Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Kabisa mkuu. Nilichofurahi ni kwamba simu za marehemu Martha zote aoiziacha kwenye handbag ndiyo akatoka nje ya kanisani. Hivyo ziko safe kwa ajili ya KAZI. Pili wauaji waliacha kwenye tukio vifaa vyote walivyotumia ikiwemo vichupa vya inayoaminika sumu, viatu vya marehemu na vitu vingine kadhaa. Hivi vyote ni mpango wa Mungu ili kuwakamatisha. Yaani upelekezi wamerahisishiwq mno. Maana register au niite barcode ya hizo sumu zitasoma na zitaanza tracing pia kuanzia kiwanda, manunuzi WA Kwanza mpaka wa mwisho. Washenzi hao Ngoja kinukishwe Mazima.
Hawa wauwaji hawakuwa pro ones
 
Hizi ishu huanza na kiasi kidogo, kisha kiwango huongezeka kila wakati, na walivyo washenzi ili usije ukagoma kufanya kazi, malipo yako yote unapewa in advance deni linabaki kwako

Inapofika kipindi cha kupiga ndefu hakuna majadiliano tena, wanakuja wanakubwagia fungu kisha wanakupa tarehe ya kufanya kazi...!
Sasa hapa tunaweza sema mission imefeli au walidhani ataungua mwisho atakufa lakini hakufa palepale inawezekana wakati amelazwa alitoa information za tukio lote.
 
Sasa hapa tunaweza sema mission imefeli au walidhani ataungua mwisho atakufa lakini hakufa palepale inawezekana wakati amelazwa alitoa information za tukio lote.
Hawa wauaji nahisi kuna hujuma walifanyiana ama walifanyiwa hasa kwenye sindano na mafuta
1. Sindano sumu haikuwa kali
2. Mafuta yalikuwa kidogo
Wangefanya kwa usahihi marehemu asingeweza hata kuamka pale chini na kukimbia
 
Nipo nje ya mada nisamehewe!

Jamiiforums sijui wamebadili nini tena kwa tunaotumia browser imezidi kuchukiza,nipo nasoma main post mtu ana-reply uzi inanipeleka kwenye new post wakati sijamaliza hata kujua maudhui ya mleta mada.

Hiyo namna ya ku-like sasa,wameweka vijiboksi boksi mtu hata hujui ufanyeje bora ile ya emoj kuliko hii.
Update browser yako to a new version ama check compatibility ya browser na jamiiforum web

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom