Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu Kichwa Jaba aliona kila siku Mitandaoni watu wanacomment atafute Centre Back au DM akaamua kuleta ujuaji 🚮🚮
 
#Michezo: Katika mahojiano yake na Steven Bartlett (The Diary of a CEO), kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, aliulizwa kuhusu uwezekano wa yeye kurudi kuifundisha timu hiyo siku za usoni.

Steven: Unadhani unaweza kurudi kuifundisha Liverpool? Je, uwezekano huo upo?

Klopp: “Nilisema sitawahi kufundisha klabu nyingine yoyote England. Hilo halitatokea. Lakini kama ni Liverpool, uwezekano upo.”

(Chanzo: steven )

#EastAfricaTv | #Michezo | #HainaKuchoka
 
#Michezo: Katika mahojiano yake na Steven Bartlett (The Diary of a CEO), kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, aliulizwa kuhusu uwezekano wa yeye kurudi kuifundisha timu hiyo siku za usoni.

Steven: Unadhani unaweza kurudi kuifundisha Liverpool? Je, uwezekano huo upo?

Klopp: “Nilisema sitawahi kufundisha klabu nyingine yoyote England. Hilo halitatokea. Lakini kama ni Liverpool, uwezekano upo.”

(Chanzo: steven )

#EastAfricaTv | #Michezo | #HainaKuchoka
Akirudi atapoteza heshima yake aliyoitengeneza anaweza asiwe yule mjuaye
 
🚨🚨 Jurgen Klopp: “Yes, I REJECTED MAN UNITED. It was just NOT MY TYPE OF PROJECT, at all”.

“They wanted me in 2016 and I said NO”. ❌🙅‍♂️

Klopp inaonekana anaitaka Liverpool aisee
 
Mie nalia na Mo Salah, jamaa amekuwa flop kwenye game zote alizocheza. Zile dribbling hana tena, speed kwa maana ya mbio hamna kitu. Mbaya zaidi anaanza na anapiga dk zote 90.
Sijajua mkataba wake wa mwili unaompa 500k una kipengele cha yeye kuanza na kucheza dk zote.
Szobo ndio mashine kwa sasa. Anazunguka uwanja mzima, anashambulia, anazuia, anakaba. Jones huyu anapaswa kuanza, viungo watatu. Macca, szobo, na jones.
Alison/mamashivil
Robbo VvD Kerkiz freempong

Macca
Szobo jones
Wirtz isak eketike.
Tutazoa points kibao
 
🔙🚨 Jürgen Klopp opens up about coming back to Liverpool.

"I said I will never coach a team in England again, that means if it's Liverpool, theoretically IT’S POSSIBLE.” 👀
Klopp anamachungu na timu ila nayeye asimng'ang'anie Salah.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom