Aliomba kuondoka ye mwenyewe licha ya Club kuhitaji kuendelea naye.Nyinyi malofa nani aliwashauri mumuuze Diaz?
Inaonyesha msela hakuiona future under Arne Slot
Aliomba kuondoka ye mwenyewe licha ya Club kuhitaji kuendelea naye.Nyinyi malofa nani aliwashauri mumuuze Diaz?
Diaz sale was our very own down grading.... By the way Bayern walimu point kwanza Gapko wakapewa taarifa hauzwi hapo wakauliza je na Diaz duh huyo ikawa a big YES....Nilitaka kuandika muda mrefu kuwa
Tukamuuza Diaz ili abaki Gakpo. Wajinga mpk wazungu wapo.
Its a continuous cycle mate...we had Gini, Fabby, Mane, Diaz nk wote hao walitaka mshahara unaoedana na mishe zao uwanjani lakini walionyeshwa mlango wa kutokea.On a serious note 📝.....
Hivi wazee mlikubali kumuuza Diaz...kisa tu alitaka ongezeko la mshahara, alafu mkammbakiza Gakpo na chiesa???
Slot kichwa box ndio alifanya haya maamuzi ama ni SDs wenu ?
Majinga kabisa .....
Anaenda kuchukua zake UCL
Huu usajili wa Izak takukuru wahusike yaaani boy has bone made from Delhi biscuits 😃😃😃poor us.Ningekuwa kichwa mviringo
lineup
NGUMOHA ISAK EKITIKE
MACA/JONES GRAV SOBO
ROBO VVD KONATE FRIMPONG
Mkuu bora umerudi.Huu usajili wa Izak takukuru wahusike yaaani boy has bone made from Delhi biscuits 😃😃😃poor us.
YNWA
Ulisema mapemaaaaa kwamba Kipara ni one season wonder🥸🥸😂😂😂😂😂😂Kipara Mbwa 🐕 kabisa
Carragher alishasema Arne hana maarifaa kututoa kwenye hii Hali ya vipigo lakini FSG kwa kutazama tu kaleta ubingwa last season basi wanakomaa nae eti poor judgement.Mkuu bora umerudi.
Unaona future yoyote kwa Arne??
Its a continuous cycle mate...we had Gini, Fabby, Mane, Diaz nk wote hao walitaka mshahara unaoedana na mishe zao uwanjani lakini walionyeshwa mlango wa kutokea.
Slot plus FSG ni time bomb 💣 🙆🏾🙆🏾
Kocha ana lawama yake baada ya kuona wachezaji wengine wamepoteana alitakiwa awe na udhubutu lakini ni muoga sana kuamini hata hawa under 20s au akina Chiesa yaaani.Ni hatari ndugu ,hasa kwa ustawi wa timu...kocha atalaumiwa bure tu kumbe ni management
Ulisema mapemaaaaa kwamba Kipara ni one season wonder🥸🥸😂😂😂😂😂😂
YNWA