Ndu wa kweru
JF-Expert Member
- Nov 18, 2021
- 445
- 1,121
Eeh wale jamaa sijui baada ya pale kama vibarua vilibaki salama...wale wa area D...
Eeh wale jamaa sijui baada ya pale kama vibarua vilibaki salama...wale wa area D...
Umejuajee
Chanzo?Una uhakika kuwa wale waliomuua yule dada wa Itv hawakukamatwa??fuatilia vizuri wapo mahabusu siku nyingi sana!!!polisi wetu huwa wakiamua wanaweza sana,tatizo ni pale aliyekufa ni nani?!!kumbuka kifo kile cha RPC Baro kule mwanza!!
....'It has Been Debunked... Hata Askari wenyewe wameachana nayo baada ya kuiona Haifai!....Ndio maana hakuna Kesi ambayo imewahi kuamuliwa Kwa Ushahidi wa 'Picha' ilitoka kwenye macho ya Marehemu!... Imebaki Hollywood TU...!Optography, or the idea that the eyes were able to record the last image that a person saw before death, was a widespread and popular “science” in the late 19th and early 20th centuries, albeit it has been debunked as a forensic method.
...
watu mnajua kuchunguza sio mchezoHuyu dada ana sura nyingi
Kuna pic anaonekana mwembamba sura tofauti na hii
Rpc kingai alitoa taarifa ya kushikiliwa mtuhumiwa mmoja wa mauaji hayo,kupitia gazeti la mwananchi,Chanzo?
Yani sababu ya kumuua yule mama ilikuwa nini?Rpc kingai alitoa taarifa ya kushikiliwa mtuhumiwa mmoja wa mauaji hayo,kupitia gazeti la mwananchi,
...Inawezekana Sio Mapenzi. Kama alikuwa analeta Kwao Mzigo ?Aisee inatisha sana,, ila nahisi itakuwa habari za mapenzi tu,
Chanzo cha Kifo kipi???Chanzo?
....Hakuna hio Teknolojia! SI imeelezwa Hapo? It was just an Idea...which eventually Debunked !!Sasa last image si itakuwa ma Dr wa hospital? Ndiyo maana nikauliza wanatumia technolojia gani ku retrieve data za kwenye macho? let say wanavuta image labda za week moja nyuma kutoka kwenye retina.
Yule Mdada wa ITVChanzo cha Kifo kipi???
Yani why walimuua? Walivyohojiwa walijibujeChanzo cha Kifo kipi???
EverHivi kuna mzazi atasema vyanzo vya mwanae ni tata??
Hakuna mzazi atakayemfitini mwanae
Never
Neema yupi tenaa?!Huyu ndio neemaView attachment 2550444
We mshikaji huyu alikua demu wako Nini au mlileteana ugaigai maaana yaonekana mwajuana sanaa
...Inawezekana aliandika hiyo Cheki ana akachikichia Hela! Huwezi kuua Mtu Kwa Kukataa kuandika Cheki... Lakini unaweza 'Kuua' Mtu Kwenye Dili la Bilioni..!!!Nimesoma mahala, hii wanasema Boss wake alimwambia aandike cheque ya 1B.
Halafu aseme ilikosewa, ili hizo hela zisionekane bank. Inaonekana martha hakutaka kulitekeleza.
Akawa anamsumbua, akaomba ruhusu kwenda kwao Kibaha. Inasemekana, boss wake akampigia Baba mzazi wa Martha, akamwambia amwambie mtoto wake, aache kazi ndani ya masaa 24.
Katika yote hayo yaliyokuwa yanaendelea, Martha alikuwa akiwasiliana na Baba yake na mchumba wake.
Wakasema siku ya tukio, alipigiwa simu na wafanyakazi wenzake, wa Shinyanga. Kuwa wanasafiri watapitia hapo Kibaha, wamsalimu mara moja. Alipotoka hakurudi tena.
Inavyosemakana boss anashikiliwa.
*Nimesoma sehemu tu, nikaileta kama ilivyo.