Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,446
- 32,863
🤔🤔🙆🏾🙆🏾🙆🏾Mtoe Henderson hapo Wala Klopp hamuhitaji...by the way kama kweli kuna wachezaji wenye bahati amini ni Henderson,dogo sijawai kumwelewa.Klopp anarudi
Salah hayupo
Henderson hayupo
Trent hayupo
Van Dijk kajiishia
Ndiyo waswahili wakasema "Pema ni pema hujapopema ukishapema si pema tena"
Ukimpa Klopp hizi pesa alizopewa Slot June 2025 usajili utashangaa atakavyoleta wachezaji wenye kuedana na mfumo wake.
Kwa miaka yote ya Klopp klabuni Liverpool hakuwa anakosea sokoni ilikua nadra sana kama vile Kabak, Thiago, Keita nk yaani hao ndio Mzee baba alichemka lakini wengine wengi tena kwa gharama ndogo sana alipata wachezaji wazuri tazama bei around , Matip bure, Gini 25m, Robo 8m, Mane 30m, Salah 34m, VVD 75m, Allison 65m, Szcbo 61m (in usd 8 stand to collected) hivyo Klopp kumpa kitita Cha maana ataleta wachezaji waaana Kila idara.
Trent , Salah na VVD ni generational talent hua ngumu sana kupata like for like wa kuwa replace hivyo ni mwalimu ku tweak mfumo ili ku balance kikosi....
I would rather have Klopp hata bila ela nyingi za usajili kuliko kua na Slot mwenye ela nyingi sokoni.
We need a miracle gemu ya mwisho, Hali tete Sana.
YNWA