Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sahivi sina vijana hii timu
Kijana wangu Salah anaondoka.
Hii timu sasahivi mimi hapana,,nina stress tayari,, siwezi ruhusu Liverpool iniongezee stress.
Mijitu ipo tu haimtoi huyo kocha ili sisi tuendelee kuteseka.

Salah kwenye mpira hawezi kuitwa kijana tena.
Achana nae na achana na hiyo timu. Hebu icheki ile timu kubwa iitwayo Arsenal. Nasikia wanakaribia kuwa mabingwa wale jamaa. Hamia kule uishi maisha ya raha mustarehe yasiyo na stress ndogo ndogo.
 
Salah kwenye mpira hawezi kuitwa kijana tena.
Achana nae na achana na hiyo timu. Hebu icheki ile timu kubwa iitwayo Arsenal. Nasikia wanakaribia kuwa mabingwa wale jamaa. Hamia kule uishi maisha ya raha mustache yasiyo na stress ndogo ndogo.
Timu yenye gundu miaka zaidi ya 20
Timu ilichukua EPL wakati hapa Tanzania Rais ni kikwete
Kama ngekewa tu kupata😁
Ndio nihamie huku kweli?,💔
 
1779603286945.png


Sasa kazi kwenu kutumia vipaji vyenu vya Photoshop na AI kubadilisha jezi na sura na kupachika zinazofaa zaidi.
 
Je, msimu ujao mtaweza kununua wachezaji wa bei mbaya au mtabana matumizi?

Najua mlitumia pesa nyingi kununua wachezaji wapya msimu huu lakini mlipata nyingi pia kwenye mauzo ya wachezaji wengine?

Au pesa za UCL msimu huu pamoja na kumaliza nafasi za kuingia UCL msimu ujao zitawatosha kushindana na akina ManCheaty na Chelkenge sokoni?
 
Je, msimu ujao mtaweza kununua wachezaji wa bei mbaya au mtabana matumizi?

Najua mlitumia pesa nyingi kununua wachezaji wapya msimu huu lakini mlipata nyingi pia kwenye mauzo ya wachezaji wengine?

Au pesa za UCL msimu huu pamoja na kumaliza nafasi za kuingia UCL msimu ujao zitawatosha kushindana na akina ManCheaty na Chelkenge sokoni?
Hawa msimu ujao lolote liwakute....ikiwezekana wamalize nafasi ya nane huko wakacheze conference league kabisa
 
Wanetu kazi mnayo. Ila Klopp akirudi mnashuka daraja, this guy alishadeclare kwamba nguvu za EPL zinamuisha. Also, technically, timu nyingi zimeendelea kwa sasa.
Ni kweli Hilo la timu nyingi kukua kimkakati uwanjani ni mia kwa mia.

Slot tunae sana tu.... Klopp aliomba sabbatical na kwa sasa kashakusanya nguvu za kutosha.

Kipengele ni kwamba kama wakiedelea kusajili mediocre players hata aje Pep Hali ni Ile ile.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom