Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Usicheze na kahama na kahama kuna matajiri alafu wenye roho za ajabu? Pili, huyu dada alikuwa mapepe? Tatu, kabla ya kwenda kibaha alifukuzwa kwa sababu za kiofisi ijulikani ni utovu au mengine kiofisi. Nne hakuwa na cheo hiko ni Afisa mikopo.

Tano, matukio ya kahama kesi za kufanyiana unyama zipo sana sio mapenzi, sio biashara na n.k. Uzuri wa huyu dada inaonyesha alikimbia kuofia vitisho kwa mwanamke mwenzake au mapenzi?

Ndugu yangu umeuliza maswali au ?
Nimeelewa ulichoandika, ila sijaelewa namna ulivyoandika!
 
Back
Top Bottom