ktk data base zaoosama mwenyewe ilianzia kwenye simu kosa lilitokea hapo.
Ntakutag uzi husika nadhani ninao ktk thread nilizozisaveosama mwenyewe ilianzia kwenye simu kosa lilitokea hapo.
,habib anga alishatoa thread yake ya behind the curtain september 09 isake bonge la threadosama mwenyewe ilianzia kwenye simu kosa lilitokea hapo.
The nasty thing is stepping on other people toes this being your idea of "Mpambanaji" you wont survive b*tchDuh it's scary living amongst people who think like this
Umewaza nje ya box ila wanadamu mda WA ibada WA kusema na Mungu unapokeaje simu!! kaahhHivi wenzetu makanisa yao wanapokeaga simu kanisani??
kama alipokelea nje inamana alirudi ndani akaiacha simu ndio kwenda kwa huyo mpigaji??
Nahisi huyu dada alicheza deal chafu, na Mastermind akaahidi kumlinda, mastermind ndio aliempigia simu atoke nje, si ajabu alimwambia em toka mara moja tuyajenge acha simu siunajua mchongo tuliofanya ni nyeti