Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

The last dance.

IMG-20260524-WA0005.jpg
IMG-20260524-WA0007.jpg
 
Tukikosa UCL msimu huu tutalazimika kupambana sana msimu ujao. Acha tu tuwapige hawa PSG fainali hii ili tupumue kidogo kama jinsi kubeba hiki ki Premier League trophy kilivyotusaidia kupumua kidogo. Sasa msimu ujao tutacheza bila presha.
 
Tukikosa UCL msimu huu tutalazimika kupambana sana msimu ujao. Acha tu tuwapige hawa PSG fainali hii ili tupumue kidogo kama jinsi kubeba hiki ki Premier League trophy kilivyotusaidia kupumua kidogo. Sasa msimu ujao tutacheza bila presha.
Hey comrade....UCL ipo ndani ya uwezo kabisaaa. Arteta asijifanye Ancelot atulie aje na mkakati.
Kill overlapping ya Lb na Rb na PSG waanpoa hilo mnaweza.

YNWA
 
Kale kamsemo kaliendaga wapi KOPITES

Imagine being Us
Pale kocha aliamua kuja na mbinu zake na kuacha mfumo uliozoeleka na wachezaji ndio tukapotea mazimaaa yaani anahojiwa Jumapili eti anasema atabadilika ,bure kabisa tulivyochapika vile aafu anasema msimu ujao atakua tofauti na msimu huu na FSG wapo wanamtazama tu....

YNWA
 
Pale kocha aliamua kuja na mbinu zake na kuacha mfumo uliozoeleka na wachezaji ndio tukapotea mazimaaa yaani anahojiwa Jumapili eti anasema atabadilika ,bure kabisa tulivyochapika vile aafu anasema msimu ujao atakua tofauti na msimu huu na FSG wapo wanamtazama tu....

YNWA
Kichwa mviringo amewatawanya jukwaani sio mchezo, see you next season champ
 
1779961980230.png


Msimu huu ulikuwa mgumu sana kwa kila timu.

Sisi tu mabingwa ndio tulioweza kuvuka points 80.
Tukijumlishwa na sisi, timu tatu tu zimevuka points 70.
Timu ya 5 (nyie) mmeingia UCL kwa points 60.

Siyo tofauti sana na msimu ulipoita ambao nyie tu mlivuka Points 80 sisi na City ndio wengine tuliovuka points 70, ila Nottingham Forest walimaliza nafasi ya 7 kwa points 65.
 
1000354647.jpg

Hawa jamaa ni nguzo kuu kwenye kila kombe tumeshinda tangu watue.
Impact yao sio tu uwanjani mbali Kila Kona ya Klabu yetu pendwaa.

They came they saw its all, we enjoyed the good times the bad times woooow...
Hall of fame candidates📍📍📍

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom