verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,178
- 6,327
Wazee msijikaushe kama vile hamjui kinachoendelea
Saint Anne
Saint Anne
Watakwambia wako bize na uapisho wa kijana mwenzaoWazee msijikaushe kama vile hamjui kinachoendelea
Saint Anne
Kijana wapi, hii timu mashabiki wake kuanzia 50+ hamna vijana humuWatakwambia wako bize na uapisho wa kijana mwenzao
Ila nyie ndio mna uhitaji mkubwa sana kuliko sisi ila Chelsea ina roho mbaya sana inapenda kuwaonea dili Caicedo ilikuwa hivi hivi same to LaviaLamine ni jembe ndugu yangu, box to box akicheza zaidi central midfield ku control tempo ya mchezo.
Kwa umri wake ma top scouts akina Jacobs wanatabiri mema sana kwake hivyo akitua kwenu trust me mmepata mtu pale
YNWA
roho mbaya halafu matokeo zeroIla nyie ndio mna uhitaji mkubwa sana kuliko sisi ila Chelsea ina roho mbaya sana inapenda kuwaonea dili Caicedo ilikuwa hivi hivi same to Lavia
Mwamba mbona unatwanga bila kuangalia uso ujue ni vibaya hivyo 🤣Kijana wapi, hii timu mashabiki wake kuanzia 50+ hamna vijana humu
Sajili zote hizo zimeliparoho mbaya halafu matokeo zero
Tusameheane kaka 😂🙌🏾Mwamba mbona unatwanga bila kuangalia uso ujue ni vibaya hivyo 🤣
Umenimiss eeh!?Wazee msijikaushe kama vile hamjui kinachoendelea
Saint Anne