Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

**Mkuu wake wa kazi anasema Martha aliacha kazi mwezi mmoja uliopita

**Baba wa marehemu anasema mtoto wake alitekwa na kupakiwa kwenye gari na sio bodaboda pia figo lake liliharibiwa inawezekana alipewa drugs ndo akapigwa moto

Hapa kisasi cha mapenzi au kazi aliyokuwa anafanya yaweza kuwa chanzo
Huwezi kutumia gharama na nguvu kubwa hivi kwenye kisasi cha mapenzi.

Hii ni ishu ya kazi, labda kuna mtonyo ulitaka kupigwa au umepigwa then Martha alikuwa kauzibe. Au labda mtonyo ulishapigwa alafu umeshtukiwa then Martha ni shahidi muhimu.
 
Hapo wanakaa watu wanne mezani, kila mmoja na karatasi nyeupe na penseli sio kalamu ya wino, then kuna mtu wa tano hua anitwa analyst anakua anaeleza kutokea kwanza shinyanga yule mtu aliishije huko, atakuja analyst wa pili wa kibaha ataeleza wale wanne watandelea kuchora michoro ya penseli kila mtu kivyake, halafu baadae kuna kitu tunaita added information hizi hutoka idara mbalimbali ikiwamo labda TISS , nazo zinachorwa wakati huo wahisiwa wa mwanzo walishakamatwa muda mrefu yaani afisa upelelezi jeshi la polisi wilaya atashirikiana na RCO na RSO wake issue mapema mchana kweupe baadhi ya waliokamatwa watafirwa na kufinywa mapumbu hapo anti robery ndio watahusika na zoezi ay watapigwa shot za matakoni hadi mambo yataisha within 30 days kesi mahakamani tayari upelelezi utaendelea kukamilishwa taratibu kwa kuua mawasiliano ya wahusika mmoja baada ya mwingine hadi wajichuje wenyewe kama kuku wenye mdondo pumbavu zao, wahalifu hao wa huyo binti
watafirwa


Nchi gani hiiii maana unafikiri upelelez n .....
 
Hawajavunja sheria..sema wengine theory zao kuhusu chanzo cha kifo ni irrelevant na za kushangaza.. Mara boss wake ndo kamuua hakutaka aolewe na mtu mwingine, nk
Kwenye jambo kama hili lazima mengi yatasemwa ni kati ya hayo mengi kuna clues muhimu zitapatikana.. Kuna kesi wahusika walikamatwa kizembe mno lakini chanzo kilikuwa mabishano mtandaoni
 
Mshana we si mganga unaweza angalia ukatuambia ilikuwaje
Mganga hufanya kazi kwa maelekezo na ni lazima awepo mhusika wa kusimama kwa niaba! Mganga si kama nabii kwamba anaweza kwenda penye umati wa watu na akaanza kuhubiri habari za wokovu
 
Watu waliweza kumuua waziri mkuu,Sokoine,sembuse huyu lay person!?kuhusu DNA kukutwa kwenye nguo au mwili wa marehemu Hilo,halipo,maana waliutia moto mwili!kazi ya benk alikuwa ameisha acha,
Kama watu walimuua yule mtangazaji wa ITV,aliyekuwa Hana mkono mmoja,na wakabeba mwili wakautupa makumbusho!!na hawajapatikana mpaka leo.
Hata huyo dada,ndugu zake,wazike tu maisha yaendelee,jeshi letu halina hali Wala motisha ya kufatilia vifo vya watu wadogo kama Hawa.
Una HOJA usikilizwe
 
Back
Top Bottom