Facts are thereNi wote
Umewaona namna wanakimbia?
Kama wana misiba miguuni.
Angeanza Nunez na mmojawapo katika hao nimewatajaHii timu inamuhitaji sana Nunez ingawa mna mponda sana
Wangepanga QuansahFacts are there
Konate has covered a lot
Trent has never stopped a single move
Sloboslai naona mbovuAngeanza Nunez na mmojawapo katika hao nimewataja
Kati aisee hapaeleweki
Gravenberch ningekuwa mimi nisingemuanzisha.
Klopp kikosi chake cha leo anakielewa mwenyewe...ngoja tusubiri 2nd half afanye adjustments.
It’s unfortunate dogo amefiwaWangepanga Quansah
Litrent leo hata silioni
Angewekwa hata Thiago kuliko greveSloboslai naona mbovu
Grevenbech should be near the bench
Bora nunes mbele halafu gakpo namba nane
Aliyefiwa si ni yule BradleyIt’s unfortunate dogo amefiwa
Hata shuti moja la mchongo hamjapiga.Mitakataka inajifunga
Na bado
Subirini tuwaweke kipindi cha pili
Ndo tushawafungaHata shuti moja la mchongo hamjapiga.
Leo mkitoka mkatambike.
Mbona tayali watatuHivi Klopp anasubiria Nini kufanya sub?
Au anataka hadi tufungwe?