Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,241
🤣🤣🤣🤣🤣Slot ni useless. Mo Salah kwa sasa ni butu anapaswa kuanzia bench. Kerkez anapaswa kukaa center back yeye na VvD. Robbo arudi kushoto kupandisha mashambulizi. Bradley piga bench, ampange freempong. Jamaa ni mmoja wa wingback mzuri, kama mlimwona alivyokuwa wa moto kule liverkusen.
Salah, kwa sasa hamna kitu. Ameshindwa kuisaidia timu.
Isak bora angeendelea kule magpie. Huku anaonekana mzururaji. Tunapata tabu sana huku mabanda umiza.
Kwa mara ya kwanza katika historia Guardiola alipark bus Emirates
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bichwa banzi baada ya usajili Isak kukamilika aliomba aongezewe foward wengine watatu kabla ya dirisha la usajili halijafungwa.
Huyu Kipara kama meza ya Kamari afukuzwe haraka! No excuse
Huyu kichwa Fenesi auwaweKumbe nawewe kaka umeliona hilo 🤣🤣🤣